MAY ndio maarufu sio JOEL ingawa yote tulikuwa tunatumiaNimesoma na Mheshimiwa Sugu shule ya Msingi Ligula,Mtwara.
Tukiwa darasa la pili tulikaa dawati moja na alikuwa ni rafiki yangu sana,tukitoka darasani muda wa saa tano tunakwenda nyumbani kwetu Ligula B tunachota korosho kwenye debe(korosho first grade za kutoka kiwanda cha korosho Likombe ambazo huwa zinauzwa nje ya nchi) tunaweka kwenye mifuko ya kaptura tunakula baadae anakwenda nyumbani kwao kiyangu.
Alikuwa anajulikana kwa jina la Joel.
mda up we ulikuwa form ngp?2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Kama nilikua nampata hivi..alikuwa mwaka gani naima?maana namkumbuka naima katoto ka kiarabu
Hii Ni kweli kabisa, hamisa alisoma tandika2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Nimesoma shule moja Tausi (yule muigizaji mfupi) ana pacha wake anaitwa Rose Mdegera. Mkorofi ni sijawahi kuona.
Sec mi nikiwa primary mshua anafundisha Tosamaganga basi nakaa kota alikua anasoma mdogo wake Prof J Black Rhyno alikua anaimba sana kwenye graduu
Haha ngwair alikula dada wa mchizi alimsaidia.Hiki ndo kisa Cha kugombana na Evancy aliponikuta Ghetto na mdogo ake Nancy_ CowObama
Whozu nimesoma nae shule ya msingi... We umesoma nae wapi?
2009 la saba..duh!Whozu jina lake anaitwa oscar alikuwa ni kichwa darasani Top ten hakosekani.. Amesoma shule ya msingi sokoine, moshi kamaliza 2009 darasa la saba... Alikuwa anakaa mitaa ya miembeni karibia na chuo cha CCP
Whozu jina lake anaitwa oscar alikuwa ni kichwa darasani Top ten hakosekani.. Amesoma shule ya msingi sokoine, moshi kamaliza 2009 darasa la saba... Alikuwa anakaa mitaa ya miembeni karibia na chuo cha CCP