Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Mnataka kumpa magufuli presha nyie watuHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Tangu lini chadema wakawa na bajeti ya kuleta maendeleo? Eleza hizo fedha chadema walizipata wapi. Maana kila siku ikifika bajeti ya kuendeshea taifa wao wanatengeneza kiki za kukimbi inje wakisema bajeti ni hewaa. Sasa huo utawala wa chadema ulioleta maji tunduma, fedha walizipata wapiii??Zamani wakat wa utawala wa chadema yalikuwepo
Wewe ni mtumwaSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Hata mkoloni hakufanya iviTukose maji kwaajili yako bambav Silinde oyee
Kwahiyo asiposhinda silinde ni kweli maji hayataenda?SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
duuuh....!! umekomaa, nikuambie kitu... hata mimi usiponichagua skupi maji...SEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Wapeleke maji, kodi ilikusanya chadema?Nani kakwambia mamlaka hayapo kwenu. Muanze na kurudisha mamlaka kwa wananchama wa Chadema kwanza kwani mamlaka sasa hivi yapo kwa mwenye chama Mbowe. Mkiweza hilo na kubadili katiba ya chama chenu ndio mfikirie kubadili katiba ya nchi.
Halimashauri mliiongoza sasa mlishindwa nini kupeleka maji hapo Tunduma
Wewe ni mkimbizi na bila shaka hapo nguruka unakaa mtego wa noti. Hivyo urudi kwenu Burundi au kambi ya Nyarugusu makere.Wewe ni mtumwa
Hivi umeona Kenya ndio ya kuilinganisha hakuna jipya hapoMaendeleo ni haki yako ya msingi ya maji safi inatengenezwa kwa Kodi yako magu hana uwezo wa kutoa hela mfukoni mwake ameshawapima km hamna uelewa wowote wa haki zenu ndio maana ana wakazia hutuba km hii huwez ukaisikia Nchi Kama Kenya mtaji wa CCM ni nyinyi mambumbu juu wa uelewa wa haki zenu
Nyiye wote mnaobwabwaja bado mnaishi kwa baba na mama tunawapuuza bureHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Miaka yote alikuwa yeye? Ndio mjiulize mmekosea wapi? Kabla ya kutoa lawamaHuyu mccm ajiangalie kauli zake yeye sio Mungu kwahiyo tukiamua tunaweza kumlilia Mungu wa kweli aliye hai na akamjibu,wana Tunduma wameishi miaka yote bila maji kama sio Mungu aliyewatetea ni Nani?!?
Maendeleo ya masharti kana kwamba pesa zinatoka mfukoni mwake!!!Mkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.
Kwani ilani ya chadema imesema nichagulieni mgombea wa ccm ilitulete maendeleo wotee?? Acheni kujitoa ufaham.duuuh....!! umekomaa, nikuambie kitu... hata mimi usiponichagua skupi maji...
KWANI KUNA SIKU CHADEMA WAMESEMA CHAGUENI MBUNGE WA CCM ILITUSHIRIKIANE KULETA MAENDELEO??Maendeleo ya masharti kana kwamba pesa zinatoka mfukoni mwake!!!
Kunasiku atasema toeni wake zenu mwisho atasema shikeni ukuta nanyi mtashika, maana yule jamaa anapenda sana hizi mambo.
JIANDAENI KWA HAYO, SI MNATAKA MAENDEO!
acha utapeli. Miaka 60 bila maji haiwezekanii. Labda ukoo wenu wote utakua marehem. Halafu ccm hatujatawala miaka 60. Uongo utawafikisha pabayaa
ooHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Sawa...Kila la kheriHabari wangu?
Hivyi ulisikia wapi, Mtu anaomba kura kwa vitisho?? Wanatunduma wameishi miaka 60 bila Maji alafu Leo wanatishwa eti wasipomchagua silinde, hawatapata Maji! Who is silinde by the way????? Sisi ni watu wazima, huwezi kutupangia cha kufanya, ww subiri tu tarehe 28!!
Miaka yote 60 Ccm imeshindwa kuleta maji na watu walikuwa wanaishiSEMA WEWE NA FAMILIA YAKO MNAOSHINDA NA KULALA HUKO VIJIWENI. LAKINI SISI WENYEFAMILIA NA TAASISI HAPA TUNDUMA, KURA ZETU NI CCM KWAKUWA MAJI NI MUHIMU SAANA.
Hela sio ya baba yakeMkuu acha kupotosha umma wanaohangaika kwa ukosefu wa maji na akina mama wanao amuka sa8 za usiku kwenda kuteka maji siyo wewe mhuni unaeamkia vijiweni kupiga porojo.
Acha wananchi Tuchague maendeleo hivyo vyama vyenu msituhusishe navyo.