Hakuna watu nawaonaga mapimbi kama watuma salamu redion 😂😂 chesco mzee wa matunda na manka mushiSikusoma na Izzo B ila alikuwa Mwana sana alikuwa family ya kawaida nampongeza kapambana sana Namjua tangu anaanza yeye kama yeye kwa kipaji chake from 0 zero to hero kwa kusaidiwa na Marehemu Mbuzax na Quick Racka aka Aboti huyu Tuna undugu kidogo yeye Mtoto wa kishua hajasota chochote enzi hizo Mbeya ukitaja watuma salaam maarufu unatutaja Sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
MOSES KITANDU
Huyu ni yule mchezaji wa Simba kama sikosei msimu wa majuzi ndo alikuepo Simba maana kwa sasa simsikii huyu mwmba alikua mwanagu pia kwenye kundi letu..dah nikikumbuka lile kondi wengi wameishia kufeli kwa uhuni na usela uliopitiliza japo Moses yeyehakuwa muhuni kivile.
Azania 2012 timu ya shule iliongozwa na Captein Masud Jabir huyu kwa sasa ni mjeda na ni mwanangu mpaka kesho...huku kuna Abuu Moshi namba 8 hiyo(Mwizi hatari[emoji23][emoji23] kaliza sana watu) ,Ally Anya (alikua kipa huyo ni fala mmoja hivi alijipendekeza sana kwa Ngozye shenzi) ,Benson Kalonzo(R.I.P) Moses Kitandu (striker)...naimisi san Azania
UNAKULA SITAAAAA!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine tumesona na Kinjekitile Ngwale enzi za vita vya MajiMaji.
Naye anahesabika celebrity.
For real ninesoma na Diplomatz na Y Thang wa Kwanza Unit Tambaza.
Tumefanya sana rap battles enzi hizo.
Siku hizi wengine washakuwa madaktari, wengine ma Ustaadh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yule jamaa acha kbsa nakozi kama lami, unamkumbuka marehem justinePengo alikua mtata kiseng** afu ukimuona hutaaamini ana kamwili cha kitoto siku moja pale faya alilianzisha yeyena Godzilla aise ilikua noma...ukija A level kulikua na mkuria mmoja hivi jina limenitoka alikua tolu afu mwili jumba alizingua sana watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajasoma kilimanjaro dada yake D ndo alisoma kilimanjaroo tunda nilikuwa nakaa naee karibu kwenye nyumba,ya mzee wake na nilikuwa na shinda hukooo ndani kwaooo na waoo walikuwa wanakuja kwetuu.Tunda kasoma Kilimanjaro
Kumbe Ile saba saba seco no ya Ktambo hvyoNIMESOMA NA MR II ,SUGU Primary ni LIGULA PRIMARY .Mtwara mjini kisha Sekondari ni SABASABA PIA YA MTWARA. Jamaa alikuwa muhuni wa kiasi tu alikuwa anapiga ENGLISH kinoma kipnd hiko Kitaa tunamwitaga MAY...
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafikri alikuwa akienda kusoma magazetiNime soma na ali kiba UDSM .night session ..sema atupendi show off uwa tuna subiri watoto wa day session waondoke wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngozye ukikaa vibaya unakula bonge la mkofi!!
5 PCM mwanangu mashola kakutana mlangoni na ngozie, akala bonge la mkofi! Dk 2 shavu loote alama ya mkono.
Hahaha yule jamaa acha kbsa nakozi kama lami, unamkumbuka marehem justine
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mmoja wa wanafunzi wababe pale azaboy..Basi nilikuaga najua bonge la mtu..enzi hizo ukitajiwa dmx unatetemeka siku namuona naambiwa huyu ndiye dmx nilicheka Sana.
Y Thang na Solo Thang ni watu wawili tofauti.Y thang kabla hajageuka kuwa solo
Alikuwa mmoja wa wanafunzi wababe pale azaboy..Basi nilikuaga najua bonge la mtu..enzi hizo ukitajiwa dmx unatetemeka siku namuona naambiwa huyu ndiye dmx nilicheka Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
umeandika kimawenge wengeIrene uwoya green acres.. alikuwa sijui hesabu asubuhi ikifika anachukua safari Langu anakopi exercise the.
Kuna siku Mwl kuna siku Mwl alimuambia akaelekeze ubaoni kidogo ajikojolee.
Mbona hutaji maeneo.. Tunda kasoma kilimanjaro adi darasa la nne akahama.. Sasa wewe unakataa lakini husemi amesoma wapi..Hajasoma kilimanjaro dada yake D ndo alisoma kilimanjaroo tunda nilikuwa nakaa naee karibu kwenye nyumba,ya mzee wake na nilikuwa na shinda hukooo ndani kwaooo na waoo walikuwa wanakuja kwetuu.
Sent using Jamii Forums mobile app