Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

I have never criticised the lives of others, but I only dealing with you because you are fake, fake
Stupid chippie

Chippie is an American slang, it's a sex worker. You know why I'm calling you chippie(sex worker)??
Tulia dogo jamiiforums is anonymous ndio maana hata wewe unatumia pseudonyms na sio jina lako wala picha yak
Kama unataka kujua maisha binafsi ya watu nenda facebook huku kila mtu anafanya chochote to retain the shred of anomymity na anakuwa hajavunja sheria yoyote. sioni sababu ya kulia lia watu waweke maisha yao ya kweli wazi hilo sio lengo la hii platform Acha ujuha wa kufuatilia maisha ya watu utachelewa kufanya yako tumia hii platform kupata elimu ujinga mwingine peleka facebook na instagram.
 
Hilo la usmart lawezekana kwa kuangalia na kupitia michango yao humu jamvini. Lakini kuhusu urembo tutahitaji kuziona picha zao kwanza. Leta picha jamvini tuzichambue.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ