Nilikuwa Geita mwaka 2012, nikapita kununua nguo na viatu kwenye boutique za hapo, ebanaeeee! Kuna nguo na viatu pale ambavyo Mwanza havipoKwa hili nakubaliana na wewe, Katoro bidhaa zinauzwa kwa bei rahisi ukilinganisha na maeneo kama jiji la Mwanza
Umeona eeh. Pako poa sanaNilikuwa Geita mwaka 2012, nikapita kununua nguo na viatu kwenye boutique za hapo, ebanaeeee! Kuna nguo na viatu pale ambavyo Mwanza havipo
Huu ni uongo kabisa.Sidhani kama Kariakoo Kwa volume ya biashara inaifikia Tunduma,najua mtabisha ila tukija kwenye figures ndio utashangaa.
Mkoa wa Songwe ni WA 6 Kwa mapato makubwa(TRA) Tanzania na 90% ya mapato hutoka forodha ya Tunduma zaidi ya Bil.150
Kariakoo ni bil.40 ππ
Na haitakaa itokee sehemu pesa iwe nje nje.Hakuna sehemu ambayo hela ni Nje Nje ππ
Ndio mnavyodanganya watu si ndio?
Walichokiangalia Wadau ni wengi na ukubwa Wa kariakoo unachangiwa na population yote ya Tanzania wanaitwgemea Kariakoo, Ila wanaosifia Tunduma wanaangalia. Udogo wa Mji na Shughuli Zinazofanyika Tunduma utaona napo Panaukubwa kiasi Gani kwenye Shughuli za Kiuchumi. Naifahamu sana Kariakoo na ni mwenyeji mitaa na piyaOngeeni yooote, mwisho wa siku kwa Tanzania hii hakuna sehemu yenye mzunguko mkubwa wa pesa kama Kariakoo hata ukiweka mahaba yako ila uhalisia utabaki kuwa kama ilivyyo. Ukishangaa uuzwaji wa bidhaa kwa bei nafuu Tunduma, nenda Katoro na Geita kwa ujumla na ni miji ambayo haiko mpakani ila kuna bidhaa zina either bei nafuu kama Kkoo au sawa na Kkoo lakini mwisho wa siku bado wafanyabiashara wanapahitaji Kariakoo.
Hakika kabisa hakuna sehemu ambayo utakaa tu kizembe zembe alafu utegemee fedha iingie bila kukaza buti .Ule ni mji wa kuchakarika na kama unataka fedha ije kichwa lazima ifanye kazi ,kitu kingine Tunduma licha watu kuwa na hela nyingi lakini watu baadhi pia wanajishughulisha sana na kilimo cha mahindi kitu kinacho ongeza flow of moneyHakuna sehemu ambayo hela ni Nje Nje ππ
Ndio mnavyodanganya watu si ndio?
Tanzania Kuna nafuu kuliko huko Bush Zambi
Nina Jamaa zangu hapo Chinsali mafundi wa mageti milango , kuchomelea mageti, na Jamaa flani wanauza Mafuta kwenye madumu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Niko chinsali ss hivi namole nilishahama
Hili lingekuwa zoez endelevu π€£Mafuta Zambia yapo chini ukiwa na gari lako unavuka tu boda Zambia unajaza full tank unarudi zako tu Tunduma
Mkuu, hivi unaelewa ulichoandika?Sidhani kama Kariakoo Kwa volume ya biashara inaifikia Tunduma,najua mtabisha ila tukija kwenye figures ndio utashangaa.
Mkoa wa Songwe ni WA 6 Kwa mapato makubwa(TRA) Tanzania na 90% ya mapato hutoka forodha ya Tunduma zaidi ya Bil.150
Kariakoo ni bil.40 [emoji23][emoji23]
Nikuletee takwimu?Mkuu, hivi unaelewa ulichoandika?
Unaijua vizuri Kariakoo?
Ukihitaji ufafanuzi zaidi nitafuteMkuu vipi kuhusu vipodozi
Ukihitaji ufafanuzi zaidi nita
Nikutafute kivipi mkuu?Ukihitaji ufafanuzi zaidi nitafute
Hiyo mbona ni kwaida mipakani mkuuNilichoka hapo Tunduma baada ya kukuta vijana wamepanga hela mikononi kama milioni kumi kumi hivi wanabadilisha na dollar au kwacha ya Zambia. Hawana wasiwasi na maisha yanaenda tu, nilipowauluza wazawa wakasema hayo ndiyo maisha yao, kwa kweli sijawahi shuhudia sehemu nyingine yeyote ile hali. Inaonyesha mzunguko wa hela ni mkubwa sana hapo mjini Tunduma
Hadi simu pale Tunduma bei ni chee kingese ππ TVs hizi ndo usiseme na unapata kitu OG kabisa..Tunduma ni noma kunavitu vinauzwa beindogo kuliko hata kariakoo.mfano vifaavyote vya elictronics.π€£π€£π€£
Mpaka sasa ukienda Katoro nguo na mavazi bei ni kitonga, wafanya biashara baadhi kutoka Mwanza na mikoa jirani sikuizi wanafata mzigo kule...Nilikuwa Geita mwaka 2012, nikapita kununua nguo na viatu kwenye boutique za hapo, ebanaeeee! Kuna nguo na viatu pale ambavyo Mwanza havipo
Hakika mkuuHadi simu pale Tunduma bei ni chee kingese ππ TVs hizi ndo usiseme na unapata kitu OG kabisa..
Vipi. Kigoma na kule Nyasa nako unafuu utakuepo kwerLakini sasa ziwa haliwasaidii kiubadili maisha yao ya kiuchumi. Ndio mkoa wa mwisho kwa umasikini wa kipato!
π π π π amerudi DAR....Jamaa amepasifia sana Tunduma Fursa nyingi akamishiwa Tunduma akapapenda sana, akarudi dar kidogo baadae akamalizia kuwa Tunduma kapaacha tena amerudi dar moja kwa moja
π€£π€£π€£Akawekeze uko uko chiefπ π π π amerudi DAR....