Tunduma ni mji wa kipekee. Mapigo yake ni kama Kariakoo

VP unamuongelea Bahati mnozya MANYANYA ?
 
Ila na ukimwi upo. Vijana wengi sana ndugu zake na Bujibuji wamekufa sana kwa ukimwi. Pale ilikuwa au ndiyo kituo cha kuuchukua na kuusambaza😭🙆‍♀️😥😪
 
Ule ni mji wa mipango kama wewe huwa kama unapita kama mtoto wa shule huwezi elewa

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile ap

Ila na ukimwi upo. Vijana wengi sana ndugu zake na Bujibuji wamekufa sana kwa ukimwi. Pale ilikuwa au ndiyo kituo cha kuuchukua na kuusambaza😭🙆‍♀️😥😪
Nyumba ambayo nilipanga mwenye nyumba na mkee wake wote waliokuwa wametangulia mbele ya Haki waliokuwa wamewacha watoto wadogo sana , Baby Yao ndio alikuwa anachukywa Kodi na kuwatunzs wale watoto
 
Wewe umeajiliwa unatumia akili ya Bos wako sisi tumejiajili tuache na tunduma yetu . Kwani wewe unaishi wapi Ilembo,mwenge ,ichenjezya,ilolo,old vwawa,mtambwe au isangu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…