Acha ujinga Yaani Polisi kwenda kumpiga mabomu ni lisu aliwaomba kwenda sasa atafuta sababu kivipi?lissu anatafuta sababu ya kukamatwa au kuzuiwa kuendelea na kampeni kwa nguvu zote lakini alipolalia yeye wenzie ndipo walipoamkia wanampuuza tu hawamkamati na kampeniaendelee mpaka pumzi itakapomkatikia aache mwenyewe asubiri kuapishwa kwa jpm yaani sasa hivi hata akienda kumfinya jpm hakamatwi anaachwa tu tumeshamjua janja yake
Umetafakari vizuri sana. Ila mie najiuliza. Tuliona mtanange wa Lissu vs Mkurugenzi NEC kuhusu wito. Ikaonekana wito wa Mkurugenzi una mapungufu. Lissu akapangua wito huo. Lakini hata wito wa IGP nao una mapungufu pia. Wote pia wanaonekana kujawa na jazba. Nadhani miito yote miwili haitokani hasa na maamuzi ya Taasisi hizo mbili, Polisi na NEC. Nadhani inatokana na "natamani ningekuwa IGP" na "natamani ningekuwa mkurugenzi wa NEC". Pia "pumbavu" toka kwa Magufuli.Wote tumeshasikia kwenye TV kwamba IGP kaamuru Tundu Lissu aende kuripoti kituo cha polisi Moshi. IGP ambaye ndiye top alisisitiza kwamba hiyo ni amri toka kwa IGP. Hiyo ni taarifa ya habari.
Masaa mawili baada ya taarifa ya habari ikasambaa mitandaoni barua ya kumwita Tundu Lissu akahojiwe kwa matamshi yake kwenye shughuli zake za kampeni.
Saa moja baadaye Tundu Lissu amejibu kwenye Twitter yake kwamba wito wa polisi siyo barua ya kirafiki, wito ni amri ya kisheria inayopaswa kueleza kosa unaloitiwa. Kwamba barua yenyewe ameandikiwa mwenyekiti wa CHADEMA na siyo yeye Tundu Lissu na haijaeleza kosa.
Hivyo yeye kama Tundu Lissu ataendelea kesho (leo) na ratiba yake ya mkutano na mabalozi.
Kimsingi ngoma ilitakiwa iishie hapa kwani makosa ya kampeni, kama kweli yapo au kauli kwa mgombea yeyote hayashughulikiwi na polisi.
Nimesema kimsingi ngoma ilitakiwa iishie hapa. Lakini kuna tetesi kwamba hata polisi wenyewe wanajua wamechemka. Wote wanajua sheria inayotawala ni ya uchaguzi na siyo makosa ya jinai.
Pamoja na kujua hayo yote bado mkakati wa kumkamata Tundu Lissu uko palepale na atakamatwa.
Wakishamkamata hawatamfanyia jambo lolote baya ila watakuwa wameshapata kipimo kwamba ukmuonea Tundu Lissu mwaka huu kitatokea nini hapa nchini na jumuiya ya kimataifa itafanya nini.
Maana kiukweli wote hatujajua ukimgusa Tundu Lissu kinatokea nini.
Tusubiri hadi saa 10 jioni tuone yanayokuja
Inambanaje na washa surrender? πMakosa hayo ya kiuandishi sio utetezi kabisa kisheria, Tundu anajua hilo na hiyo barua kupelekwa kwa Mwenyekiti wa Chama chake kwake sidhani kama ni utetezi anapaswa atambue kuwa Chama ni Cha mwenyekiti na Chama hicho ndio kimemdhamini yeye kuwa Mgombea wa Urais na hata alipofika Tume aliwasilisha barua ya Utambulisho kutoka kwa Chama ambayo Katibu wa Chama ndio alimtambulisha Tume. Hivyo Polisi kumtaarifu Mwenyekiti juu ya hilo ni sahihi kabisa kuwa mtu wako anahitajika. Na anahitajika kuhojiwa kutokana na matamshi na kauli zake alizozitoa.
Tundu anachofanya ni kuchelewesha tu lakini bado sheria inambana.
Kwa hiyo kauli za Lissu ni mbaya ila za kalio anasema mkichagua wa vyama vingine haleti maji ni nzuri?
Nchi kwa double standard inashangaza sana, hawa polisi hivi wote ni form four failure? au wote brainwashed tu? Sometimes tukiitwa monkeys tunajifanya na hasira ila tabia hizi ni za nyani
Lissu kashavunja mkeka police washa sitisha witoWote tumeshasikia kwenye TV kwamba IGP kaamuru Tundu Lissu aende kuripoti kituo cha polisi Moshi. IGP ambaye ndiye top alisisitiza kwamba hiyo ni amri toka kwa IGP. Hiyo ni taarifa ya habari.
Masaa mawili baada ya taarifa ya habari ikasambaa mitandaoni barua ya kumwita Tundu Lissu akahojiwe kwa matamshi yake kwenye shughuli zake za kampeni.
Saa moja baadaye Tundu Lissu amejibu kwenye Twitter yake kwamba wito wa polisi siyo barua ya kirafiki, wito ni amri ya kisheria inayopaswa kueleza kosa unaloitiwa. Kwamba barua yenyewe ameandikiwa mwenyekiti wa CHADEMA na siyo yeye Tundu Lissu na haijaeleza kosa.
Hivyo yeye kama Tundu Lissu ataendelea kesho (leo) na ratiba yake ya mkutano na mabalozi.
Kimsingi ngoma ilitakiwa iishie hapa kwani makosa ya kampeni, kama kweli yapo au kauli kwa mgombea yeyote hayashughulikiwi na polisi.
Nimesema kimsingi ngoma ilitakiwa iishie hapa. Lakini kuna tetesi kwamba hata polisi wenyewe wanajua wamechemka. Wote wanajua sheria inayotawala ni ya uchaguzi na siyo makosa ya jinai.
Pamoja na kujua hayo yote bado mkakati wa kumkamata Tundu Lissu uko palepale na atakamatwa.
Wakishamkamata hawatamfanyia jambo lolote baya ila watakuwa wameshapata kipimo kwamba ukmuonea Tundu Lissu mwaka huu kitatokea nini hapa nchini na jumuiya ya kimataifa itafanya nini.
Maana kiukweli wote hatujajua ukimgusa Tundu Lissu kinatokea nini.
Tusubiri hadi saa 10 jioni tuone yanayokuja
Kwa hiyo yeye ndie alijiandikia barua au police?lissu anatafuta sababu ya kukamatwa au kuzuiwa kuendelea na kampeni kwa nguvu zote lakini alipolalia yeye wenzie ndipo walipoamkia wanampuuza tu hawamkamati na kampeniaendelee mpaka pumzi itakapomkatikia aache mwenyewe asubiri kuapishwa kwa jpm yaani sasa hivi hata akienda kumfinya jpm hakamatwi anaachwa tu tumeshamjua janja yake
mtashangaa sana mwaka huu mitego yake yote hanasi mtu subirini jpm aapishwe ndo mtajuaKwa hiyo yeye ndie alijiandikia barua au police?
Police hawakufuata taratibu kwenye kuandika barua na kumwita..? Halaf unasema lissu anatafuta sababu.. how? Grow up man..
Waaambie hao hao ila sio mm . Maana si mwanasiasa wala siko upande wa mtu yoyote. Nimeuliza logic jibu logicmtashangaa sana mwaka huu mitego yake yote hanasi mtu subirini jpm aapishwe ndo mtajua
Siku anapishwa urais tafuta pa kukimbiliaAnajua kabisa ameshashindwa.
Tunakuja hapa baaada ya tarehe 28 tuone hao wazungu wenu na nyie mkikinukishaSiku anapishwa urais tafuta pa kukimbilia
Wazungu wa nin jeshi la police na jwtz wakae pemben watuachie JPM sisi mwepesi yule tena mwoga hatari π π πTunakuja hapa baaada ya tarehe 28 tuone hao wazungu wenu na nyie mkikinukisha
JPM anafanya vitendo nyie endeleeni na u keyboard warriorWazungu wa nin jeshi la police na jwtz wakae pemben watuachie JPM sisi mwepesi yule tena mwoga hatari π π π
Kama alivoshindwa 2015 atashindwa tena 2020 kwa tume yake mwenyewe aliopanga..JPM anafanya vitendo nyie endeleeni na u keyboard warrior
Watanzania wengi wanaonewa kisa hawajui sheria. Nitakupa mfano mdogo.Makosa hayo ya kiuandishi sio utetezi kabisa kisheria, Tundu anajua hilo na hiyo barua kupelekwa kwa Mwenyekiti wa Chama chake kwake sidhani kama ni utetezi anapaswa atambue kuwa Chama ni Cha mwenyekiti na Chama hicho ndio kimemdhamini yeye kuwa Mgombea wa Urais na hata alipofika Tume aliwasilisha barua ya Utambulisho kutoka kwa Chama ambayo Katibu wa Chama ndio alimtambulisha Tume. Hivyo Polisi kumtaarifu Mwenyekiti juu ya hilo ni sahihi kabisa kuwa mtu wako anahitajika. Na anahitajika kuhojiwa kutokana na matamshi na kauli zake alizozitoa.
Tundu anachofanya ni kuchelewesha tu lakini bado sheria inambana.
utaitwa siku moja na wenzenu watu wasiojulikana ukiendelea kua na akiri za kipumbavu...eti na kwa simu....utajuwaje wana impersonate police officers ...kada mjinga kweri weweLissu anatafuta sababu ya kushindwa, kisheria polisi wanaweza kukuita hata kwa simu, maelezo utayakuta polisi na utapewa haki ya kusikilizwa ukiwa na mwanasheria wako au mtu yoyote.
Kabisaa hasa watawala maana baada ya kula kiapo basi kila kitu wanafungia kwenye makabati wanaanza kufanya wayafikiriayo kwenye vichwa vyao.Duuh ina maana hapa Tz watu wanapaswa kurudi tena darasani eeeh?
Yah 2015 alishindwa halafu akakuongoza hadi 2020 na anaongeza hadi 2050Kama alivoshindwa 2015 atashindwa tena 2020 kwa tume yake mwenyewe aliopanga..
Sijaelewa Mikopo, Vyeti, na kukataa wito wa polisi vinauhusiano ganiWatanzania wengi wanaonewa kisa hawajui sheria. Nitakupa mfano mdogo.
Katika zoezi la kuondoa wafanyakazi kwa hoja ya vyeti feki, kuna wengi ambao walikuwa na mikopo ya taasisi mbalimbali za kifedha. Pia wengi huwa wanapunguzwa huko makazini, au hata kutimuliwa.
Wengi hufuatwa na mabenki hayo na kudaiwa kulipa madeni yao. Mabenki pia husaidiana na waajiri katika kumbana mtanzania huyu. Wachache husimama kidete na kuwakumbusha kwamba kwa kuwa mdhamini wa deni ni mwajiri, na yeye hayuko kazini, basi wawasiliane na mwajiri.
Sasa wewe inaonekana hujui sheria. Watanzania huogopa sana polisi. Ndio maana polisi hujifanyia watakavyo. Tundu Lissu ni mwanasheria, tena ni wakili wa courtroom. Hawa wanapambana na polisi kila leo, tofauti na wanasheria wa makampuni.
Ndio maana kule Nyamongo, wananchi wengi walibambikizwa kesi mpaka za mauaji, Lissu aliwatoa magerezani watu 400 bila kuwatoza fedha. Acha kupotosha watu
huyu urais atausikia kwenye redio tuNitaendelea na ratiba yangu ya kikao na mabalozi kesho."
Wewe mwanamke acha utani, yani Kabudi awe bosi wa balozi wa Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa.Kabudi no waziri wa mambo ya nje ndie bosi wa mabalozi wote aweza ongea nao anytime