Huyo mwanamke au grand p wanatumia jina gani insta?Mie nashinda huko insta kushuhudia futuhi zao, yaan wanachekesha hadi baas,
Kuna clip huyu mmama alikua km anamkalia jamaa (kupakatwa), jamaa alitoa kelele na ile sauti km nyuki na lafudhi isiyoeleweka,
Nilicheka nusu nizimie wallah. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duuh!! R.i.p
yani hawaendanina huyo dada hiloumbo lake ndio kabisa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wallah nimecheka hadi watu wananshangaa tyuuh.
Chumbani hapo kwa dada ni maumivu tu hapo hamna kitu aiseHatakama mapenzi ni sanaa,chumbani INAKUAJE?
Mwanamke hata kulala na tembo anaweza ilimradi tu tembo awe anatoa pesaAisee wanaume ni majasiri,ila sisi wanawake ni majasiri zaidi..khaaa
Kwanini BossWonders shall never end....wanawake majasiri sana zaidi ya wanajeshi waliovuta bange
Dah balaa mkuu.Kwa tako hilo na mipaja hiyo huyu dogo kuuona ufalme itakua ni kw mbinde sana sina uhakika kuuingia.ndio maana picha zote anaonekana mwenye mawazooo[emoji23]
Jamani nimecheka 😂, eti vogueHongera Grand P kwa kumiliki Vogue.
Wewe umejuaje kampendea pesa? Kwani upo kwenye moyo wake?Mwanamke hata kulala na tembo anaweza ilimradi tu tembo awe anatoa pesa
MhGrand P katika pozi
View attachment 1701718
Kiboko ya Grand P anaitwa Eudoxie
View attachment 1701719View attachment 1701721Mtot mkali akiwa paris, shukrani kwa Grand P
View attachment 1701722View attachment 1701723View attachment 1701724View attachment 1701725View attachment 1701726
Hahahahahaha aisee umenichekesha kwa sauti .Dah balaa mkuu.Kwa tako hilo na mipaja hiyo huyu dogo kuuona ufalme itakua ni kw mbinde sana sina uhakika kuuingia.ndio maana picha zote anaonekana mwenye mawazooo[emoji23]
Kuna video yake akiwa kwenye shooo😂😂😂 sio mbaya kiivo anajitahidiHatakama mapenzi ni sanaa,chumbani INAKUAJE?
Yaani boss ukiitazama tu hyo picha unapata majibu jinsi ujasiri wenu ulivyo..Kwanini Boss
Tucheke tu maana couple yenyewe kichekesho toshaHahahahahaha aisee umenichekesha kwa sauti .