feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Uliingia mwaka gani...mimi wakati naingia Ngozye bado hajapewa ukuu kulikua na kitengo mawe na next level mabishooo....baada ya kuvunjika hayo makundi badae kukawa na kundi moja la Swaga boi wale vijana walimpiga mtungo mtoto wa mwalimu ikawa bonge la kesi school..
Kipindi cha ngozye matukio yalikuepo ila sio sana..kuna wahindi walikuja kufanya mazoezi wakaibiwa begi lilikua na saa za silver,simu kali ya nokia pesa na vitu vidogo vidogo ngozye alivuna sana hela kwenye hiyo kesi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipindi cha ngozye matukio yalikuepo ila sio sana..kuna wahindi walikuja kufanya mazoezi wakaibiwa begi lilikua na saa za silver,simu kali ya nokia pesa na vitu vidogo vidogo ngozye alivuna sana hela kwenye hiyo kesi.
Same here nlipokua primary ndoto yng ilkua kusoma Azaboi thnx GOD aljbu nkaingia uboizin kpnd ambacho benard ngozye ndo H/M jamaa ni miyeyusho knoma akiwa na mwenzie boy na mlokoz...Azaboi haikua ile tena
Azaboi ikawa km seminary kulkua hakuna zile hamsha hamsha tena, ilfka point hata ukienda don bosco bonge la kesi kwa tuliokua hostel ndo ungese mtupu yaan
makundi ya wahun hayakuwpo full malokoo ya kise n ge se nge
i used to love ths slogan “solidarity forever”[emoji123]
地那天刚才妇产科☆
Sent using Jamii Forums mobile app