Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Tundu Lissu: Walionipiga risasi ni Kikosi Kazi cha Ofisi ya Rais chini ya Mkuu wa TISS, Balozi Kipilimba

Ni jambo la kawaida kwa kila raia mwenye mashaka na usalama wake kutoa taarifa na kuhakikishiwa ulinzi kwa mujibu wa sheria.

Kuna ugumu gani kwa Mama Samia kama mkuu wa vyombo vya ulinzi na usalama kumhakikishia mhanga huyu usalama wake kwa mujibu wa sheria?
Huyu mhanga ndio yeye yule aliepanda daladala kwenda kununua nyanya kariakoo kipindi kile cha uchaguzi?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Yaani lissu ni mtu mbinafsi na mlaku kupindukia. Yaani yeye itikadi yake ni kuhusu maslahi yake tu. Pumbafu sana. Yaani ni bonge la 'reactionary' mpinga maendeleo. Halafu anajiamini kupindukia bure tu.
Sasa mtu asidai haki yake kwa nini ? Waafrika tuna rohor mbaya Kiasi hiki.
Mzee wetu alifanya kazi wakati wa Muingereza Na baada uhuru alipokufa tulidai kiinua mgongo chake katika ubalozi wa UK Na tukapewa lakini serikali ya muafrika mpaka Leo hata senti hatukulipwa
 
Umeandika kama yaliyomkuta Lissu ni mchezo wa kuigiza. Acha maskhara ndugu:

View attachment 2162073

Palikuwa na mtu humo na mtuhumiwa ni serikali.
Kimsingi kuna kitu hakiko sawa risasi zote na bado zikampata mmoja tu kati ya wawili waliokuwemo.
Hata huyo mmoja hajafa kwani hakupigwa maeneo nyeti.
Dereva amekimbizwa asihojiwe mpaka leo
Lissu alifuatwa nairobi hospital akagoma kuhojiwa
Leo ana kuja na madai ya jumlajumla.
Anyway.. This is Bongo akili mukichwa
Screenshot_20220320-192858.png
 
Kapilima alikuwa na cheo gani ili niweze kuelewa hii comment yako? Na kwa mtu yeyote aliye critical thinker atajiuliza hivi kila mfungwa ni mfungwa?
Nenda TISS ukaulize[emoji1787]
 
Kimsingi kuna kitu hakiko sawa risasi zote na bado zikampata mmoja tu kati ya wawili waliokuwemo.
Hata huyo mmoja hajafa kwani hakupigwa maeneo nyeti.
Dereva amekimbizwa asihojiwe mpaka leo
Lissu alifuatwa nairobi hospital akagoma kuhojiwa
Leo ana kuja na madai ya jumlajumla.
Anyway.. This is Bongo akili mukichwa
View attachment 2162079
Alipokuja Tz kwa nini wasimhoji?
 
Aliporudi awali nani alimhakikishia? Rais aliyepo kamhakikishia na kaonana naye mara 2. Aidha, utawala anaoulaumu wa awamu ya 5 haupo kwa sasa akiwemo JPM!
Wahusika wa hilo shambulio inabidi wafikishwe mahakamani kwa uovu huo, haijalishi huo utawala upo au haupo.
 
Taifa lenye kujielewa haliwekezi kuua Raia wake, bali huwalinda kwa kila namna pasipo kujali tofauti zao.

Sasa Rais kinachomfanya ashindwe kumpa guarantee ya usalama wake ni nini kama kweli hawana nia ovu?
Hata kama ni magaidi? Tusieleze kama vile kila mtu amfanyiwa mabaya kwa bahati mbaya. Mfano, wale wa Kibiti, wengi waliyataka
 
Back
Top Bottom