Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Wizooo mie nipooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wizo umenisusaaaa [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
π€ΈββοΈπBalaa lako nalikumbuka ulitaka unitoe roho nimwage ubongo
September Eleven π
Mkuu,wachezaji simba huwezi kusema ni wabaya ...pale simba tatizo uongozi
Haya we niambie !..:ayub lacked,che Malone,ngoma,na onana je?Hawa wabaya?tarehe 20 tukifungwa tutahakikisha viongozi hamtoki uwanjani
YeahπKumbe...
πππ
Mimi hii sumbai kuna mpuuzi mmoja alinifanya masomo na elimu nikaiona ngumu. Sijui kwann jina lake lilikuwa linaclick kichwani paka nikajiitaYeahπ
Alikua ni mwalimu au mwanafunzi?Mimi hii sumbai kuna mpuuzi mmoja alinifanya masomo na elimu nikaiona ngumu. Sijui kwann jina lake lilikuwa linaclick kichwani paka nikajiita
Weka picha tuone ..Sio siri jamani mie mwenzenu nina komwe la haja.
Yaani mimi ni NYAMKOMWE haswaaaaa..... π’π’
Shangazi mimi jamanii najihurumiaaa π’π’π’
Cc Lamomy Extrovert cocastic adriz mshamba_hachekwi Poor Brain
Nilipatwa kuitwa msanii nikiwa O-Level kwasababu ya fix nyingi na janja janjaπ πThe truly one.
Much pal pal my Deπ
Now Msanii ni nani?
View attachment 2964854
View attachment 2964855
Mwalimu. Alinipiga sup na carryova. Kwakweli alinifanya nikawaacha wachumba zangu na kuamua kusomaAlikua ni mwalimu au mwanafunzi?
Jina halisi ulilopaswa kuitwa ni Prof. Ndumilakuwili. Fix kibao na mbinumbinuNilipatwa kuitwa msanii nikiwa O-Level kwasababu ya fix nyingi na janja janjaπ π
Sasa siumshukuru! Ulipata degree yako lakini?Mwalimu. Alinipiga sup na carryova. Kwakweli alinifanya nikawaacha wachumba zangu na kuamua kusoma