Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

Tupia jina la mwalimu aliyekuwa mnoko shuleni/chuoni kwenu

mwl chagana George pale nyampulukano alikuwa anapenda mademu halafu alikuwa mbishi kweli.
 
Kuna Mwalimu mmoja alikwua anafundisha shule ya msingi Sabasaba Wilayani Tarime miaka ya 90 alikwua kapachikwa jina la Kinjekitile, dah yule ticha alikwua mnoko mbali. Akikuchapa hutosahau..

Aione: platozoom
 
Last edited by a moderator:
yani nakumbuka Ashira kulikuwa na mwalimu wa kike anaitwa mwalimu Mbele anasura ngumuje sasa alikuwa hapendi watu kuvumisha chakula dom na wadada weng wanapenda kwenda kulia dom akikukamata yani hafu alikuwa ana roho ngumu kuna siku marafki zangu walivusha uji kila mtu ana chupa mbili aliwaambia wanywe wote na haukuwa na sukari yani chuoni sasa kulikuwa kuna Dr anaitwa Saanane alikuwa anafundisha proposal ni mkali unaenda kupresent unatetemeka mpaka basi Dr yule alinipa pressure hadi semister inaisha ckuamini aise kila mtu alikuwa ana mwogape

Hahahahhahahah uuuuuwi!!! Umenikumbusha mbali sana jamani. Ila kati ya mwl Mbelle na Mr. Msuya nani mnoko????
 
Hahahahhahahah uuuuuwi!!! Umenikumbusha mbali sana jamani. Ila kati ya mwl Mbelle na Mr. Msuya nani mnoko????

mh Mbele alikuwa mnoko hatari jamani sura yake ilikuwa inatisha na tulikuwa tunapenda kuvunja uji na msosi adhabu zake sasa
 
mh Mbele alikuwa mnoko hatari jamani sura yake ilikuwa inatisha na tulikuwa tunapenda kuvunja uji na msosi adhabu zake sasa

Hahhahahahah nlishagawahi kukataa kuchapwa...tulikua hatujadeki dorm...kachapa dorm zima kasoro mimi nikadindisha.....alichukiaje....akanipeleka kwa wale wanoko kina Sheshui na Kimario...nkajifanya nipo period siwezi kuchapwa matakoin
 
Wanaomjua Alemson Kaiza au (Njuguti) Rulenge Secondary school. Naendelea kufanya maombi ili nije nimsamehe kabla sijafa. Nashindwa kuisahau siku aliponitandika viboko 25 kwa siku moja day and night bila kosa. Hata namkumbuka marehemu Headmaster Niwa Mtongole aliyeniepusha na balaa hilo Mungu amlaze mahali pema peponi. Mwalimu huyo alikitaka kunisaspend. Ni miaka kama Ishirini lakini haifutiki akilini mwangu. Hata hivyo nikibahatika kukutana naye naweza kumsamehe baada ya kumkumbusha. Naamini hakumbuki kwa sababu alikuwa anatembeza kiboko ile mbaya kwa watu wengi sana.
 
Hahhahahahah nlishagawahi kukataa kuchapwa...tulikua hatujadeki dorm...kachapa dorm zima kasoro mimi nikadindisha.....alichukiaje....akanipeleka kwa wale wanoko kina Sheshui na Kimario...nkajifanya nipo period siwezi kuchapwa matakoin

ha ha ha aise yule mnoko na ulimkomesha Sheshui alikuwa naye anajiona mama Kimario matusi sasa mara awaite mnanuka ulalo ila ukiwagomea wakaona msimamo hawaku mind kesi haikufka kwa head mama kweli
 
ha ha ha aise yule mnoko na ulimkomesha Sheshui alikuwa naye anajiona mama Kimario matusi sasa mara awaite mnanuka ulalo ila ukiwagomea wakaona msimamo hawaku mind kesi haikufka kwa head mama kweli

Hahahahhahahahah umenichekesha sana..... "Mnanuka ulalo (in kimario's voice" hahahhababababab baby nadhani tumemaliza pamoja. Si umesoma pale O'level????
 
Back
Top Bottom