Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
2) asilimia 80% ya kiu au hamu ya soda tunayo pata siyo ya kweli ...kama ukipata kiu au hamu ya soda basi kabla ya kunywa soda kunywa maji kwanza kisha ukiona hamu ya soda bado ipo ndipo nunua soda unywe, very simple and perfect method [emoji108] it work 100%
maji majii maji maji maji ya moto/kawaidaWatu wengi sana wanapambana na uraibu wa sigara, pombe na madawa ya kulevya. Lakini wakishaushinda uraibu huo hujikuta wameangukia kwenye uraibu mwingine hatari lakini usio ongelewa. Uraibu huo sio mwingine ila unywaji wa soda, hasa mazingira yenye joto kama mikoa ya Dar es Salaam, Pwani, Tanga , Lindi na Mtwara
Soda hasa za Pepsi na Coca Cola (baridiiiiii) hushuka vizuri sana kipindi cha joto kali. Ubaridi, usukari na ladha ya kupurudisha huleta msisimko fulani amazing mwilini. Msisimko huu ukikunogea unakufanya uwe teja wa soda.
Wengi walioacha kunywa pombe hujikuta wanaangukia kwenye urahibu huu na kuwa mateja kabisa.
Tupeane mbinu mbalimbali za kuushinda urahibu wa soda, maana rafiki yangu baada ya kuacha pombe sasa kwa siku ni lazima agonge Pepsi baridi tatu, anasema yeye bila Pepsi siku haijaisha.
Upo sahihi kabisa mkuu, hiyo kitu mara nyingi huwa nafanya na ninapata majibu positive kabisa ila watu wengi hawapendi maji upenda soda kama kifungua kinywa1)Akikisha chakula chako kikuu kiwe ugali,hapo soda kwisha habari yake. ugali ni adui namba moja wa kinywaji cha soda
2) asilimia 80% ya kiu au hamu ya soda tunayo pata siyo ya kweli ...kama ukipata kiu au hamu ya soda basi kabla ya kunywa soda kunywa maji kwanza kisha ukiona hamu ya soda bado ipo ndipo nunua soda unywe, very simple and perfect method [emoji108] it work 100%
Dah kuuliza si ujinga, samahani mkuu naomba uelezee madhara ya kunywa maji kwa wingi mana nimeona hoja yako mpk nmeshangaa embu toa elimu kidogo mkuuMimi nikiwa kama meneja masoko wa Pepsi na coca-cola kampani nashauri Tunywe soda lakini tunywe kwa kiasi,once kila kitu lazima kifanyike kwa kiasi.
Pointi kubwa hapa ni kiasi wakuu,ukizidi kunywa maji kuna madhara yake, ukizidi kunywa chai ni madhara, ukidhidi kunywa soda ni madhara.
Zingatieni hapo kwenye kiasi wakuu unaweza ukaacha uraibu wa kunywa soda ukayavamia Maji ukanywa kwa wingi ukapata madhara vile vile.
Coco-cola, Believing is magic
Pepsi dare for more
Naam imekaa kitaalamuLovely message!
Karibu kwenye Chama cha wanywa majiMimi nashukuru, leo naweza kusema natimiza miaka miwili.
Niliamua tu baada ya kuona uzito unaongezeka .
Dah kuuliza si ujinga, samahani mkuu naomba uelezee madhara ya kunywa maji kwa wingi mana nimeona hoja yako mpk nmeshangaa embu toa elimu kidogo mkuu
Thibitisha hili mkuu kwa facts na evidencepespsi na coca zinaleta ugonjwa wa kisukari
Hongera mkuuNina miaka 6 Sasa bila soda
Soda gani ambayo haileti kisukari?
Mpaka uikute ni barClub soda
Utawezaje kuishinda kiu?Hongera mkuu
Kwa tuliozoea kunywa maji bas kiu cha soda sijui kitatoka wapi?Utawezaje kuishinda kiu?