Tupia maswali fikirishi yenye kuumiza akili

HIVI KWANINI MWANAUME AKIKOJOA MKOJO,TONE LA MWISHO HALITOKI HADI ATIKISE UUME NDO UNAISHA?
 
Na je Ukifungua mlango asubuhi ukakuta nje hapapo... picha gani inajengeka katika ufahamu wako?
Umetisha mkuu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
 
Tofauti ya Chizi,mwehu,kichaa,mwendawazimu,juha,taahira na mwezimchanga ni nini?????
 
Mabaria wanakwama wapi kuweka mgomo wa kuuziwa papuchi bei ghali
 
Ingekuwa vipi kama pumzi tungekuwa tunalipia 🤣 sijui hata ingekuwaje?

Ingekuwa vipi tungeishi bila kula maovu yangekuwepo kweli? 🤔

Ingekuwa vipi kufa kungekuwa hakuna duniani saiz hapa tungekuwa wangapi mpaka sasa? 🙆‍♂️

Maswali ni mengi lakini hayana majibu kamili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…