Gautten Potten
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 1,642
- 3,426
Kunae m1 anipondeaa mwenyewe kumbe ana mdomo km ngamia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifaransa Cha St.Anne Cha yule Mkongo mvaa mibwanga na mimacho mikubwaOui but no komprenyon.
😂😂😂😂 How! Nijibu kesho sa hivi nalala.The one and Only The Bear and Maiden Fair
Tulia dogo jamiiforums is anonymous ndio maana hata wewe unatumia pseudonyms na sio jina lako wala picha yakI have never criticised the lives of others, but I only dealing with you because you are fake, fake
Stupid chippie
Chippie is an American slang, it's a sex worker. You know why I'm calling you chippie(sex worker)??
Best leo umegawa dozi kwa kimalkia. kama sio weweThat you are at such a low point of your life and you are going to miss everything cool and die angry
Dah wewe mtoto mshenzii[emoji91]You gotta move out from your parents’ house. It's easier to scrutinise and criticise the lives of others than to work on your own when you still live at your mama’s house.
Mtu aliyejenga na anajua ujenzi kuhamia nyumba haijaisha ni kawaida sana. Tena huu usawa wa Bimkubwa hamna kinachoshikika. Huyo dogo bado yupo kwa wazaziHalafu wewe boya unatafuta kutatuliwa linda sio siri
Sasa ndio nini hiki? Umejenga kwanza wewe na mkeo?
Stupid
Akuna mwingine 💓 😀Woow! She’s so beautiful 😍
Una balaa we mamaNasubiria kura yako katika wanaume rijali wa jf....vote for me please
Jana nilikuwa nina muda wa majibizano. Sasa hivi sichambani na mtu kiswahili tena, nimepanda bei. Ngoja niende vacation siku nikiwa na muda tena naliendeleza.Best leo umegawa dozi kwa kimalkia. kama sio wewe
Mimi nahisi ananipenda sio bure mkuu ubaya simtaki huyuHauchoki kumtukana kweli mnajuana
Hilo la usmart lawezekana kwa kuangalia na kupitia michango yao humu jamvini. Lakini kuhusu urembo tutahitaji kuziona picha zao kwanza. Leta picha jamvini tuzichambue.Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.
Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.
Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.
Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇