Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

Hata Namanga upande wa Kenya kuna wasomali wanabadili fedha ila wao angalau wana vibanda kama vya m-pesa sio hadharani kama Tunduma.
 
ni kwa vile inapakana na nchi nzuri ya Zambia
 
hizi statistics umezitoa mchambawima au wapi...
 
ni kwa vile inapakana na nchi nzuri ya Zambia
Wewe mfuasi wa Mbowe usijidanganye. Zambia haina uzuri wowote. Hii ni barabara kuu ya Nakonde - Kapiri Mposhi ilivyo kwa sasa. Mashimo kama yote. Ukiamka asubuhi nenda ofisi ya CCM iliyopo karibu ukashukuru kwa ilani nzuri ya uchaguzi iliyosambaza lami nchi nzima.
 
Tunduma ni mji mkubwa wa mpakan lakin hauna deal kubwa za mpakan kama mpaka x. Ngoja niishie hapo.
 
Hiyo Tunduma yote hadi Mpika upande wa Zambia ndo kulivyo.
Ndio siwezi ishi kwenye kimji Cha hivyo hivyo.

Miji yote Iko covered na Vegetation hata Dodoma imeishinda.
 
Tafuta hela kwa bidii kikawaida mtu akiwa na pesa huyo moja kwa moja ameshastaarabika hawezi kufanya mambo ya ajabu ajabu...kusoma unakosema ni kama kabudi,lipumba,mdee,bulaya nk?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…