Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Mkuu hapo kwa mangwair hebu tueleze life style ya jamaa kipindi hicho ilikuaje

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha the guy was real nigga, kipindi hiko ndio ametoka Dodoma yupo na washkaji wanakuja kujazana kwa Evans Kijitonyama. Evans alikuwa na ofisi ya kupigisha simu nyumbani kwa mama Nangwale opposite na ilipo Hotel ya KD (Kassim Dewji) Kijitonyama.
Hapo miaka 2000's ndipo harakati za mziki zimekolea free style kwa sana mpaka vijana wakuchipukia (sisi) tukitoka tu mashuleni tunaenda kushinda kijiweni hapo.
Nancy kipindi hiko ndio mrembo kupindukia tunashindwa kumsogelea. Mangwair alikuwa simple sana, hana makuu, bangi kwa sana.
Muda wa kujiandaa kwenda ofisini
Nitamalizia...
 
Pili Nimeisoma na Feruzi wa Daz Nundas Kizuka TPDF sec. School Moro hiyo, Kama atasoma hii post alikuwa anapenda sana kuniita toto tundu maana nilikuwa napenda Sana kuimba nyimbo zao.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Nami nakumbuka Alitalia pale 1999 ila alikua mtata kweli Kuna siku waliibuliwa kwa dali wakabimbiliswa kutoka kule hostel mpaka assemble kula sana mianzi,ila hapo Kuna mdau mwengine pale alikua anajiita Mr preside, dah life linaenda kasi Jamaa walikua wanatupa maji ya shingo live kabla haijafanyiwa madikodiko....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2005 na Maunda Zoro ingawa mwaka 2003 aliikwa scandal ya kumsaga mwenzie na test tube mpaka ikanasia huko ikawa shida kuitoa..

Though walisaidiwa na daktari wa shule wakafanikiwa na shule walitaka kuizima hiyo issue isiende kwenye media.

Alikuwa msanii wetu wa shule tangu enzi hizo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma shule moja Tausi (yule muigizaji mfupi) ana pacha wake anaitwa Rose Mdegera. Mkorofi ni sijawahi kuona.

Sec mi nikiwa primary mshua anafundisha Tosamaganga basi nakaa kota alikua anasoma mdogo wake Prof J Black Rhyno alikua anaimba sana kwenye graduu
Tosamaganga ya Mkangwa bila shaka
 
2005 na Maunda Zoro ingawa mwaka 2003 aliikwa scandal ya kumsaga mwenzie na test tube mpaka ikanasia huko ikawa shida kuitoa..

Though walisaidiwa na daktari wa shule wakafanikiwa na shule walitaka kuizima hiyo issue isiende kwenye media.

Alikuwa msanii wetu wa shule tangu enzi hizo..

Sent using Jamii Forums mobile app
Enzi za test tube ilikua ni hatari ivooo, waalimu wanashangaa mbona test tubes zinaisha maabara kila siku walivyogundua zikawa zinafichwa.
 
2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Hlf sijui kwanini shuleni waislamu huwa hawapendi kuingia kwenye vipindi vyao vya dini
Hata shuleni kwetu wengi walikuwa wanaingia kwenye darasa la dini la kikristo,mpk shehe anashtaki kwa walimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha
Mimi nimesoma secondary mnazi mmoja na rich mavoko alikuwa ni mtu wa bange hatari yani,baadae ndo akatoa nyimbo yake ile ya bachela

Bilk nas
Huyu mwamba nimesoma nae hapi cbe bachelor,dah huyu kiumbe ilikuwa kuonekana chuo ni siku za pepa tu lakini alikuwa yuko vizuri sana class na peace kwa kila mwamba hakuwa mtu wa dharau kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom