niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Cheen bees kasoma shule ya msingi Toronto. Sekondari kasoma Mkalamo secondary school, hapo hakumaliza alifukuzwa kwa utovu wa nidhamu. Huko shambalai alikwenda baada ya kufukuzwa Mkalamo sec na mwl kimbute.hahaa.. Msingi kitopeni primary na secondary shambalai sec aliishi kota za utondolo. Kidevu alikua mjuaji sana
Dogo kuimba anajua pia nadhani anapenda. Kuimba alianza tangu yupo Mkalamo sec. Tatizo la huyu dogo ni kiburi, jeuri, mtu wa ugomvi, mjuaji pia hana nidhamu.Nafikiri huu utamaduni aliuendeleza ndio sababu akatemwa na management yake akapotea
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama ni huyo. Anaitwa Hemed kimbute.
Ni ule mgomo ulichangia nahisi
Nimesoma shule moja Tausi (yule muigizaji mfupi) ana pacha wake anaitwa Rose Mdegera. Mkorofi ni sijawahi kuona.
Sec mi nikiwa primary mshua anafundisha Tosamaganga basi nakaa kota alikua anasoma mdogo wake Prof J Black Rhyno alikua anaimba sana kwenye graduu
hahahaha mkongo anaisimplify physics inakua kama civics mlokoz mzee wa bios na kuna member mmoja hapo juu anasema eti mlokozi alikua ndezi me nimeishia kucheka tu wakati mlokozi ndo alikua ana jeuri ya kuruka na kitengomawe na si teacher mwengine yoyote
unamkumbuka teacher mmoja alitupewa nickname ya scramble?
amsr.
Sent using Jamii Forums mobile app
swagger boyz wale wakina zamba? walmpga mtungo mtoto wa madam gonda, sema dogo alkua pin asee alkua jangwan hakua mchoyo afu ukzngatia dogo kpnd hcho ndo barehe imechanganya w2 waliish nae sn
kipnd chetu mlokoz ndo alikua jau sn nakumbuka kuna sku nltoka nikaenda kkoo wakat wakurud ckupta kule kwnye boda la uwanjan nkapta getin dah! nkakutana nae mzee wng nilchokpata ni historia
kusoma Azaboi ni heshma sio ktaa tu hata barabarn ukkatza ni heshma afu madem ndo km wote nldaka sn watoto wa jangwa, zanak, benja n.k
hahahaha pole mkuu naona sisi ndo tuliimalizia kuifaidi azania maana ilikua unaingia xul muda unaotaka na kutoka muda unaotaka na mfano ukichoka kukaa class unaenda forest au kwa hussein unakutana na story za na uongo wa dmx au unaenda zako mapindi mchikichini hahaha
kweli time flies
amsr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ben Paul alikuwa maarufu kwa sisi tuliokuwa tunakaa hostel na wale waliokuwa hostel za jangwani kwani alikuwa akituimbia nyimbo Aza-Jangwa! ila kama ulikuwa day ilikuwa vigumu sana kumjua.Kweli wewe umesoma Azaboi, ongeza kwenye list hapo watu wakorofi kama man tapa, Pengo, Zinde hukumkuta wewe, muddy kipande nae hukumkuta pia,
Sema pale watu maarufu ni Mohamed yupo Azam pale, Iman Nsamila mpiga picha maarufu wa January Makamba na Samatta, Ben Paul tulisoma nae pale Advance ila yeye hakusoma PCM na kipindi hicho hakua maarufu
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosea ni 2002 to 2005Ok namkumbuka miaka ya 2000 to 2004 nadhani huko alikuwa anatamba sana time hzo hahaha
Nimesoma shule ya msingi na sekondari na martin kadinda yule mwanamitindo.na tumewahi kupata ajali ya gari pamoja tukiwa tunaelekea kanisani.miaka ya 90 mwishoni na 2000 mwanzoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena Mazengo sekondari na wakaacha machata yao mule.
Najiuliza ibrahnation anakwama wapi? (kama wewe tu)..Huyu dogo sio maarufu ila anajua sana.Sijui anakwama wapi?. (Diamond platnumz alishawah kuuliza hili swal)
IBRANATION
Huyu dogo nilimuacha darasa la 5 pale Ilala primary school Iringa.Enz hizo mkwawa high scul bado hakijawa chuo.Alikua dogo mpple na mtaratibu tu.mama ake alikua ni frnd zake sana na maza.Bro ake anaitwa athuman (last time nakugana nae kitambo kidogo kabla sijaondoka iringa alikuaga Diwani).huyu bro ake athuman alisoma na Bro angu mmoja.Alikua na dada yake anaitwa Zaina huyu alisoma na bro wangu first born.
Mama yake (almaarufu kama mama zaina) nae alishakuaga diwani mtaa wa Kajificheni.
Dingi yao (Mpogole) alikua dereva wa malori
Kwakwel unashindwa kupata jibu kabisaaNajiuliza ibrahnation anakwama wapi? (kama wewe tu)..
Huyu jamaa nna nyimbo zake zoteee..
Tena Mazengo sekondari na wakaacha machata yao mule.