Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Kifaransa Cha St.Anne Cha yule Mkongo mvaa mibwanga na mimacho mikubwa
Ndio Kilimupatia my CheusiDawa.
9e85a16bf992007db548bc0594502caa.jpg
😀The most Beautiful 😍😍💓Woman tu le monde. Weka ya To yeye tuone?
 
I have never criticised the lives of others, but I only dealing with you because you are fake, fake
Stupid chippie

Chippie is an American slang, it's a sex worker. You know why I'm calling you chippie(sex worker)??
Tulia dogo jamiiforums is anonymous ndio maana hata wewe unatumia pseudonyms na sio jina lako wala picha yak
Kama unataka kujua maisha binafsi ya watu nenda facebook huku kila mtu anafanya chochote to retain the shred of anomymity na anakuwa hajavunja sheria yoyote. sioni sababu ya kulia lia watu waweke maisha yao ya kweli wazi hilo sio lengo la hii platform Acha ujuha wa kufuatilia maisha ya watu utachelewa kufanya yako tumia hii platform kupata elimu ujinga mwingine peleka facebook na instagram.
 
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Hilo la usmart lawezekana kwa kuangalia na kupitia michango yao humu jamvini. Lakini kuhusu urembo tutahitaji kuziona picha zao kwanza. Leta picha jamvini tuzichambue.
 
Back
Top Bottom