Umenikumbusha mkuu, pale wakati nipo olevo nawaona kina marehemu amina chifupa (alikua na mdogo wake wakuitwa Rehema pini moja matata form 3), daz baba,makamua, salma jabir (aliletwa na kipingu kutoka zenj kwaajili ya kipaj chake cha b/ball), hasheem thabeet pale kantini alikua akisimama anavuka hadi lile paa la kantini kwa urefu wake. Pawasa nafkiri aliishia form 5 pale hakuendelea. Ila wengi waliosoma pale mwisho wa siku matokeo yao wali-differentiate constant
Sent using
Jamii Forums mobile app