Tupeane mbinu za kuweza kujidhibiti na uraibu wa soda


Uzi ufunge
 
maji majii maji maji maji ya moto/kawaida
 
Upo sahihi kabisa mkuu, hiyo kitu mara nyingi huwa nafanya na ninapata majibu positive kabisa ila watu wengi hawapendi maji upenda soda kama kifungua kinywa
 
Dah kuuliza si ujinga, samahani mkuu naomba uelezee madhara ya kunywa maji kwa wingi mana nimeona hoja yako mpk nmeshangaa embu toa elimu kidogo mkuu
 
Mimi soda sina shida nazo nakunywa mara chache sana tena nikipiga pafu mbili tatu hamu inaisha labda kipindi hiki jua kali naweza maliza.
Shida yangu ni chai Mimi ni mlevi wa chai na sijui naachaje.
Siwezi kunywa vikombe viwili nikaridhika nakunywa chupa nzima mbaya zaidi siwezi jaza kikombe naweka nusu nakunywa nikimaliza naongeza kidogo kidogo mpaka inaisha.
Angalau sasa hivi najitahidi ila kuacha nimeshindwa.
 
Mimi nashukuru, leo naweza kusema natimiza miaka miwili.
Niliamua tu baada ya kuona uzito unaongezeka .
 
Sipo kote kinywaj changu kikuu ni maji soda sipendi hata kumaliza chupa ni mtihani
 
Kitu kingine kitimoto yaan nisipokula siku yabgu haiendi. Mpaka nimepima nimekutwa na mafuta mengi kwenye damu naiogopa sasa hivi
 
Swala la kuepuka kiu ya soda ni kunywa maji, kutumia juice ya matunda halisi ,kufanya mazoezi jioni then kupimzika yaani kulala mapema.
 
Dah kuuliza si ujinga, samahani mkuu naomba uelezee madhara ya kunywa maji kwa wingi mana nimeona hoja yako mpk nmeshangaa embu toa elimu kidogo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…