Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

aliitwa mwizi na demu baada ya kumkuta na mchizi mwingine sasa raia walipokua wanakuja kumpiga akawa anawapa kichapo ndo hapo raia wengine wakajua huyu kweli mwizi so jamaa akachangiwa na raia wenye hasira akachapwa sana alipokua anakaribia kufa dem ndo anakuja kusema huyo si mwizi huku anajiliza ndo hapo jamaa akawa anakimbizwa hospitalini lakini umauti ukamkuta kabla hajafika hospitali

RIP kamanda.
Huyo alouliwa Mbagala ndiyo yule alokuja kwenye birthday ta demu akamkuta na mchizi mwingine? Au yule demu alohama kutoka kitaa chao na kuja Mbagala, ndiyo akamfuata kuja kumwona na alomwitia mwizi ni mlinzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha pole mkuu naona sisi ndo tuliimalizia kuifaidi azania maana ilikua unaingia xul muda unaotaka na kutoka muda unaotaka na mfano ukichoka kukaa class unaenda forest au kwa hussein unakutana na story za na uongo wa dmx au unaenda zako mapindi mchikichini hahaha

kweli time flies

amsr.
Same here nlipokua primary ndoto yng ilkua kusoma Azaboi thnx GOD aljbu nkaingia uboizin kpnd ambacho benard ngozye ndo H/M jamaa ni miyeyusho knoma akiwa na mwenzie boy na mlokoz...Azaboi haikua ile tena

Azaboi ikawa km seminary kulkua hakuna zile hamsha hamsha tena, ilfka point hata ukienda don bosco bonge la kesi kwa tuliokua hostel ndo ungese mtupu yaan

makundi ya wahun hayakuwpo full malokoo ya kise n ge se nge

i used to love ths slogan “solidarity forever”[emoji123]

地那天刚才妇产科☆

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha mkongo anaisimplify physics inakua kama civics mlokoz mzee wa bios na kuna member mmoja hapo juu anasema eti mlokozi alikua ndezi me nimeishia kucheka tu wakati mlokozi ndo alikua ana jeuri ya kuruka na kitengomawe na si teacher mwengine yoyote

unamkumbuka teacher mmoja alitupewa nickname ya scramble?

amsr.
Dah. Umenikumbush longi. Mkongo akigonga physics topic inaish siku hiyo tena ana isimplfy sana, sema wao walikuwa wanajua madigo washakata mapindi, ndio maana. Mlokozi alikuwa anarusha stick kinaaaa sana yule mwamba

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aliitwa mwizi na demu baada ya kumkuta na mchizi mwingine sasa raia walipokua wanakuja kumpiga akawa anawapa kichapo ndo hapo raia wengine wakajua huyu kweli mwizi so jamaa akachangiwa na raia wenye hasira akachapwa sana alipokua anakaribia kufa dem ndo anakuja kusema huyo si mwizi huku anajiliza ndo hapo jamaa akawa anakimbizwa hospitalini lakini umauti ukamkuta kabla hajafika hospitali

RIP kamanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah wanawake wengine ni mafala sana, hapa yeye ndiyo kaua
 
Enzi hizo niko shule X dom A level, HANSCANA yuko O level, kwa bahati mbaya sikuwahi kumjua mpaka rafiki yng aliponiambia huyo tulikuwa shule moja Dom baada ya kuanza kuona kazi zake.

Heshimu watu wote wanaokuzidi na unaowazidi. Nakumbuka wale madogo enzi hizo tunawaona kama panzi tu😂😂😂
Dom Sec Hii Tena Hans Alikua anaomba Saana Watu wampigie kura kwenye shindano la airtel Hahaha Daah
 
jamaa alikua na uchanaji flani hivi kama hataki miongoni mwa ngoma zake ni cheza hardcore, shida tu ft makabei(lebo ya kijani jamaa alikua anajua sana r&b) na ile moja baghdad akaiba chorus

siku moja kulikua na sherehe hapohapo azania sasa ikafanyika rehersal kwaajili ya kupata wasanii watakaoperform, miongoni mwa walioshiriki walikua ni makabei(simba mwinyi) na tapa square kwa azania na kule benjamini alikuja sheta ila mwisho wa picha tapa alitemwa sasa tulipokua tunarudi home mimi, makabei, tapa na masela wengine tapa akawa analalamika kwa kusema "wale majaji waseng* hawajui mziki yani wananiacha mimi nnaekubalika na maproducer wakubwa wanamkubali mlamba lips yule sheta" me nikaishia kucheka tu

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo Makabei unamjua vizuri tuu? Basi utakua unanifahamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
aliitwa mwizi na demu baada ya kumkuta na mchizi mwingine sasa raia walipokua wanakuja kumpiga akawa anawapa kichapo ndo hapo raia wengine wakajua huyu kweli mwizi so jamaa akachangiwa na raia wenye hasira akachapwa sana alipokua anakaribia kufa dem ndo anakuja kusema huyo si mwizi huku anajiliza ndo hapo jamaa akawa anakimbizwa hospitalini lakini umauti ukamkuta kabla hajafika hospitali

RIP kamanda.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo cha Justine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha mkongo anaisimplify physics inakua kama civics mlokoz mzee wa bios na kuna member mmoja hapo juu anasema eti mlokozi alikua ndezi me nimeishia kucheka tu wakati mlokozi ndo alikua ana jeuri ya kuruka na kitengomawe na si teacher mwengine yoyote

unamkumbuka teacher mmoja alitupewa nickname ya scramble?

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Scramble and partition mwl wa history,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahahaha pole mkuu naona sisi ndo tuliimalizia kuifaidi azania maana ilikua unaingia xul muda unaotaka na kutoka muda unaotaka na mfano ukichoka kukaa class unaenda forest au kwa hussein unakutana na story za na uongo wa dmx au unaenda zako mapindi mchikichini hahaha

kweli time flies

amsr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kipindi hicho lindugani mlile kama sijakosea jina paper za namba alikuwa bado anapigisha mzimuni? maana likizo kipindi nipo form 3 nilikuwa napiga na form 4 watu kibao shaban robert mzizima, azania etc ajabu sijawahi kupata chini ya 89...Jamaa alikuwa ananikubali sana nasikia alikuwa mwalimu wa azania kipindi hicho
 
hahaa.. Msingi kitopeni primary na secondary shambalai sec aliishi kota za utondolo. Kidevu alikua mjuaji sana
[/QUOT
Cheen bees kasoma shule ya msingi Toronto. Sekondari kasoma Mkalamo secondary school, hapo hakumaliza alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu. Huko shambalai alikwenda baada ya kufukuzwa Mkalamo sec na mwl kimbute.
 
Back
Top Bottom