Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Nimesoma na Mheshimiwa Sugu shule ya Msingi Ligula,Mtwara.

Tukiwa darasa la pili tulikaa dawati moja na alikuwa ni rafiki yangu sana,tukitoka darasani muda wa saa tano tunakwenda nyumbani kwetu Ligula B tunachota korosho kwenye debe(korosho first grade za kutoka kiwanda cha korosho Likombe ambazo huwa zinauzwa nje ya nchi) tunaweka kwenye mifuko ya kaptura tunakula baadae anakwenda nyumbani kwao kiyangu.

Alikuwa anajulikana kwa jina la Joel.
MAY ndio maarufu sio JOEL ingawa yote tulikuwa tunatumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
mda up we ulikuwa form ngp?
 
2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Hii Ni kweli kabisa, hamisa alisoma tandika
 
Nimepita hapo tosamaganga
Nimesoma shule moja Tausi (yule muigizaji mfupi) ana pacha wake anaitwa Rose Mdegera. Mkorofi ni sijawahi kuona.

Sec mi nikiwa primary mshua anafundisha Tosamaganga basi nakaa kota alikua anasoma mdogo wake Prof J Black Rhyno alikua anaimba sana kwenye graduu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom