Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Wito wa Polisi siyo barua ya kirafiki, Nitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi

Acha ujinga Yaani Polisi kwenda kumpiga mabomu ni lisu aliwaomba kwenda sasa atafuta sababu kivipi?
 
Umetafakari vizuri sana. Ila mie najiuliza. Tuliona mtanange wa Lissu vs Mkurugenzi NEC kuhusu wito. Ikaonekana wito wa Mkurugenzi una mapungufu. Lissu akapangua wito huo. Lakini hata wito wa IGP nao una mapungufu pia. Wote pia wanaonekana kujawa na jazba. Nadhani miito yote miwili haitokani hasa na maamuzi ya Taasisi hizo mbili, Polisi na NEC. Nadhani inatokana na "natamani ningekuwa IGP" na "natamani ningekuwa mkurugenzi wa NEC". Pia "pumbavu" toka kwa Magufuli.
Hasira kali za Magufuli zinaonekana kwenye hotuba yake ya Tunduma.

Naamini hayo mapungufu ya wito ni ya makusudi ili kumridhisha JPM.
 
Inambanaje na washa surrender? πŸ˜‚
 


 
Lissu kashavunja mkeka police washa sitisha wito
 
Kwa hiyo yeye ndie alijiandikia barua au police?
Police hawakufuata taratibu kwenye kuandika barua na kumwita..? Halaf unasema lissu anatafuta sababu.. how? Grow up man..
 
Kwa hiyo yeye ndie alijiandikia barua au police?
Police hawakufuata taratibu kwenye kuandika barua na kumwita..? Halaf unasema lissu anatafuta sababu.. how? Grow up man..
mtashangaa sana mwaka huu mitego yake yote hanasi mtu subirini jpm aapishwe ndo mtajua
 
Tunakuja hapa baaada ya tarehe 28 tuone hao wazungu wenu na nyie mkikinukisha
Wazungu wa nin jeshi la police na jwtz wakae pemben watuachie JPM sisi mwepesi yule tena mwoga hatari πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Wazungu wa nin jeshi la police na jwtz wakae pemben watuachie JPM sisi mwepesi yule tena mwoga hatari πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
JPM anafanya vitendo nyie endeleeni na u keyboard warrior
 
Watanzania wengi wanaonewa kisa hawajui sheria. Nitakupa mfano mdogo.

Katika zoezi la kuondoa wafanyakazi kwa hoja ya vyeti feki, kuna wengi ambao walikuwa na mikopo ya taasisi mbalimbali za kifedha. Pia wengi huwa wanapunguzwa huko makazini, au hata kutimuliwa.

Wengi hufuatwa na mabenki hayo na kudaiwa kulipa madeni yao. Mabenki pia husaidiana na waajiri katika kumbana mtanzania huyu. Wachache husimama kidete na kuwakumbusha kwamba kwa kuwa mdhamini wa deni ni mwajiri, na yeye hayuko kazini, basi wawasiliane na mwajiri.

Sasa wewe inaonekana hujui sheria. Watanzania huogopa sana polisi. Ndio maana polisi hujifanyia watakavyo. Tundu Lissu ni mwanasheria, tena ni wakili wa courtroom. Hawa wanapambana na polisi kila leo, tofauti na wanasheria wa makampuni.

Ndio maana kule Nyamongo, wananchi wengi walibambikizwa kesi mpaka za mauaji, Lissu aliwatoa magerezani watu 400 bila kuwatoza fedha. Acha kupotosha watu
 
Lissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
utaitwa siku moja na wenzenu watu wasiojulikana ukiendelea kua na akiri za kipumbavu...eti na kwa simu....utajuwaje wana impersonate police officers ...kada mjinga kweri wewe
 
Sijaelewa Mikopo, Vyeti, na kukataa wito wa polisi vinauhusiano gani
 
Kabudi no waziri wa mambo ya nje ndie bosi wa mabalozi wote aweza ongea nao anytime
Wewe mwanamke acha utani, yani Kabudi awe bosi wa balozi wa Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa.

Tatizo lako wewe waga reasoning ni ndogo sana. Wewe unaweza kuwa bosi wa wazazi wako.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…