Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

MAY ndio maarufu sio JOEL ingawa yote tulikuwa tunatumia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
mda up we ulikuwa form ngp?
 
Dah...Mbaraka Mwishehe....darasa moja....amekaa hapa..
Nimekaa hapa...alikuwa mkali wa chabo hataree [emoji2960]

Sent using Beretta ARX 160
 
2009 naingia Tandika sec, namkuta Hamisa mobetto yupo form 2 asee yule demu alikua hatulii anapiga misele shule nzima na viswaswadu wenzie.
Siku za dini utamkuta kwa walokole anaimbisha kwaya hadi nilijuaga mlokole kumbe wapi.
Hii Ni kweli kabisa, hamisa alisoma tandika
 
Nimepita hapo tosamaganga
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…