Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Uliingia mwaka gani...mimi wakati naingia Ngozye bado hajapewa ukuu kulikua na kitengo mawe na next level mabishooo....baada ya kuvunjika hayo makundi badae kukawa na kundi moja la Swaga boi wale vijana walimpiga mtungo mtoto wa mwalimu ikawa bonge la kesi school..


Kipindi cha ngozye matukio yalikuepo ila sio sana..kuna wahindi walikuja kufanya mazoezi wakaibiwa begi lilikua na saa za silver,simu kali ya nokia pesa na vitu vidogo vidogo ngozye alivuna sana hela kwenye hiyo kesi.
Same here nlipokua primary ndoto yng ilkua kusoma Azaboi thnx GOD aljbu nkaingia uboizin kpnd ambacho benard ngozye ndo H/M jamaa ni miyeyusho knoma akiwa na mwenzie boy na mlokoz...Azaboi haikua ile tena

Azaboi ikawa km seminary kulkua hakuna zile hamsha hamsha tena, ilfka point hata ukienda don bosco bonge la kesi kwa tuliokua hostel ndo ungese mtupu yaan

makundi ya wahun hayakuwpo full malokoo ya kise n ge se nge

i used to love ths slogan “solidarity forever”[emoji123]

地那天刚才妇产科☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
dah umenikumbusha mbali sana mwanangu ngozye sikuwahi kumdhania kama angekuaja kua mkuu wa shule pale na hata nlipoambiwa nlishangaa sana

majembe ya pale yalikua mengi sana kama kwayu, mkongo, mlokozi, kihanda na wengineo na wao waikua wanajua wanafundisha watu wenye akili so topic moja unaweza ukapigiwa yote siku moja hahahah

kuhusu wabishi wa kitengo wakilizua balaa lao linakua kama shee alolishwa nguruwe

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah. Umenikumbush longi. Mkongo akigonga physics topic inaish siku hiyo tena ana isimplfy sana, sema wao walikuwa wanajua madigo washakata mapindi, ndio maana. Mlokozi alikuwa anarusha stick kinaaaa sana yule mwamba
 
Uliingia mwaka gani...mimi wakati naingia Ngozye bado hajapewa ukuu kulikua na kitengo mawe na next level mabishooo....baada ya kuvunjika hayo makundi badae kukawa na kundi moja la Swaga boi wale vijana walimpiga mtungo mtoto wa mwalimu ikawa bonge la kesi school..


Kipindi cha ngozye matukio yalikuepo ila sio sana..kuna wahindi walikuja kufanya mazoezi wakaibiwa begi lilikua na saa za silver,simu kali ya nokia pesa na vitu vidogo vidogo ngozye alivuna sana hela kwenye hiyo kesi.

Sent using Jamii Forums mobile app
swagger boyz wale wakina zamba? walmpga mtungo mtoto wa madam gonda, sema dogo alkua pin asee alkua jangwan hakua mchoyo afu ukzngatia dogo kpnd hcho ndo barehe imechanganya w2 waliish nae sn

kipnd chetu mlokoz ndo alikua jau sn nakumbuka kuna sku nltoka nikaenda kkoo wakat wakurud ckupta kule kwnye boda la uwanjan nkapta getin dah! nkakutana nae mzee wng nilchokpata ni historia

kusoma Azaboi ni heshma sio ktaa tu hata barabarn ukkatza ni heshma afu madem ndo km wote nldaka sn watoto wa jangwa, zanak, benja n.k
 
Nikiwa Mwanza tuliachiwa ghetto na Askari mmoja hivi tukiwa tunasoma Mimi, Dogo Mudi na H-Baba tulikuwa tunamwita Hamisi Bishoo anavaa majinsi mabuga makubwa na swagga zake za kikongo tangia utoto.

Then nimesoma primary ya Nyakabungo kwa Mwl Aron na jamaa mmoja anaitwa Shamte Ally beki Terminator wa Simba. Tulikuwa tunamwita kigo master alikuwa anapenda saana mpira na alikuwa anapenda saana vurugu. Sasa sisi tulikuwa na jamaa yetu anaitwa Faustine (R.I.P) yeye ndio alikuwa mtemi wetu mwamba mtoto katili aliekuwa anaishi kambi ya FFU bahati mbaya akamwingia Shamte kishamba tukiwa kwenye break time shuleni akaambulia zinga la teke la mdomoni wiki nzima alikuwa anaita engu badala ya dengu . Ahahaha! Ukijiroga ukasema "Kigoooooo masteeeer" jamaa anaweza hata kukumeza maana alikuwa hapigiki lakini akakalishwa na kigo.

Ukikutana na Shamte ukamwita "kigo Master" atashangaa Sana na atahisi unamjua vizuri saana.

Sawa na H-Baba ukutane nae afu umwite Hamisi Bishoo atahisi unamfahamu kwa miaka mingi saana. Maana Hilo jina lake Ni la late 1990's.

Mwanza palikuwa Moto saana them days.

Sent using Jamii Forums mobile app
wapii mwalimu banana Mirongo secondary
 
Nimesoma na Jokate Political Science (UDSM). Nilikua na PC kwahiyo alikua ananipenda kwa sababu nilikua naweza kutype assignment kwa wakti. Enzi hizo kazi watu wanapeleka stationery ili wataipiwe sababu walikua hawana pesa za PC. Nilikua namkubali sana Jojo ila tatizo alikua na mambo mengi alaf nilikua naogopa hata kumzingua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nmesoma na huyu

Mtoto wa mara
FB_IMG_1583395493385.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abdul Mohammed alikua GS bora zaidi Azaboy na alikua anatangaza EATV wkt yupo shule akaja kupata deal BBC London...nilimkuta akiwa form 4 wakati naanza form 1

Sent using Jamii Forums mobile app
Namkumbuka huyu jamaa tangu enzi tukiwa Mugabe Primary school, tulivyofika darasa la tano alichaguliwa kuwa kaka mkuu na sisi tulikuwa viranja wa zamu. Nilipenda sana kuimbisha wimbo wa taifa hata kama haikuwa zamu yangu.
Awali ya yote, baada ya kutoka ITV alihamia clouds kisha BBC ndipo akaja Azam FC hadi sasa CRDB. Bado tupo nae katika maisha ya kila siku kama jamaa.
 
Nilikuwa nasubiri kuskia aliyesoma na Pfunk majani naona bilaaa aisee kuna wengine hawajasoma bongo aisee..
 
Jamaa n mcheshi sana kiasili, yaan katika kila kitu anaongea kuna ladha ya utani na ucheshi, in short he is kind of guy you wanna hang arround with all the time.Hakunji na yuko peace kinyama.

huwa namkubali sana comedy zake
ana comedy fulani unique hasa anapotaja majina ya ma star wa bongo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom