Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Kkoo habari ingine mazee
Africa inasemekana Ethiopia ndo Wana soko linakaribiana na kkoo
Tunduma mbona hotel za maana hazifiki hata 10?..
Anyway Tunduma ni mji wa magendo toka Enzi za Nyerere
Kkoo kweli ni kubwa ila hapa tunashangaa mji mdogo Tunduma kuwa na mambo yanayokimbizana na Kkoo
 
Huu uzi ilikuwa niuandike muda mrefu kwa mambo niliyojionea kwenye mji wa Tunduma. Kwa ambao hajawahi fika Tunduma wanaweza kudhani ni ka-mji kadogo ambacho kipokipo tu. Kwa sisi wa Arusha tulikuwa tunaamini Namanga ndo mji mkubwa zaidi wa mpakani kwa Tanzania kumbe kuna Tunduma.

Kinachonifanya niandike ni biashara kubwa iliyoko Tunduma. Ule mji wa mpakani kwa mjasiriamali mdogo ni sehemu sahihi ya kwenda kusoma ramani. Uchangamfu wake unaendana sana na Kkoo tofauti ikiwa ni ukubwa tu. Ila wafanyabiashara wa nguo Tunduma wanawezaje kuuza nguo za jumla kwa bei sawa na ya Kariakoo? Baadhi ya wafanyabiashara huuza bei chini hata kuliko Kariakoo. Kimahesabu imekaaje hii? Hata vitu vingine jamaa wako fair.

Kimsingi Tunduma ni boda kubwa zaido bongo yenye fursa nyingi sana.
Acha kutupanga kwaiyo mikoa yetu niyakishamba
 
M

Kuna madogo pale wanapesa Hadi unaogopa. Mfano yule Dogo mwenye Maduka ya kuuza matajiri na Vituo Vya Mafuta Frame nyingi pale kuanzia Round about ni za huyo dogo , anawavua watu nyumba Bei za Kariakoo na Ilala na Mwenzie yule mwenye Maduka ya kuuza simu na Hotel jirani na Soko la Mazao ana Supply simu na accessories nyingine karibu Zambia yote na Lubumbashi, Au huyu Tajiri agent wa bidhaa zote za Madukani Kwa Wahindi ana Supply bidhaa Hadi Zambia. Piya amejenga Kiwanda Cha Kusindika Mafuta ya Kula amejenga Upande wa Zambia , na Malighafi yake ananunua Soyabeans wakulima waxambia wanapeleka Nakonde kwake,

Si umtaje tu km Manyanya [emoji3][emoji3]
 
Wewe naona unapitaga ndani ya gari tu watu wenye mpo ndani ya gari lazima mpigwe bei iyo ipo sehemu yote.

Tunduma Kuna machaka ugari maharage na mboga za majani jero tu [emoji16] unapewa na advantage ya kachumbari ya free.
kweli kabisa, mshamba hawezi kuelewa
 
Si umtaje tu km Manyanya [emoji3][emoji3]
Yule Jamaa pamoja Mpunga anaomiliki ila Bado ni mtu mungwana mnyenyekuvu msikivu Unamkuta yupo pale Dukani kwake anacheka na kutaniana na wateja wake , Huwezi zania ametoka Mbozi ndani ndani Maduka yake yote yameunganishwa na Mifumo ya kisasa piya Vituo vyake vya Mafuta vimeunganishwa kwenye mifumo mizuri ya kisasa kudhibiti Wafanyakazi wezi.
 
Back
Top Bottom