MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
- Thread starter
- #121
Hiyo Tunduma yote hadi Mpika upande wa Zambia ndo kulivyo.Kwa wahuni usalama zero.
Kimji hakina hata vegetation yaani Dodoma Kuna uoto kushinda hapo Tunduma.
Miji ya hivyo siwezi ishi,ndio maana hata Watumishi wengine wanaishi Vwawa.