Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

aliitwa mwizi na demu baada ya kumkuta na mchizi mwingine sasa raia walipokua wanakuja kumpiga akawa anawapa kichapo ndo hapo raia wengine wakajua huyu kweli mwizi so jamaa akachangiwa na raia wenye hasira akachapwa sana alipokua anakaribia kufa dem ndo anakuja kusema huyo si mwizi huku anajiliza ndo hapo jamaa akawa anakimbizwa hospitalini lakini umauti ukamkuta kabla hajafika hospitali

RIP kamanda.
Huyo alouliwa Mbagala ndiyo yule alokuja kwenye birthday ta demu akamkuta na mchizi mwingine? Au yule demu alohama kutoka kitaa chao na kuja Mbagala, ndiyo akamfuata kuja kumwona na alomwitia mwizi ni mlinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha pole mkuu naona sisi ndo tuliimalizia kuifaidi azania maana ilikua unaingia xul muda unaotaka na kutoka muda unaotaka na mfano ukichoka kukaa class unaenda forest au kwa hussein unakutana na story za na uongo wa dmx au unaenda zako mapindi mchikichini hahaha

kweli time flies

amsr.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha mkongo anaisimplify physics inakua kama civics mlokoz mzee wa bios na kuna member mmoja hapo juu anasema eti mlokozi alikua ndezi me nimeishia kucheka tu wakati mlokozi ndo alikua ana jeuri ya kuruka na kitengomawe na si teacher mwengine yoyote

unamkumbuka teacher mmoja alitupewa nickname ya scramble?

amsr.
Dah. Umenikumbush longi. Mkongo akigonga physics topic inaish siku hiyo tena ana isimplfy sana, sema wao walikuwa wanajua madigo washakata mapindi, ndio maana. Mlokozi alikuwa anarusha stick kinaaaa sana yule mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah wanawake wengine ni mafala sana, hapa yeye ndiyo kaua
 
Dom Sec Hii Tena Hans Alikua anaomba Saana Watu wampigie kura kwenye shindano la airtel Hahaha Daah
 
Kwahiyo Makabei unamjua vizuri tuu? Basi utakua unanifahamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kifo cha Justine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Scramble and partition mwl wa history,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kipindi hicho lindugani mlile kama sijakosea jina paper za namba alikuwa bado anapigisha mzimuni? maana likizo kipindi nipo form 3 nilikuwa napiga na form 4 watu kibao shaban robert mzizima, azania etc ajabu sijawahi kupata chini ya 89...Jamaa alikuwa ananikubali sana nasikia alikuwa mwalimu wa azania kipindi hicho
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…