Tupeane mbinu za kuweza kujidhibiti na uraibu wa soda

Kunywa maji ya baridi sana kila mara unapopata hamu ya soda,fanya hivo kila siku baada ya mwezi mmoja njoo ulete mrejesho.
kama hamna fridge? maana kununua maji naonaga hasara
Ukianza kupata stomach burns utaacha hivo vitu mwenyew
unaweza ukapata na bado ukanywa , mfano mimi
ugali?? 🤣🤣🤣 yani mimi nikila ugali ndo natafuta soda iliko yani vinarandana sana hasa nikila vitu vya michuzi, naonaga pepsi inakata shombo
Mimi nikimaliza kula ugali ndo napata kiu ya Pepsi balaa ili nisukumizie ukae sawa
🤣tena ukila vitu vya michuzi kuna kqshombo flani unajiskia kama ukakate na pepsi
 
Dah binadamu tunatofautiana sanaaa yaani kwamba nikose usingizi kisa soda? Ukinipatia soda mpk nimalize chupa jasho linanitoka, naweza maliza mwaka bila kuonja soda lakini sasa siku ikipita sijapata vitu vikali nahisi ulimwengu umenitenga.
 
Kila kitu kikizidi ni hatari
 
Soda ni hatari kwa kuleta kisukari hasa fanta orange na milinda zote
Muwe mnaweka na vithibitisho na vyanzo vyake ili kupunguza mijadala.

Kwa hiyo nami nikiibuka na hoja bin vuu kuwa kufanya mapenzi kuna madhara, bila kuambatisha "tabu zake", ndonakuwa nimemaliza?
 
Dawa hii hapa kaka
 
kuacha uraibu wa soda inawezekana kabisa ni swala la maamuzi,pia mbona kuna juisi natural kabisa ,Kama za miwa,strawberry,ukwaju na nanasi tena ni zina flavour nzuri kuliko ata hizo soda
 
Mimi nikimaliza kula ugali ndo napata kiu ya Pepsi balaa ili nisukumizie ukae sawa
Angalia mboga unayotumia kulia ugali ...ndimu au limao ni muhimu kwenye mboga ya ugali au kachumbali yenye ndimu au limao
Pia nimekupa kanuni mbili zenye kufanya kazi kwa pamoja kama ukila ugali unapata kiu au hamu ya soda tumia kanuni namba 2 kabla ya kutumia soda ikigoma hiyo kimbia mbio kanunue soda labda una kisukari cha kushuka
 
Muwe mnaweka na vithibitisho na vyanzo vyake ili kupunguza mijadala.

Kwa hiyo nami nikiibuka na hoja kuwa kufanya mapenzi kuna madhara, bila kumbatisha "tabu zake", ndonakuwa nimemaliza?
Hauhitajiki uthibitisho wowote ule mkuu,wewe piga zako soda bariiiiidi bila shida yoyote.

Mwana anakuonea wivu unavyoenjoy soda yako.
 
Kumbe jibu langu linakufaa nimekujibu kabla ya kuona hii komenti utakuta jibu mapishi mabovu ugali viendane na mapishi sahihi ya mboga ndimu au limao ni muhimu na kachumbali
 
Mkuu Bujibuji nimejifunza neno jipya la kiswahili leo urahibu. Kumbe ndo addiction kwa kiingereza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…