atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salama Jabir na begi lake la FILAMlisoma makongo hampo humu!!!
Mbona ipo mkuuSisi tuliosoma MAKONGO SECONDARY (TPDF) hasa miaka ya 2000s inabidi tuanzishiwe thread yetu maana orodha ya wasanii na celebrities wengne ikiongozwa na HASHEEM THABEET tulioskonga nao ni ndefu sana
Kwenye nyimbo ipi alizungunzia hiyo ishu?Hiki ndo kisa Cha kugombana na Evancy aliponikuta Ghetto na mdogo ake Nancy_ CowObama
Naweza pata mashairi ya wimbo huu?Daah ndio nimeelewa leo hiki kipande
Huoni hata aibu kusema ulilia Sana?[emoji848][emoji848]Kilimanjaro mimi nimesoma kuanzia darasa la kwanza hadi la 7. Mwalimu wetu wa kingereza anaitwa macha kama sija sahau.
Tunda hakusoma mpaka darasa la nne maana alikuwa anakaa sana naa mama yake ambae alikuwa hakaii na mzee wake hapoo ccp.
Ila navyo kumbuka alisoma,kwa mda mfupi sana hapo kilimanjaroo.
Dorini ndo alikuja kuondoka darasa la 5 na nililia balaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo wa "ghetto langu"" humo ndani ndio kuna hicho kipande.Kwenye nyimbo ipi alizungunzia hiyo ishu?
Mzee Dullvann bana tumecheza nae mpira sana na play station miaka 3 tu nyuma Play station tulikuwa tunacheza nae na alikuwa mchovu sana full kujipigia though the guy had a sense of humour since back then...Ali Kiba pia tumecheza nae mpira sana though tayari alishaukwaa ustaa kitambo.
Tiny White tumekunywa nae chai sana hapo Baracuda Tabata...
Kina brother Dullysykes tumepoa nao sana kitaa...
Na wanangu wa Tabata gang kina Pappy Sk...Poshy Yd na wengineo tumedance nao sana kitaa leo hii wanakuwa featured kwenye projects kubwa kubwa za wasanii hasa Usafini wamehusika sana.
Naishia hapa.
Naomba hayo mashairi tafadhaliWimbo wa "ghetto langu"" humo ndani ndio kuna hicho kipande.
DPT lilikua kundi unasemaje kua umesoma na DPT utadhani ni alikua rapa mmoja?au ni typing error ulitaka kusema umesoma na member wa DPT?Wengine tumesona na Kinjekitile Ngwale enzi za vita vya MajiMaji.
Naye anahesabika celebrity.
For real ninesoma na Diplomatz na Y Thang wa Kwanza Unit Tambaza.
Tumefanya sana rap battles enzi hizo.
Siku hizi wengine washakuwa madaktari, wengine ma Ustaadh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Msocha si bwege misifa yuleBasi msocha anapenda kujitangaza yeye ndio kaibua kipaji chake
Ebhana tapa square ni marehemu???nilijizuia sana nisiandike ila imenibidi
huyu justine mimi nimesoma nae kidato kimoja kwakifupi tunajuana vizuri, last time nakutana tandika napiga nae story kumbe kesho yake ndo anaenda kusingiziwa ni mwizi na anapigwa mpaka anakufa kisa alifata demu mbagala.
experience nliyoipata azania sitaweza isahau kipindi hicho ilikua ukichaguliwa azania ujue wewe ni bright japo ukiwazingua wanafunzi azania ulikua unakula kichapo si cha nchi hii, nakumbuka mpaka watoto wa shule zengine wakawa wanapenda kuja kushinda azania ili nao waonekane ni azania au wanajuana na wanafunzi wa azania.
pale azania kulikua na makundi matata makubwa mawili capafona na kitengo mawe ila kitengo ndo kama ilikua wamasai wa azania baadhi ya members wa kitengo walikua kama vile man tapa, man sifa, msolid, zungu, ashraph, pengo, hassan shida etc huyo man sifa siku moja aliwakazia dar sec akiwa pekeyake anataka kupambana na shule nzima hahaha me hao kitengo wote walikua wanangu maana ndo nlikua nawakatia mapindi kitaa.
fall of azaboy naiona alipopewa uheadmaster ngozye maana before yeye alikuepo mkuu mmoja nimemsahau jina ila alikuja baada ya kwaya the real icon of azaboy.
RIP marehem allumni wa azaboy man tapa(tapa square), mama mchwa, justine, mchwa mwenyewe just to mention few
ya kuandika ni mengi ila kwa mukhtasar ni hayo tu.
amsr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngozye, kazimgua sana yule mzee. Alikuwa teacher tu wa fine art, anapiga mihuri enzi hizo.nilijizuia sana nisiandike ila imenibidi
huyu justine mimi nimesoma nae kidato kimoja kwakifupi tunajuana vizuri, last time nakutana tandika napiga nae story kumbe kesho yake ndo anaenda kusingiziwa ni mwizi na anapigwa mpaka anakufa kisa alifata demu mbagala.
experience nliyoipata azania sitaweza isahau kipindi hicho ilikua ukichaguliwa azania ujue wewe ni bright japo ukiwazingua wanafunzi azania ulikua unakula kichapo si cha nchi hii, nakumbuka mpaka watoto wa shule zengine wakawa wanapenda kuja kushinda azania ili nao waonekane ni azania au wanajuana na wanafunzi wa azania.
pale azania kulikua na makundi matata makubwa mawili capafona na kitengo mawe ila kitengo ndo kama ilikua wamasai wa azania baadhi ya members wa kitengo walikua kama vile man tapa, man sifa, msolid, zungu, ashraph, pengo, hassan shida etc huyo man sifa siku moja aliwakazia dar sec akiwa pekeyake anataka kupambana na shule nzima hahaha me hao kitengo wote walikua wanangu maana ndo nlikua nawakatia mapindi kitaa.
fall of azaboy naiona alipopewa uheadmaster ngozye maana before yeye alikuepo mkuu mmoja nimemsahau jina ila alikuja baada ya kwaya the real icon of azaboy.
RIP marehem allumni wa azaboy man tapa(tapa square), mama mchwa, justine, mchwa mwenyewe just to mention few
ya kuandika ni mengi ila kwa mukhtasar ni hayo tu.
amsr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa ni utoto mkuu. Kwani kuna kujilaumuu maana mtaa,tulikuwa tume zoeana balaa.
Mkuu alikua anaitwa Chavila yule mzee alikua smart sana..Ngozye alikua msaidizi na wakati Chavila anapandishwa cheo na yeye kukaimu nafasi ya Ukuu kabla ya kuwa mkuu kamili aliapa lazima atawanyoosha wahuni wote waliomtesa enzi za usaidizi.
Kitengo mawe usiwasahau na wakina sisimizi.
Azania ilikua sifa nimeng'oa sana watoto wazuri kwa ajili ya shule na mtaani niliheshimika na kuogopeka kitaaluma hivyo ikanifanya nisilaze damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ushirikina inaweza ikawa kweli mkuu yule mzee alikua na nguvu za simba aliogopeka hadi na walimu,tuliwahi kupanga mgomo shule lakini alipofika tu uliyeyuka.
Sent using Jamii Forums mobile app