le profesio
Senior Member
- Jul 21, 2013
- 116
- 16
otieno osoro - UDSM.
Huyu jamaa mtata sana, ec 216
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
otieno osoro - UDSM.
Huyu jamaa mtata sana, ec 216
alitafuta umaarufu na akaupata kumfunika karamagi.
karamag ndo nomaaa!...
Kuna Mwalimu mmoja alikwua anafundisha shule ya msingi Sabasaba Wilayani Tarime miaka ya 90 alikwua kapachikwa jina la Kinjekitile, dah yule ticha alikwua mnoko mbali. Akikuchapa hutosahau..
Aione: platozoom
yani nakumbuka Ashira kulikuwa na mwalimu wa kike anaitwa mwalimu Mbele anasura ngumuje sasa alikuwa hapendi watu kuvumisha chakula dom na wadada weng wanapenda kwenda kulia dom akikukamata yani hafu alikuwa ana roho ngumu kuna siku marafki zangu walivusha uji kila mtu ana chupa mbili aliwaambia wanywe wote na haukuwa na sukari yani chuoni sasa kulikuwa kuna Dr anaitwa Saanane alikuwa anafundisha proposal ni mkali unaenda kupresent unatetemeka mpaka basi Dr yule alinipa pressure hadi semister inaisha ckuamini aise kila mtu alikuwa ana mwogape
Israel nkongo mujuni tambaza high school!
Hahahahhahahah uuuuuwi!!! Umenikumbusha mbali sana jamani. Ila kati ya mwl Mbelle na Mr. Msuya nani mnoko????
mh Mbele alikuwa mnoko hatari jamani sura yake ilikuwa inatisha na tulikuwa tunapenda kuvunja uji na msosi adhabu zake sasa
Hahah...dr.sa8 bado anatupelekesha huku,utaskia comm mboooov kabisa!lol
Hahhahahahah nlishagawahi kukataa kuchapwa...tulikua hatujadeki dorm...kachapa dorm zima kasoro mimi nikadindisha.....alichukiaje....akanipeleka kwa wale wanoko kina Sheshui na Kimario...nkajifanya nipo period siwezi kuchapwa matakoin
ha ha ha aise yule mnoko na ulimkomesha Sheshui alikuwa naye anajiona mama Kimario matusi sasa mara awaite mnanuka ulalo ila ukiwagomea wakaona msimamo hawaku mind kesi haikufka kwa head mama kweli