Tupeana updates za kuhama kwa Wamachinga
Kariakoo leo asubuhi
IMG_0583.jpg

IMG_0582.jpg

IMG_0581.jpg
 
Yaani kwa haraka inaonyesha jinsi gani wamachinga walivyochafua jiji, usafi ufanyike jiji liwe safi na barabara zibaki nyeupe sasa Makala kweli wewe ni kiongozi tunakushukuru kwa hili.
 
Yaani kwa haraka inaonyesha jinsi gani wamachinga walivyochafua jiji, usafi ufanyike jiji liwe safi na barabara zibaki nyeupe sasa Makala kweli wewe ni kiongozi tunakushukuru kwa hili.

Sawa kijana
 
Pumzika kwa amani Jemedari chuma JPM, mzalendo na kiongozi madhubuti.

Mabeberu na Mafisi yamekuondoa mapema sana ingali taifa linahitaji uchapa-kazi wako.

Kila siku naikumbuka ile sauti yako yenye mngurumo wa radi. Kiongozi mwenye kinywa kilichojaa mamlaka na AMRI.

You have gone too soon John!
Unakumbuka nyumba zilizobomolewa kimara ili kupisha barabara? Mbezi je? Unakumbuka nyumba ya profesa jay ilivyobomolewa?
 
Mwanzaa kazi enaendelea ya kujenga vibanda eneo la dampoo
IMG_20211102_103029_5.jpg
IMG_20211102_103027_3.jpg
 
Zoezi kama linaenda slow, nimepita Buguruni jamaa wapo kama kawaida
 
Mwanzaa kazi enaendelea ya kujenga vibanda eneo la dampooView attachment 1995802View attachment 1995803

Kwanini linaitwa eneo la dampo, wamewapa wamachinga eneo la kutupa takataka?

Tuelezee kidogo kuhusu hili eneo, ila naona kazi ni inaendelea vizuri kujenga vibanda.

Wafanye zaidi wajenge miundombinu rafiki kama parking, vyoo, mifumo ya maji taka, maji safi etc.
 
Habari za humu wanajamii,

Direct madani,
Baada ya songombingo la serikali ya mama samia kusafisha jiji la dar kwa kuwaondoa wamachinga waliokuwa wamejibanza kandokando ya barabara kujitafuta riziki zao kuisha, tunaona asilimia kubwa ya wana dar es salaam kusifia mandhari masafi ya muonekano mpya wa jiji hilo.

Sasa basi, kwa shauku yangu binafsi na ya watu wengine ambao hawapo dar, tunaomba wana dar mtuoneshe kwa mtindo wa picha mandhari mapya na usafi wa dar, baada ya wamachinga kutolewa.

Nawasilisha.
 
Habari za humu wanajamii,

Direct madani,
Baada ya songombingo la serikali ya mama samia kusafisha jiji la dar kwa kuwaondoa wamachinga waliokuwa wamejibanza kandokando ya barabara kujitafuta riziki zao kuisha, tunaona asilimia kubwa ya wana dar es salaam kusifia mandhari masafi ya muonekano mpya wa jiji hilo.

Sasa basi, kwa shauku yangu binafsi na ya watu wengine ambao hawapo dar, tunaomba wana dar mtuoneshe kwa mtindo wa picha mandhari mapya na usafi wa dar, baada ya wamachinga kutolewa.

Nawasilisha.
Upande tu Bus uje ujionee,
Jiji sio tu limekua safi kimuonekano hadi Marashi ya Karafuu tunayapata.

Viva Serikali, Viva Tanzania.
[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
 
Upande tu Bus uje ujionee,
Jiji sio tu limekua safi kimuonekano hadi Marashi ya Karafuu tunayapata.

Viva Serikali, Viva Tanzania.
[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Marashi ya karafuu
😂😂😂

Nataka nikija wewe ndio uwe mwenyeji wangu
 
Back
Top Bottom