Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

MOSES KITANDU
Huyu ni yule mchezaji wa Simba kama sikosei msimu wa majuzi ndo alikuepo Simba maana kwa sasa simsikii huyu mwmba alikua mwanagu pia kwenye kundi letu..dah nikikumbuka lile kondi wengi wameishia kufeli kwa uhuni na usela uliopitiliza japo Moses yeyehakuwa muhuni kivile.

Azania 2012 timu ya shule iliongozwa na Captein Masud Jabir huyu kwa sasa ni mjeda na ni mwanangu mpaka kesho...huku kuna Abuu Moshi namba 8 hiyo(Mwizi hatari[emoji23][emoji23] kaliza sana watu) ,Ally Anya (alikua kipa huyo ni fala mmoja hivi alijipendekeza sana kwa Ngozye shenzi) ,Benson Kalonzo(R.I.P) Moses Kitandu (striker)...naimisi san Azania

UNAKULA SITAAAAA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mlikuwa na headmaster wenu mkimkorofisha anaenda kuwaweka selo ya pale superstar karibia na mgahawa..[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesona na ROMA mkatoloki pale USAGARA SEC wakati huo yeye ni basketballer anaetegemewa na shule huku mm ndo mwanamuziki bora zaidi pale.
Nakumbuka alikuwa anakuja kunipa ushauri akiwa na ANTONIO NUGAZ huyu wa Clouds (msemaji wa YANGA)
Jamaa walikuw wananikubali sana japo kuwa walinitangulia kidogo ila walinitambua mchango wangu.

Hata ile ngoma ya Roma (TANZANIA ) tumeplay kwa first time mahome SAHARE SEPOCHO 1

Ila chukushangaza wenzangu wametoboa mimi kibarua changu KUBET

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah pole
Utatoboa tu zidi kupambana,hata km sio kwenye music

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesoma na Mheshimiwa Sugu shule ya Msingi Ligula,Mtwara.

Tukiwa darasa la pili tulikaa dawati moja na alikuwa ni rafiki yangu sana,tukitoka darasani muda wa saa tano tunakwenda nyumbani kwetu Ligula B tunachota korosho kwenye debe(korosho first grade za kutoka kiwanda cha korosho Likombe ambazo huwa zinauzwa nje ya nchi) tunaweka kwenye mifuko ya kaptura tunakula baadae anakwenda nyumbani kwao kiyangu.

Alikuwa anajulikana kwa jina la Joel.
 
Kwanza kabisa Diamond alinichoma na spoke ya baiskeli akilitaka barafu la sh 20 nililokuwa nikilinyonya kijitonyama kisiwani pale uwanja wa mpira miaka ya 1997-99(sikumbuki the exactly year). Tulikuwa tunakawaida ya kucheza mpira tukitoka mazoezi ya uministrant kigangoni kabla ya kujengwa kanisa lililopo sasa. Mashindano ni kati ya watoto tunaotokea upande wa Knyama kuu na wale wanaoishi kuanzia kijitonyama kisiwani mpaka Tandale huko. Padre alikuwa akitokea parokia ya mwananyamala kuja kusalisha kigangoni.

Haha nikaja kukutana nae kwenye event yake 2014-15 pale Mlimani City keshakuwa maarufu, isingekuwa Ruge na mdogo wangu ambaye yuko THT clue yakina Linah, Rachel, Barnabas, Ditto na wengine asingenikumbuka. Tulikumbushana, tukacheka na tumeshayasahau hayo

Pili Nimeisoma na Feruzi wa Daz Nundas Kizuka TPDF sec. School Moro hiyo, Kama atasoma hii post alikuwa anapenda sana kuniita toto tundu maana nilikuwa napenda Sana kuimba nyimbo zao.
Tatu mtaani kwetu akahamia Mangwear akiwa chini ya jamaa mmoja anaitwa Evans na mdogo wake Nancy Kijitonyama wakiwa wanapigisha simu (ile ya waya TTCL unatoa hela kwa dakika kama sijasahau ilikuwa 250). Hapo ndipo lilipozaliwa kundi la East Zoo

Prof J usimsahau dogo lako uliyekuwa ukimshauri maliza kwanza shule ndio uingie kwenye sanaa maana wewe ndio ulikuwa rol modal wangu mpaka kwenda kwa MI Kamwamba Upanga kurekodi. Nilifuata ushauri wako na namshukuru Mungu now ni mhasibu na ni muajiriwa, mambo ya bongo flavor nilishatupa kule
Kwa leo tuishie hapo...
Kundi la East Zoo halikuanzia K'nyama, lilianzia Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dogo sio maarufu ila anajua sana.Sijui anakwama wapi?. (Diamond platnumz alishawah kuuliza hili swal)

IBRANATION

Huyu dogo nilimuacha darasa la 5 pale Ilala primary school Iringa.Enz hizo mkwawa high scul bado hakijawa chuo.Alikua dogo mpple na mtaratibu tu.mama ake alikua ni frnd zake sana na maza.Bro ake anaitwa athuman (last time nakugana nae kitambo kidogo kabla sijaondoka iringa alikuaga Diwani).huyu bro ake athuman alisoma na Bro angu mmoja.Alikua na dada yake anaitwa Zaina huyu alisoma na bro wangu first born.
Mama yake (almaarufu kama mama zaina) nae alishakuaga diwani mtaa wa Kajificheni.
Dingi yao (Mpogole) alikua dereva wa malori

 
Sikusoma na Izzo B ila alikuwa Mwana sana alikuwa family ya kawaida nampongeza kapambana sana Namjua tangu anaanza yeye kama yeye kwa kipaji chake from 0 zero to hero kwa kusaidiwa na Marehemu Mbuzax na Quick Racka aka Aboti huyu Tuna undugu kidogo yeye Mtoto wa kishua hajasota chochote enzi hizo Mbeya ukitaja watuma salaam maarufu unatutaja Sisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom