Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Sikusoma na Izzo B ila alikuwa Mwana sana alikuwa family ya kawaida nampongeza kapambana sana Namjua tangu anaanza yeye kama yeye kwa kipaji chake from 0 zero to hero kwa kusaidiwa na Marehemu Mbuzax na Quick Racka aka Aboti huyu Tuna undugu kidogo yeye Mtoto wa kishua hajasota chochote enzi hizo Mbeya ukitaja watuma salaam maarufu unatutaja Sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna watu nawaonaga mapimbi kama watuma salamu redion 😂😂 chesco mzee wa matunda na manka mushi
 
2010 hiyo

Diamond na mwenzie bob junior nawadai hela yangu sh 600 niliwakopesha mayai mawili.walikuwa wateja zangu kila siku nikiwakuta nje pale sharobaro rekod mogomeni mapipa lazima wanunue au wakope kesho yake walipe sas kuna siku nimewakut nje walikuw watatu wakala mayai mnne kila mtu halafu mond na bob wakaomba niwakopeshe moja moja kila mtu watanilipa siku nikiwakuta ..

basi sijalipwa hadi leo hii kila siku naambiwa dogo mpole hela yako kesho mdogo wetu ila wananunua basi ikawa.. kesho kesho kesho had nikakata tamaa ila sijasamehe 600 yangu boss wangu alinisema sana
 
MOSES KITANDU
Huyu ni yule mchezaji wa Simba kama sikosei msimu wa majuzi ndo alikuepo Simba maana kwa sasa simsikii huyu mwmba alikua mwanagu pia kwenye kundi letu..dah nikikumbuka lile kondi wengi wameishia kufeli kwa uhuni na usela uliopitiliza japo Moses yeyehakuwa muhuni kivile.

Azania 2012 timu ya shule iliongozwa na Captein Masud Jabir huyu kwa sasa ni mjeda na ni mwanangu mpaka kesho...huku kuna Abuu Moshi namba 8 hiyo(Mwizi hatari[emoji23][emoji23] kaliza sana watu) ,Ally Anya (alikua kipa huyo ni fala mmoja hivi alijipendekeza sana kwa Ngozye shenzi) ,Benson Kalonzo(R.I.P) Moses Kitandu (striker)...naimisi san Azania

UNAKULA SITAAAAA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Ngozye ukikaa vibaya unakula bonge la mkofi!!

5 PCM mwanangu mashola kakutana mlangoni na ngozie, akala bonge la mkofi! Dk 2 shavu loote alama ya mkono.
 
Wengine tumesona na Kinjekitile Ngwale enzi za vita vya MajiMaji.

Naye anahesabika celebrity.

For real ninesoma na Diplomatz na Y Thang wa Kwanza Unit Tambaza.

Tumefanya sana rap battles enzi hizo.

Siku hizi wengine washakuwa madaktari, wengine ma Ustaadh.

Sent using Jamii Forums mobile app

Y thang kabla hajageuka kuwa solo
 
Pengo alikua mtata kiseng** afu ukimuona hutaaamini ana kamwili cha kitoto siku moja pale faya alilianzisha yeyena Godzilla aise ilikua noma...ukija A level kulikua na mkuria mmoja hivi jina limenitoka alikua tolu afu mwili jumba alizingua sana watu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yule jamaa acha kbsa nakozi kama lami, unamkumbuka marehem justine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma na producer mmoja hivi kwa jina la C9 One popote alipo amani kwake mtu wangu, tulikuwa peace sana si utani. Jama namkubali sana hana maringo na wala sio mtu wa kubadilika na wala kuongea uongo [emoji111][emoji111][emoji111]

ᴾᵘⁿⁱˢʰ ᵒⁿˡʸ ʰᵉ ʷʰᵒ ᶜᵒᵐᵐⁱᵗᵗᵉᵈ ᵗʰᵉ ᶜʳⁱᵐᵉ [emoji377]
 
Tanga barabara ya Saba miaka ya 2003, 2004, 2005 tulikuwa tunaishi karibu na nyumbani Kwa Akina suma lee na CP walikuwa wananata balaa. Wakipita wako busy na workman zao hawasalimii mtu.....basi Kule kuwika na nyimbo mbili tatu walijiona wao Ndio wao.....basi watoto wote wa mtaani tunawashangaa
 
Sisi tulimtunga jina la fremason maana ukimtaja tu huyu hapo kashafika afu ajulikani katokea wapi.. yule mzee alikua anakariri hadi mabegi ***** waliokuwa wanaenda don bosco watakua mashahidi wa hili...kosa lolote jiandae kwa 6 alitutesa sana kwa rokooo zake yule mzee.
Ngozye ukikaa vibaya unakula bonge la mkofi!!

5 PCM mwanangu mashola kakutana mlangoni na ngozie, akala bonge la mkofi! Dk 2 shavu loote alama ya mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mwamba Mi naanza form one ndo mwaka mmoja nyuma amevuta kwa kipigo baada ya kusingiziwa wizi ila mwamba alikua maarufu sana Kuanzia Kisutu,zanaki,tuliani,benja,jamhuri na shule zote za mjini..school kila sehemu kulijaa machata yake.

Apumzike panapo stahili Mwamba...
Hahaha yule jamaa acha kbsa nakozi kama lami, unamkumbuka marehem justine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16] Kipindi kile watu walikua wanapiga boksa na kareti afu ukicheki Azania ni shule inayojali sana michezo....Sasa ungemuona Mjerumani ndo ungecheka zaidi.
Alikuwa mmoja wa wanafunzi wababe pale azaboy..Basi nilikuaga najua bonge la mtu..enzi hizo ukitajiwa dmx unatetemeka siku namuona naambiwa huyu ndiye dmx nilicheka Sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Irene uwoya green acres.. alikuwa sijui hesabu asubuhi ikifika anachukua safari Langu anakopi exercise the.
Kuna siku Mwl kuna siku Mwl alimuambia akaelekeze ubaoni kidogo ajikojolee.
umeandika kimawenge wenge
 
Hajasoma kilimanjaro dada yake D ndo alisoma kilimanjaroo tunda nilikuwa nakaa naee karibu kwenye nyumba,ya mzee wake na nilikuwa na shinda hukooo ndani kwaooo na waoo walikuwa wanakuja kwetuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hutaji maeneo.. Tunda kasoma kilimanjaro adi darasa la nne akahama.. Sasa wewe unakataa lakini husemi amesoma wapi..
 
Back
Top Bottom