Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

Cyprian Musiba anahaha na vijarida vyake kumchafua Lisu ingawa havina wateja kwani hakuna mwenye Akili timamu atasoma vigazeti vyake vya kusifia maccm kueneza chuki
 
Huyu jamaa ni jeuri haswaaa, ila mashabiki wake mnaona sasa hatua zikichukuliwa msilielie.

JPM ANATOSHA
CCM USHINDI NI JADI

Hatua gani mkubwa nje ya kufuata SHERIA?

Kama ni hatua za kupigana RISASI 38 za AK47 na SMG, aaaah huko sisi hatupo, chukueni tu hatua hizo, kisha tuone nyie mtaponea wapi....!
 
Polis nadhani hawajui maana ya neno confidential labda wanajua ni muhuri wa kawaida
 
Barua kaandikiwa Mwenyekiti wake wa Chama, sasa yeye "anachachawa nini" kwa kutoa hadhari barua ya Mwenyekiti wake mitandaoni!? Atulie.
Mbona polepole kawaita wapinzani misukule Polisi hawajamwandikia barua mwenyekiti wa CCM kumtaka polepole aripoti polisi
 

Hivi ameitwa polisi kwa kosa lipi?

Ni kwa "kutishia kuwasha moto nchi" au "kufokea na kugombezana na polisi!"

Halafu wewe uko nje ya mada...

Kinachojadiliwa na kubishaniwa hapa ni LEGAL PROCEDURES kushughulukia tatizo ama kosa lolote...

Hakuna asemaye Tundu Lissu hawezi kukosea. Hata yeye hajasema lolote kuhusu kukosea ama kutokosea kwake...

Amewaambia polisi wafuate sheria kumtumia wito wa kuonana nao iwapo "wanadhani" ana kosa la kujibu...

Ni hapo tu, hakuna kingine. Sasa wewe mbona unaleta mambo ambayo hayapo??
 
Unazungumzia matamshi ya kumwambia Magufuli mwizi? Kwani ni uongo?
 
Eti Polisi katumwa na maccm kumhoji Tundu lisu? Hapo kuna haki kweli?
 
Hii ni kwa Court Summons. Vipi kuhusu Police Summons? Kuna kifungu tofauti au ni hiki hiki?
 
Nyie mnaoandika maandishi mengi,mnaandikaga ujinga mwingi sana! kama ww mfano
 
Mbona polepole kawaita wapinzani misukule Polisi hawajamwandikia barua mwenyekiti wa CCM kumtaka polepole aripoti polisi
Kumbe Lissu ni level ya Humphrey, sikujua. Sawa Mkuu, nimekuelewa!
 
Nahisi Sirro anakosa raha Sana ya kuwa IGP.

Mchakamchaka mwanzo mwisho,akigeuka huku Jiwe anamshurutisha akigeuka kule Lissu anamuhenyesha.

Safi sana Mh Lissu lazima wawe na nidhamu ya kazi hao vibaraka wa Jiwe![emoji16][emoji16]

...akivuka maji anamkuta Mzee wa miaka 70 Maalim Seif Sharif Hamad

...hapa imebaki kidogo tu CDF Venance Mabeyo naye atatoka kutoa statement!!
 
Kabla hujajiingiza kwenye kujadili complex issues. Nakusihi ujifunze kwanza kutofautisha Kibali na Taarifa. Kinachotakiwa ni kutoa taarifa Polisi sio Kuomba Kibali dada yangu.
 
Pumbavu
 
Kabla hujajiingiza kwenye kujadili complex issues. Nakusihi ujifunze kwanza kutofautisha Kibali na Taarifa. Kinachotakiwa ni kutoa taarifa Polisi sio Kuomba Kibali dada yangu.
CCM vichwa vyao ni vizito Sana,na hili Ni sababu mojawapo ya kuishi kwa mazoea miaka yote ya unyonyaji wao.
 
Walizoea kuwadakua Kama Mwewe anavyodakua vifaranga watu wanaokwenda kinyume na mtazamo wao, lakini kwa comred Lissu wanafedheheka😂😂
 
Kumbe Lissu ni level ya Humphrey, sikujua. Sawa Mkuu, nimekuelewa!
Hujaelewa mpaka siku ukielewa kuwa IGP hupokea Amri za polepole na mkurugenzi wa Tume ya ccm ya uchaguzi kuwatuma polis kuwapiga mabomu wapinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…