July Fourth
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 2,240
- 795
Baby face,henry kiyaga na mr. Lugaju-peace secondray school
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mwakaringa a.k.a kibana wa kibasila enzi izo npo pale 2001-2004 usipochomekea shati lazima akubane,siku moja alipigwa getini unoko wote ukaisha
Sisi tulikuta kila sehemu pale Mazengo pameandikwa "Dudu **#&# (tusi)" Yaani huyu nashukuru Mungu sikumkuta.
Sisi tulimkuta Dungu na Msasa. Msasa akikuta na kosa lolote, una hali mbaya. Ila darasani unaweza kumchezea sharubu kabisa, mhh, mkivuka tu mlango wa darasa, anawewe. Darasani alikuwa Mpole sana.
Dungu akikuta na kosa dogo, umelia. Akikukuta na kosa la kufukuzwa shule, anakusema mbaya tena mbele za Waalimu, ila hakutaji jina na haendi kushtaki ufukuzwe.
Pia Mlokole mmoja anaitwa Mwakyembe, kichaa wa Mahesabu sana ila Mkorofi mno.
Mzee mzima.....KINJINO!
Uyu ticha kipindi chake mafront-bencher tuliisoma namba. Alikuwa anashusha risasi za mate zikisindikizwa na viparticle vyeusi na vya njano vyenye harufu ya kumtoa mende chooni. Mnoko aibu.
yani nakumbuka Ashira kulikuwa na mwalimu wa kike anaitwa mwalimu Mbele anasura ngumuje sasa alikuwa hapendi watu kuvumisha chakula dom na wadada weng wanapenda kwenda kulia dom akikukamata yani hafu alikuwa ana roho ngumu kuna siku marafki zangu walivusha uji kila mtu ana chupa mbili aliwaambia wanywe wote na haukuwa na sukari yani chuoni sasa kulikuwa kuna Dr anaitwa Saanane alikuwa anafundisha proposal ni mkali unaenda kupresent unatetemeka mpaka basi Dr yule alinipa pressure hadi semister inaisha ckuamini aise kila mtu alikuwa ana mwogape
mikoroti wa mapinduzi primary, unakunja saba unakula bakora. mayo - udsm.
mwl donge mwenge high xul,mwl kitoko tarime high xul,mwl malilika korogwe primary xul kahama,mwl doto old shy
Salma kikwete kanfanyiaga ukuda sana primary!
Mwanza sec kulikuwa na ki discipline master hicho pambaffff kabisa
kilikuwa kinanikera yani kuwa discipline anajiona kama vile afisa elimu
namchukia hadi kesho alikuwa na unoko wa kifamba sana
anaitwa mkumbo
Hujakosea ila umemsahau Kashushula
Mama Nkya Jangwani sec na Sista Mfuse Benjamin Mkapa.
Hao ukiwakuta getini lazima wakuuzie kesi.
Cc; kichunafk
hahahahh, aisee mama nkya noma sana.
Kuna siku mama matee alinibamba niko na shati nyeupe ila si ya shule. Ananiita, nkampimia nataman nimkimbie na ile miguu yake imevimba najua asingenikimbiza ila ndo hvyo nikaemda.
Bila kumsahau uncle mbowe (Rip)
Mwalimu Mgimwa--Mkwawa High School. Huyu mwalimu alikuwa discipline master. Ni kimwalimu fulani kimbilikimo hivi--kifupifupi. Lakini hiyo shughuli yake ilikuwa baraaaa!
Basi siku moja, kiMgimwa na na Mwalimu mmoja wa Maths anaitwa Mwaipaja, akaamua kuzama eneo moja linaitwa Makanyagio--hapa ndipo wanafunzi watoro walipokuwa wakienda kujificha wakinywa pombe moja ya Kihehe inaitwa ULANZI.
Basi siku hiyo Mgimwa na swahiba wake Mwaipaja (huyu naye alikuwa mnoko sana) wakaamua kuzama huko Mkanyagio na kuwaibua hao 'wahalifu' wakinywa ulanzi. Wakakamatwa wazima wazima, na kuswagwa kama kondoo hadi assembly ground. Walichapwaje!!!!!!!!!!!!!! Walichapwa mpaka wakajuta kusoma shule. Chezea Mgimwa wewe!
RIP Mr Mbowe, ilikuwa ukimkuta anapiga Colabo na Mama Nkya lazima ukae.....hahahaaa wakikukuta huna kosa shukuru.
Super Tall nae unamkumbuka? Full unoko.