Kule kweny account zao hakuna update zozotHivi hata kwenye account kule bado hawajatoa updates wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kule kweny account zao hakuna update zozotHivi hata kwenye account kule bado hawajatoa updates wakuu
Bado wanasema Thank you for your interest in joining us. We're currently reviewing your application. Stay connected here for updates, and be sure to also visit other TPF platforms for further information😁Hivi hata kwenye account kule bado hawajatoa updates wakuu
Wanatuchukuliaje hawaBado wanasema Thank you for your interest in joining us. We're currently reviewing your application. Stay connected here for updates, and be sure to also visit other TPF platforms for further information😁
Unazungumzia CCP mkuu sio..Sina cha kusema ila licha ya mafunzo yao ila wanaishi life zuri sana pale vyakula vinaingizwa vya kutosha,wanapata muda wa kupiga ball nk nk nikipitag pale nawaona
Hawa kitilii maananiKwan cheti cha jkt wana kiconsider au maana waliyoomba ni wengi inaeza wakatumia cheti cha jkt kuchuja watu
Yap yapUnazungumzia CCP mkuu sio..
Sawa mkuuYap yap
Pole sana aseeKuna muda walishawai nambia disk za chini zimevimba kwaajili ya kukaa sana coz c unajua tena cc wa IT Muda mwingi ni kukaa
Tuelezee kuhusu makomando wa policeSiwezi kukudanganya uongo sio asili yangu kabisa...! Niulize jambo lolote kuwahusu nikishindwa kukupa mwanga...nitakurudishia chenchi😂😂😂
Tuelezee kuhusu makomando wa police
Hivi wakuu kwa mwenye uelewa atujuze kdgo, ukiingia na chet cha form6 itakuchukua miaka mingap kupiga kaz alaf ndo utoke kwenda kujiendeleza kielimu?
Na je ukitoka kwenda kujiendeleza kielimu kuna pesa yoyote utapewa ya kujikidhi au ni suala mshahara wako tu kuingia basi, na je ukitoka kwenda kusoma unaweza toka kwa mda wa miaka5 ukawa unasoma tu??
Huwezi jua usijikatie tamaa zidisha maombi ndugu yangu🙏🏽Mm jaman nimeomba lakini nilifanya udanganyifu kozi niliyoisomea walihitaji diploma na mm Nina bachelor ilikuwa ngumu kuombea cheti Cha form six kwakuwa nimehitimu miaka mingi kwahiyo hapa nimejikatia tamaa muda tu hata hayo majina ya interview sidhani kama nitatoboa
Hutotoboa...Bora ungeuweka tu Cha form 6Mm jaman nimeomba lakini nilifanya udanganyifu kozi niliyoisomea walihitaji diploma na mm Nina bachelor ilikuwa ngumu kuombea cheti Cha form six kwakuwa nimehitimu miaka mingi kwahiyo hapa nimejikatia tamaa muda tu hata hayo majina ya interview sidhani kama nitatoboa
Na wanalipwa poshoSina cha kusema ila licha ya mafunzo yao ila wanaishi life zuri sana pale vyakula vinaingizwa vya kutosha,wanapata muda wa kupiga ball nk nk nikipitag pale nawaona