Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Tuliosoma na mawaziri wa awamu ya tano.
Tunacomment wapi😂😂😂
 
Nimesoma nae pia huyu mwamba, ila nilibaki muki hadi 2011
 
Yuda ambege?
 
Hapo KCM mwalimu wenu akiwa amulike
 
Aisee nimekumbuka tayari[emoji23] nlitaka kumsahau jamaa quick rakka nimesoma nae mbeya shule moja hivi inaitwa panda hill sec school

ila me sikumkuta lakini, jamaa alikua kawaida tu, ila alikua anapenda sana hisabati na History, jamaa noma Sana[emoji2506][emoji2506][emoji2506]
 
Ni kweli, Abbott Charles amesoma panda hill
 
 
Primary school huko Tanzania Bara ndani ndani nilisoma na jamaa mmoja sasa hivi ni mkuu huko serikalini Dar-es- Salaam ila huwa sijisikii proud kusoma nae darasa moja maana mpaka jina alibadilishaga akachukua la waliofaulu......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…