Pambana na maisha yako mbwa wewe mwanasiasa hawezi badili chochote kwenye maisha yako.Wajinga nyie mnataka mturudishe zama za kale.Huu mwendo ni mdundo tu wezi nyie na tutashinda kwa kishindo.Huyu huyi Silinde si ndiye mlikuwa mnamchagua.Tunawarudishia na lazima ashinde pumbav kabisa
Nani kakwambia mamlaka hayapo kwenu. Muanze na kurudisha mamlaka kwa wananchama wa Chadema kwanza kwani mamlaka sasa hivi yapo kwa mwenye chama Mbowe. Mkiweza hilo na kubadili katiba ya chama chenu ndio mfikirie kubadili katiba ya nchi.
Halimashauri mliiongoza sasa mlishindwa nini kupeleka maji hapo Tunduma
Pambana na maisha yako mbwa wewe mwanasiasa hawezi badili chochote kwenye maisha yako.
Miaka 59 jimbo halina maji, inamaana jimbo limeongozwa na chadema miaka 59???? Ccm ni takataka hata walioichagua kwa miaka59 bado hawana majiSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Hajitambui kabisa huyo. Anadhani ana hati miliki na nchi yetu. Sasa ni kutompigia kura. Na ole wake aibe kura. Hapatatosha.Habari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Jiulize wewe uliyesema kwenu maji ni muhimu ina maana miaka yote hakujua kama maji ni ya muhimu hadi jiwe aje awatishe? Au wewe ndiyo kama jiwe akili kama👇View attachment 1587851
Wewe unalo lolote ilo zigo la mavi kichwani hujui km maji yanaletwa kwa Kodi zenu mnafikiri watawala wao ndio wanayaleta ELIMU YA URAIA INAHITAJIKAHuna lolote
Aulizwe geita kwao wana majiHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Zamani wakat wa utawala wa chadema yalikuwepoSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
2015 hukumpgiq kura?SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
nenda mkalama ukajionee,ni mwendo wa visima kwa kwenda mbeleMajimbo ya CCM maji yamejaa matope tupu
SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
wewe si mwanatunduma,watu walishachoka na siasa za upinzani haujasaidia lolote,watu hawawezi kukosa kisa tukuchague wewe,bungeni unasusa susaHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Maji ya masimango kama vile anatoa pesa yake mfukoni
acha utapeli. Miaka 60 bila maji haiwezekanii. Labda ukoo wenu wote utakua marehem. Halafu ccm hatujatawala miaka 60. Uongo utawafikisha pabayaaMiaka 60 bila maji aliyekuwa anatawala ni Clinton au ni CCM? Kweli uchawi Upo?