Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Ww ndio maloto.....umesoma na aslay njia ya Muongo Ni fupi hahahahahah unaiba story za watu fb huko na insta unasema ww ndio maloto....maloto ndio wa kusoma na aslay shenz
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee Dullvann bana tumecheza nae mpira sana na play station miaka 3 tu nyuma Play station tulikuwa tunacheza nae na alikuwa mchovu sana full kujipigia though the guy had a sense of humour since back then...Ali Kiba pia tumecheza nae mpira sana though tayari alishaukwaa ustaa kitambo.
Tiny White tumekunywa nae chai sana hapo Baracuda Tabata...

Kina brother Dullysykes tumepoa nao sana kitaa...
Na wanangu wa Tabata gang kina Pappy Sk...Poshy Yd na wengineo tumedance nao sana kitaa leo hii wanakuwa featured kwenye projects kubwa kubwa za wasanii hasa Usafini wamehusika sana.

Naishia hapa.
 
Enzi hizo niko shule X dom A level, HANSCANA yuko O level, kwa bahati mbaya sikuwahi kumjua mpaka rafiki yng aliponiambia huyo tulikuwa shule moja Dom baada ya kuanza kuona kazi zake.

Heshimu watu wote wanaokuzidi na unaowazidi. Nakumbuka wale madogo enzi hizo tunawaona kama panzi tu😂😂😂
 
Whozu jina lake anaitwa oscar alikuwa ni kichwa darasani Top ten hakosekani.. Amesoma shule ya msingi sokoine, moshi kamaliza 2009 darasa la saba... Alikuwa anakaa mitaa ya miembeni karibia na chuo cha CCP
Secondary kasoma Majengo kwa brother Peter Lyimo, alikua mbele yangu madarasa mawili.
 
Nilisoma na dogo ake izzo anaitwa Patrick simwinga shule moja hapo dar sema hakukaa sana akahama na mi pia nikahama hio shule nikaenda zangu mkoani

Sent using Jamii Forums mobile app
 

[emoji13][emoji23]🤣
 
Dom sec hii
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaah sijui utakua baharia gan wew kutoka STAMICO makaa ya mawe, unamfaham mpka salmini mtoto wa mama chamari!!?? Hahahahahaa sijui utakua baharia gan wew katika wale wahuni wa KCM PR SCHOOL!???

Ila mm nilikua mbele yenu pale kcm,,,,,,cjui utakua nani wew,,hahahahaaa nawaza tu.

Mana nyumba yetu ilikua inaanza,,inafata ya kina yuda na kina furaha then panafata kwa mama chamari, kwa kina s2kizzy,,,,hebu jitambulishe mdahu haha.....jf kubwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu alikua anaitwa Chavila yule mzee alikua smart sana..Ngozye alikua msaidizi na wakati Chavila anapandishwa cheo na yeye kukaimu nafasi ya Ukuu kabla ya kuwa mkuu kamili aliapa lazima atawanyoosha wahuni wote waliomtesa enzi za usaidizi.

Kitengo mawe usiwasahau na wakina sisimizi.

Azania ilikua sifa nimeng'oa sana watoto wazuri kwa ajili ya shule na mtaani niliheshimika na kuogopeka kitaaluma hivyo ikanifanya nisilaze damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushirikina inaweza ikawa kweli mkuu yule mzee alikua na nguvu za simba aliogopeka hadi na walimu,tuliwahi kupanga mgomo shule lakini alipofika tu uliyeyuka.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…