Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Ww ndio maloto.....umesoma na aslay njia ya Muongo Ni fupi hahahahahah unaiba story za watu fb huko na insta unasema ww ndio maloto....maloto ndio wa kusoma na aslay shenz
KISA CHA ASLAY KUCHEZEA BAKORA

By Sangu J

Mimi nimesoma na Aslay Isihaka pale Tandika Sekondari lkn nilimpita darasa moja Mimi nikiwa form three yeye alikua form 2.

Sasa wakati Ngoma yake ya naenda kusema Kwa Mama inatamba full kupata interview kwenye media kama zote, alienda kwenye Kituo kimoja cha radio nadhani ni Clouds FM sasa alitamba Kwamba siku hizi Shule hachapwi wala Viongozi wa Shule hawampi fagio akafagie.

Basi Jumatatu yake baada ya kufika Shule akakutana na Kiongozi (Kiranja) mmoja alikua anaitwa Theodory Mwingira alisikia Yale mahojiano basi jamaa hiyo siku alichelewq kufika Yule mshkaji akampa adhabu akazoe takataka kwenye eneo lenye nyasi nyingi na afyeke.

Basi Dogo Kwa kuwa ni Star alijifanya anaingilia huku anatokea huku (Kiufupi anamkwepa) basi Yule Dogo akaenda kusema Kwa Mwalimu mmoja alikua anaitwa Likalambile anafundishq Mathematics Hatari na kama mnavyojua Walimu WA mathe wanakuaga wakali sana basi Aslay aliitwa na Yule Ticha alipigwa bakora mpaka aliamua kwenda kuruka ukuta wa Shule Kwa bakora za Yule mwalimu.

Ikawa bonge moja la Stori Shule nzima Aslay kachezea kichapo tena Yule Mwalimu alimpiga akimwambia Nenda kaseme kwa Mama.

Kupata Stori nyingine nicheki Instagram na Facebook sangujoseph

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Dullvann bana tumecheza nae mpira sana na play station miaka 3 tu nyuma Play station tulikuwa tunacheza nae na alikuwa mchovu sana full kujipigia though the guy had a sense of humour since back then...Ali Kiba pia tumecheza nae mpira sana though tayari alishaukwaa ustaa kitambo.
Tiny White tumekunywa nae chai sana hapo Baracuda Tabata...

Kina brother Dullysykes tumepoa nao sana kitaa...
Na wanangu wa Tabata gang kina Pappy Sk...Poshy Yd na wengineo tumedance nao sana kitaa leo hii wanakuwa featured kwenye projects kubwa kubwa za wasanii hasa Usafini wamehusika sana.

Naishia hapa.
 
Enzi hizo niko shule X dom A level, HANSCANA yuko O level, kwa bahati mbaya sikuwahi kumjua mpaka rafiki yng aliponiambia huyo tulikuwa shule moja Dom baada ya kuanza kuona kazi zake.

Heshimu watu wote wanaokuzidi na unaowazidi. Nakumbuka wale madogo enzi hizo tunawaona kama panzi tu😂😂😂
 
Whozu jina lake anaitwa oscar alikuwa ni kichwa darasani Top ten hakosekani.. Amesoma shule ya msingi sokoine, moshi kamaliza 2009 darasa la saba... Alikuwa anakaa mitaa ya miembeni karibia na chuo cha CCP
Secondary kasoma Majengo kwa brother Peter Lyimo, alikua mbele yangu madarasa mawili.
 
Kijiwe niaje!!, Ni wengi ambao tumewajua watu walipokua maarufu ila ni wachache waliwajua kabla ya kuwa maarufufu hususani wasanii.

Binafsi kwa huku Mbeya namkumbuka izo business alikuwa ni mtu moja mchangamfu ila muziki wake alionekana na wengi kama muhuni, Kuna siku nakumbuka aliletwa hadi home hapa kisa ugomvi na msanii mweingine aliyelalamika izo alimuibia biti au mashairi yakawa mabishano ila walimalizana, Nakumbuka pia alikuwa akipita hapa shule ya sekondari sangu tukitoka alikuwa na washkaji zake na vile alivyo staa wa mbeya tulipenda sana kamapani yake,


Karibuni, Muwe mnatia nyama basi, sio unasema tu umesoma au kufahamiana na flani, Jaribu kuelezea kwa undani
Nilisoma na dogo ake izzo anaitwa Patrick simwinga shule moja hapo dar sema hakukaa sana akahama na mi pia nikahama hio shule nikaenda zangu mkoani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahha mimi ilinikuta hiyo nikiwa form two.

Siku hiyo tulikua tunaingia mchana afu mi nilienda asubuhi ilipofika saa 9 nikaona nisepe ile natoka getini nakutana na Luchwaza nikaibana lebo kwenye kwapa akanisimamisha akaniuliza wewe form ngapi nikamwambia form 1 akasema hebu lebo salale kumbe form 2 akanipeleka kwa mganga na ngozye nilichezea sana ile siku.Umaarufu niliupata baada ya kuhusishwa na kesi ya wizi ABUU MOSHI aliniingiza kwenye janga [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji13][emoji23]🤣
 
Dom sec hii
Enzi hizo niko shule X dom A level, HANSCANA yuko O level, kwa bahati mbaya sikuwahi kumjua mpaka rafiki yng aliponiambia huyo tulikuwa shule moja Dom baada ya kuanza kuona kazi zake.

Heshimu watu wote wanaokuzidi na unaowazidi. Nakumbuka wale madogo enzi hizo tunawaona kama panzi tu[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah sijui utakua baharia gan wew kutoka STAMICO makaa ya mawe, unamfaham mpka salmini mtoto wa mama chamari!!?? Hahahahahaa sijui utakua baharia gan wew katika wale wahuni wa KCM PR SCHOOL!???

Ila mm nilikua mbele yenu pale kcm,,,,,,cjui utakua nani wew,,hahahahaaa nawaza tu.

Mana nyumba yetu ilikua inaanza,,inafata ya kina yuda na kina furaha then panafata kwa mama chamari, kwa kina s2kizzy,,,,hebu jitambulishe mdahu haha.....jf kubwa sana
Mimi nimesoma na huyu dogo anajiita s2kiz . Jina lake halisi ni salmini kasim dah aisee tangu dalasa la kwanza mpaka form 4 alikuwa mshkaji wangu kinom uyo fara ninaangalia nae mweleka enzi izo wakina undertaker,shown maiko,landy otoni . dah aisee kipindi icho anampenda sana one the incredible nyimbo zake akina nikki mbishi yaan inshort yeye na lunduno walikuwa damdam na baada ya kumaliza form 4 nimekaa nae sana mbeya uyole geto moja tunalala kwenye ka godolo enzi izo tunauza nae software nilikuwa hata sizifaham ila yeye anazifaham sijui flstudio,antivirus na nyingine mpaka akapata ka stationaly fran ivi akaistall iyo flstudio ndio akaendelea kutengeneza izo bit dah aisee maisha haya matam sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alikua anaitwa Chavila yule mzee alikua smart sana..Ngozye alikua msaidizi na wakati Chavila anapandishwa cheo na yeye kukaimu nafasi ya Ukuu kabla ya kuwa mkuu kamili aliapa lazima atawanyoosha wahuni wote waliomtesa enzi za usaidizi.

Kitengo mawe usiwasahau na wakina sisimizi.

Azania ilikua sifa nimeng'oa sana watoto wazuri kwa ajili ya shule na mtaani niliheshimika na kuogopeka kitaaluma hivyo ikanifanya nisilaze damu.
nilijizuia sana nisiandike ila imenibidi

huyu justine mimi nimesoma nae kidato kimoja kwakifupi tunajuana vizuri, last time nakutana tandika napiga nae story kumbe kesho yake ndo anaenda kusingiziwa ni mwizi na anapigwa mpaka anakufa kisa alifata demu mbagala.

experience nliyoipata azania sitaweza isahau kipindi hicho ilikua ukichaguliwa azania ujue wewe ni bright japo ukiwazingua wanafunzi azania ulikua unakula kichapo si cha nchi hii, nakumbuka mpaka watoto wa shule zengine wakawa wanapenda kuja kushinda azania ili nao waonekane ni azania au wanajuana na wanafunzi wa azania.

pale azania kulikua na makundi matata makubwa mawili capafona na kitengo mawe ila kitengo ndo kama ilikua wamasai wa azania baadhi ya members wa kitengo walikua kama vile man tapa, man sifa, msolid, zungu, ashraph, pengo, hassan shida etc huyo man sifa siku moja aliwakazia dar sec akiwa pekeyake anataka kupambana na shule nzima hahaha me hao kitengo wote walikua wanangu maana ndo nlikua nawakatia mapindi kitaa.

fall of azaboy naiona alipopewa uheadmaster ngozye maana before yeye alikuepo mkuu mmoja nimemsahau jina ila alikuja baada ya kwaya the real icon of azaboy.

RIP marehem allumni wa azaboy man tapa(tapa square), mama mchwa, justine, mchwa mwenyewe just to mention few

ya kuandika ni mengi ila kwa mukhtasar ni hayo tu.

amsr.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushirikina inaweza ikawa kweli mkuu yule mzee alikua na nguvu za simba aliogopeka hadi na walimu,tuliwahi kupanga mgomo shule lakini alipofika tu uliyeyuka.
huyu ngozye wakati sisi tunamaliza shule yeye alikua ni mwalimu wa fine art nlipokuja kuskia mara second mara head master nikaona the fall of azania ndo inaanza kuna walihusisha na ushirikina kwa jinsi spidi yake ya kupanda kwake madaraja harakharaka

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom