Tupe stori za msanii uliesoma au kujuana nae kabla ya umaarufu

Kwaiyo umeajiriwa sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uyo pacha ake tausi ni mfupi kama yeye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Abdul Mohammed alikua GS bora zaidi Azaboy na alikua anatangaza EATV wkt yupo shule akaja kupata deal BBC London...nilimkuta akiwa form 4 wakati naanza form 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Short course flani hivi somewhere wayback ya hobby yangu moja, na dogo London Tyler Holmes,siku ya kumaliza walinialika m2 mzima kwenye sinsin afterparty,daamn kama umeoa unaweza ukataliki mke[emoji23][emoji23]..
Still nina Ka connection nae uchwara ,
Nmekua fan wake sana tho ni kizazi cha madogo, ngoma ikiaza"we got London on da Track" madogo utaskia kasoma na mshua hhh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujue watu wengi hawajamfahamu London on the Track. Nilimjua kupitia ngoma ya Young Thug.
 
Ujue watu wengi hawajamfahamu London on the Track. Nilimjua kupitia ngoma ya Young Thug.
Ilo true mkuu,jamaa ni mkali na very humble guy,Sio mpenda umaarufu na life lake anapenda liwe private tho ni bata boy hhh..
Jamaa ana respect ya wahuni kbao,y-thug,t.i,kodak, drake,tyga ,r-h-quan to mention the few

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesona na ROMA mkatoloki pale USAGARA SEC wakati huo yeye ni basketballer anaetegemewa na shule huku mm ndo mwanamuziki bora zaidi pale.
Nakumbuka alikuwa anakuja kunipa ushauri akiwa na ANTONIO NUGAZ huyu wa Clouds (msemaji wa YANGA)
Jamaa walikuw wananikubali sana japo kuwa walinitangulia kidogo ila walinitambua mchango wangu.

Hata ile ngoma ya Roma (TANZANIA ) tumeplay kwa first time mahome SAHARE SEPOCHO 1

Ila chukushangaza wenzangu wametoboa mimi kibarua changu KUBET

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…