Johnny Sins
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 2,537
- 3,873
"masela kibao wanapenda kuja na mademu zao!nia yao!waje kuwa**pa nao!wakifika ndan wanaishia kuduwaa mwishowe muda ukifika wanaishia kuduwaa wanatambaa!kesho yake demu anakuja pekee!eti anazuga anamtafuta mchizi wake!nikimulekeaza kwake amfate anadai eti amechoka anataka kidogo apumzke!akifka ndan haishi kukusifiaa hata mchiz wake anaanza kumkandia!haipit muda ameshanikumbatia oooh!ndo kisa cha kugombana na evance aliponikuta ghetto na mdogo wake nancy!nambia manebo haya uliyaskia wapiiiiiiii!Wimbo wa "ghetto langu"" humo ndani ndio kuna hicho kipande.
Namjua maisha yake ndio maana drama anazofanya tuliosoma nae school moja tunamuona kituko
Tuliokua nae mtaani tunamfaham kwa jina la Dogo Erick.Youngkilla mwanza mwanza mshikaji alikuwa mtu poa sana mzee wa free style, haringi wala nini na kalivyokuwa kadogo kababe face ndo kalipendeka zaidi. Kwenye gradu aliimba tungo zake Big up sana killa from R.City[emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu acha kupotosha bhana, hicho kitengo cha walemavu wa akil kilkua knajtegemea had walimu wao walkua tofauti.Mwl Banana anapiga stick nae yule alitokea Nyanza primary akaletwa Mirongo kwa matahira. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mwanza ilikuwa Ni aibu saana kusoma Mirongo sababu kulikuwa na shule ya walemavu wa akili mixer na wenye utimamu wa akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama watakuwepo humu, P funk kasoma IST pale ada zao hadi milioni 60 kwa mwaka, Modewji nae alisoma hapo, Chuo alisomea huko uholanzi fani ya utayarishaji wa mziki ndio mana ngoma zake zilikuwa na kiwango cha juuNilikuwa nasubiri kuskia aliyesoma na Pfunk majani naona bilaaa aisee kuna wengine hawajasoma bongo aisee..
Umenikumbusha mkuu, pale wakati nipo olevo nawaona kina marehemu amina chifupa (alikua na mdogo wake wakuitwa Rehema pini moja matata form 3), daz baba,makamua, salma jabir (aliletwa na kipingu kutoka zenj kwaajili ya kipaj chake cha b/ball), hasheem thabeet pale kantini alikua akisimama anavuka hadi lile paa la kantini kwa urefu wake. Pawasa nafkiri aliishia form 5 pale hakuendelea. Ila wengi waliosoma pale mwisho wa siku matokeo yao wali-differentiate constantMlisoma makongo hampo humu!!!
[emoji851][emoji81][emoji23][emoji28][emoji3][emoji16][emoji74][emoji86][emoji85][emoji204][emoji205][emoji38][emoji2][emoji1787][emoji1]Umenikumbusha mkuu, pale wakati nipo olevo nawaona kina marehemu amina chifupa (alikua na mdogo wake wakuitwa Rehema pini moja matata form 3), daz baba,makamua, salma jabir (aliletwa na kipingu kutoka zenj kwaajili ya kipaj chake cha b/ball), hasheem thabeet pale kantini alikua akisimama anavuka hadi lile paa la kantini kwa urefu wake. Pawasa nafkiri aliishia form 5 pale hakuendelea. Ila wengi waliosoma pale mwisho wa siku matokeo yao wali-differentiate constant
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee .."masela kibao wanapenda kuja na mademu zao!nia yao!waje kuwa**pa nao!wakifika ndan wanaishia kuduwaa mwishowe muda ukifika wanaishia kuduwaa wanatambaa!kesho yake demu anakuja pekee!eti anazuga anamtafuta mchizi wake!nikimulekeaza kwake amfate anadai eti amechoka anataka kidogo apumzke!akifka ndan haishi kukusifiaa hata mchiz wake anaanza kumkandia!haipit muda ameshanikumbatia oooh!ndo kisa cha kugombana na evance aliponikuta ghetto na mdogo wake nancy!nambia manebo haya uliyaskia wapiiiiiiii!
Yaani kuanzia Chekechea, Shule ya Msingi, shule ya sekondari, shule ya Adance mpaka chuo sijawahi soma na msanii kweli ?
[emoji23][emoji23][emoji23] ndio mkuu[emoji851][emoji81][emoji23][emoji28][emoji3][emoji16][emoji74][emoji86][emoji85][emoji204][emoji205][emoji38][emoji2][emoji1787][emoji1]
Mkuu umeniacha hoi hapo kwenye differentiate constant. Means walikula zero zao saaafi kabisa.
Daah so sad... alikuwa mwanangu san tapa square! Alikuwa na nyimbo yak moja inaitwa 'sambona' bonge moja la ngoma..RIP kwake daah ndo nmejua leo asee