Inafanyikia CCP hapohapo Ijumaa tarehe 25.KILA LA KHERI KWA WATAOKWENDAShukran
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafanyikia CCP hapohapo Ijumaa tarehe 25.KILA LA KHERI KWA WATAOKWENDAShukran
Shukrani mkuu ngoja tuandae Kaunda sutiInafanyikia CCP hapohapo Ijumaa tarehe 25.KILA LA KHERI KWA WATAOKWENDA
Haina nomaaShukrani mkuu ngoja tuandae Kaunda suti
Duh!! Ulikua kwenye mawazo yangu mwendo wa Kaunda tu mzeeShukrani mkuu ngoja tuandae Kaunda suti
Muhim. Sana nimepokea sms ya vijana ijumaaa wana pass out kesho ake takukuru wana pass out ...kesho naenda chukua Kaunda yanguDuh!! Ulikua kwenye mawazo yangu mwendo wa Kaunda tu mzee
Kwan hua wanadetail kabla ya kujua Kila mmoja anapelekwa wapi( mkoa gani)akishamaliza hapo?Muhim. Sana nimepokea sms ya vijana ijumaaa wana pass out kesho ake takukuru wana pass out ...kesho naenda chukua Kaunda yangu
Ijumaa baada ya kuapa palee ndo wanasomewaaaKwan hua wanadetail kabla ya kujua Kila mmoja anapelekwa wapi( mkoa gani)akishamaliza hapo?
Vitu vingi sema nyingi figisu tu. Kuna ishu za meno kama ushawahi ng'oa jino sahau.Hao unfit wanakutwa na nini? Mpk wanarudishwa?
Watu waliochukuliwa ni wengi sana mkeka mwingine si itakua nchi ya polisi sasaIvii kunaweza kuwa na PDF lingine wakuu?
Kumekucha mambo yameiva
Uhakikaa Sanaaa MzeeKumekucha mambo yameiva
Nina dogo langu ana malzia hapo ntakuwa moshiUhakikaa Sanaaa Mzee
Hongera Sana kwake Dogo kwa kumaliza....Mungu amtangulie katika Utumishi wake,,,Sema mie Siko Moshi wakati huu Sitaweza kuattend...nna marafiki wawili pia wanamalizaNina dogo langu ana malzia hapo ntakuwa moshi
Thanks mkuu Kwa niaba ...pongezi nyingi Kwa wadau wengine hao kumaliza Salama ohooo hakuna shida juu ya hilo Nita wakilisha wanaaa!!!!Hongera Sana kwake Dogo kwa kumaliza....Mungu amtangulie katika Utumishi wake,,,Sema mie Siko Moshi wakati huu Sitaweza kuattend...nna marafiki wawili pia wanamaliza
Nakubalii kamanda All the Best🙌Thanks mkuu Kwa niaba ...pongezi nyingi Kwa wadau wengine hao kumaliza Salama ohooo hakuna shida juu ya hilo Nita wakilisha wanaaa!!!!
Vijana wanakulaa gwaride rehearsal hadi saa moja 😀😀.....awamu hii naonaa patawaka sana Mixer Uwepo wa Kamishna Awadhi aisee 🙌🙌ALL THE BEST KWA VIJANA... MAKAMANDA MSOGEE MUONE GWARIDE KALI