Ni kwa sababu alivyokuwa tumboni hakuwa kiumbe kamili,mpaka anapozaliwa ndio anahesabika kiumbe kamili
Kwa sababu pale presha ya kutoa mkojo inakua imeisha...Hatma ni mwisho wa kitu, baadae ni muda ujao no infinity....
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
???Kwa sababu pale presha ya kutoa mkojo inakua imeisha...
Yaah mkuu ni kweli an...???
[emoji2398]ᵃʳᵉᵉᵐ [emoji769]
[emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Yaah mkuu ni kweli an...
Hayati MUGABE aliwahi kusema hivi..Finish
Complete
Kuna tofauti?
Na je Ukifungua mlango asubuhi ukakuta nje hapapo... picha gani inajengeka katika ufahamu wako?Giza na mwanga vikitoweka kitabaki nini?
Umetisha mkuu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]Na je Ukifungua mlango asubuhi ukakuta nje hapapo... picha gani inajengeka katika ufahamu wako?
Bonge la swali...