Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

Jeshi la polisi limejaa vilaza, ndiyo maana hutumia nguvu zaidi sababu akili hawana.
Kwa maoni yangu ocd angalau aanzie diploma, RPC aanzie na degree, Igp angalau masters.watoa amri wote jeshi la polis wawe na elimu, nikimfikiria yule aliyetoa amri ya kupiga mabomu msafara wa salumu mwalimu ananiacha hoi.
 
Nilishauri humu narudia tena, tundu lisu aachwe aropoke apendavyo maana hiyo ni sehemu ya tiba kwake kwa yaliyomkuta.

Kingine Lisu hawezi kuwa rais popote duniani kwahiyo aachwe afanye atakalo maana 28 oktoba hii tutamfundisha adabu
 
Polis wangeweza hata kuongea naye kwa simu kwanza, kama wasingeelewana ndipo angepewa wito wa kwenda kituoni.kwa barua ile nimeona shida ya jeshi la polis..
 
Nilishauri humu narudia tena, tundu lisu aachwe aropoke apendavyo maana hiyo ni sehemu ya tiba kwake kwa yaliyomkuta.

Kingine Lisu hawezi kuwa rais popote duniani kwahiyo aachwe afanye atakalo maana 28 oktoba hii tutamfundisha adabu
Angalau umejitaidi kutoa maoni yako vizuri, polis wetu wanadhani kila kitu in cha kuita MTU kituoni.hili ni tatizo.
 
Nilishauri humu narudia tena, tundu lisu aachwe aropoke apendavyo maana hiyo ni sehemu ya tiba kwake kwa yaliyomkuta.

Kingine Lisu hawezi kuwa rais popote duniani kwahiyo aachwe afanye atakalo maana 28 oktoba hii tutamfundisha adabu
Serekali ya CCM inahangaika na Lissu kwa sababu ni serekali iliyokosa maarifa,ni serekali dhaifu,imejaa woga na kutokujiamini.Serekali ya namna hii ni serekali iliyokosa kibali cha wananchi kuendelea kukaa madarakani
 
Tatizo polis wanapenda ingilia kila jambo, pia polis wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria.
 
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
Ndio maana mnatekwa tekwa na kupotezwa mazwazwa nyie
Utaendaje sehemu kichwa kichwa.
 
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa
kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu,maelezo utayakuta polisi,na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote
mataga andikeni upya upya barua ya wito acheni kulia-lia kama kuku maji.
 
Police hawako serious barua gani iyo hakuna ata aliyesomaga communication skills chuoni
 
Kwa maoni yangu ocd angalau aanzie diploma, RPC aanzie na degree, Igp angalau masters.watoa amri wote jeshi la polis wawe na elimu, nikimfikiria yule aliyetoa amri ya kupiga mabomu msafara wa salumu mwalimu ananiacha hoi.
Yes ni wazo jema kabisa, lakini kwa kuanzia hili jeshi ilipaswa lifumuliwe kutoka kwenye Police force kwenda kwenye Police service.

Kwa muundo wa sasa lazima warecruit watu 'wajinga' ambao kazi yao ni kupokea na kutekeleza amri maamuzi wanafanya wengine.

Sifa ya majeshi yetu kwa sasa ni kuwa na physical fitness tu ndio maana 'hawawapimi' afya ya akili japo wanawakabidhi silaha na moja ya sharti la kumiliki silaha ni kuwa na akili timamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…