Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

hapo nd

hapo ndio unanichanganya sasa, umeona aliowataja kuhusika kwenye jaribio la kumtoa roho na MUNGU akasimama?!?! ndio haohao atakaopewa wamlinde kama ndio anamaanisha hivyo, then WHAT NEXT?!?

Amewataja hao jamaa ili wasije wakapewa kazi ya kumlinda.
 
Yaani jamaa anataka akaribishwe Tanzania! Kuna aliyemfukuza shujaa huyu? Wakati wa kampeni nani alimkaribisha? SHiiiit!
 
hapo nd

hapo ndio unanichanganya sasa, umeona aliowataja kuhusika kwenye jaribio la kumtoa roho na MUNGU akasimama?!?! ndio haohao atakaopewa wamlinde kama ndio anamaanisha hivyo, then WHAT NEXT?!?

Kwani wewe ndiyo unaotoa au kuidhinisha watu wa kutoa ulinzi? Kama sivyo unachosema huoni ni kuingilia mamlaka, uwezo na hata utendaji wa Mama kama rais wa nchi?

Ya utendaji wa Mama Samia kama rais yanawahusu nini nyie?
 
Alafu unaweza hisi tangia apigwe risasi akuwai kurudi Tanzania,kumbe alirudi na akatembea nchi nzima kufanya kampeni tena huku akuchimba mikwara.

Walishashindwa Mara ya kwanza kwa hivyo kurudia Mara ya pili ilikuwa ngumu. Maana Mambo yao yalikuwa wazi na mwisho wa siku ilibidi wenyewe wajiondoe uhai.
 
Kama wahuni waliweza kuingia maeneo yale aliopigiwa basi nchi ilioza sana kipindi kile.
 
Sasa polisi wanaolipwa kodi zetu kazi yao nini?
Kwa nini viongozi wako hawaombi ulinzi kwa Mungu badala yake wanazungukwa na vijana waliosheheni silaha kila kona?
 

Sio kwamba ana wasi wasi eti akija nchini atashambuliwa, huko yuko kazini na analipwa kuliko angekuwa huku. Pia hata mipango ya yeye kushambuliwa anaifahamu kuliko binadamu mwingine yeyote ila hataki ifahamike kuwa alifahamu kabla. Kwa vile tayari alishamshirikisha dereva wake anaogopa kuwa dereva huyo akisema ukweli wataumbuka. Ndio maana gharama kubwa zinatumika kumweka dereva ughaibuni. Mara anatibiwa kisaikolojia Nairobi. Fikiria hata Lissu alipokuja kwenye mradi wa kugombea urai hakuthubutu kuja naye. Ila kuna siku ukweli utafahamika tu na mtu mzima ataumbuka tuuu
 
Wajumbe wa kipilimba kwa comments zao hawajifichi

Mimi siwezi kuwa mjumbe wa Kapilima hata siku moja. Ila ni mjumbe wa Mungu na nina washauri tu wajue kuwa kazi zao ni za viapo vya utii kabla ya propoganda.
 
Ohooo! kusha kucha huku

Lakini mbona hao hao TISS ndo walimpa ulinzi kipindi cha uchaguzi

Au ndo yale mambo ya mchawi mpe mwana akulelee

Tiss Wakati ule walikuwa Na mission ya kupora uchaguzi Zanzibar kwa gharama yoyote Na waliuwa Na kujeruhi wengi
 
Alafu unaweza hisi tangia apigwe risasi akuwai kurudi Tanzania,kumbe alirudi na akatembea nchi nzima kufanya kampeni tena huku akuchimba mikwara.
Sasa ilikuwaje akaondoka kwa Escort ya mabalozi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…