Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Kuna mwalimu alifundisha sengerema secondary dah aiseee sintomsahau hadi leo.
 
Ngoja nimuulizie yule mnoko wa koromije!!!
Nimeammbiwa atakuwepo kwa gwajima dhisi wiik. teh teh teh
 
CHRISTOPHER MAKINDI NYARUBA popote ulipo wanaokujua wakufikishie salamu
 
Walimu wanoko wengi kwetu walikuwa vilazer so hawakuwa na namna nyingine ya kupata umaarufu skuli. Vichwa wengi naowakumbuka hawakuwa na habari na mtu na karibu wote sio walimu tena wana ishu zao zingine.
 
Daah! Enzi hizo shule ya msingi Ukonga kuna mwalimu alipewa jina la Mwl. mwembechai. Alikua mnooooko sijapata ona. Sasa asikie unamwita mwembechai???? [emoji378][emoji378][emoji378]
 
Ebwana Mtwara girl's kuna tisha alikua anaitwa sir maulid second master, alikua ni mnoko shule nzima hakuna. Alafu alikua mtaalam wakukamata simu, yaan akikuta unaongea na cm kwanza anacheka alafu anakuacha umalize maongezi baada ya hapo anakun'ganya huku anacheka, kesho paredi unaenda kuivunja mwenyewe kuna mawe special yameandaliwa kwa ajiri ya kazi hiyo.

Alafu sasa ukidoji prepo anakufata bwenn akikuta unaoga upo uchi unakuchapa hivyo hivyo anawaambia pangen mstari wote mnaoga eneo hilo unachapwa fimbo za mikono mkiwa uchi wengine wanamapovu wengine ndo wanaanza, yaaan ilikua raha kweli.

Alafu tuluchokua tunampendea hajui kununa ni best friend, ila ukimuuzi anakuchapa viboko vya maana huku anakupigisha story, tena olewako usimjibu. Yaan anakuchapa huku anacheka, so mwanafunz huna budi kulia huku unacheka.
SHULE RAHA SNA
MLIOSOMA MTWARA GIRL'S HEMBU NJOON
 
Ebwana Mtwara girl's kuna tisha alikua anaitwa sir maulid second master, alikua ni mnoko shule nzima hakuna. Alafu alikua mtaalam wakukamata simu, yaan akikuta unaongea na cm kwanza anacheka alafu anakuacha umalize maongezi baada ya hapo anakun'ganya huku anacheka, kesho paredi unaenda kuivunja mwenyewe kuna mawe special yameandaliwa kwa ajiri ya kazi hiyo.

Alafu sasa ukidoji prepo anakufata bwenn akikuta unaoga upo uchi unakuchapa hivyo hivyo anawaambia pangen mstari wote mnaoga eneo hilo unachapwa fimbo za mikono mkiwa uchi wengine wanamapovu wengine ndo wanaanza, yaaan ilikua raha kweli.

Alafu tuluchokua tunampendea hajui kununa ni best friend, ila ukimuuzi anakuchapa viboko vya maana huku anakupigisha story, tena olewako usimjibu. Yaan anakuchapa huku anacheka, so mwanafunz huna budi kulia huku unacheka.
SHULE RAHA SNA
MLIOSOMA MTWARA GIRL'S HEMBU NJOON
Raha gani ulisikia... au unamaanisha alikuwa anawachapa nao! mnalia kwa maumivu huku mnasikia raha?😀
 
Daud bashite huyu nae ni member humu ?? makubwa

W. J. Malecela Mkuu le Mutuz mbona umepotea sana? hata humsaidii le profesa wako au ndio unamsaidia kama Stev Nyerere alivyofanya kumsaidia Wema?
 
Mwl.Bagonza Paradigms schools anakwambia dogo bora ukashike nyaya za umeme kuliko fimbo zangu ni mnaaa balaaaah.
 
Sinoni sec. School kulikuwa na mwalimu alikuwa anaitwa Richard mugyabuso alikuwa mnoko sana
 
Fokas,fernand,shayo makanje

Kwalamahondo hyooo dadek
Acha tu ila kama
Co wao nsingefka hapa saa hii
 
Back
Top Bottom