Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Tupige kura: Ni mwanamke gani smart na mrembo kuliko wanawake wote humu jamvini?

Ww ubwabwa naona bado huelewi unachofanya, mm nakuambia unapotengeneeza tumia canva huwa ni the best kuliko hiyo unayotumia
Dogo nilikushauri kwenye uzi huu uache kuvamia vamia watu hovyo utumie hio time utafute dawa ya nguvu za kiume baada ya kuona unalalamika bila vumbi mashine haiwaki kabisa haukunisikiliza. Umeyakanyaga kwa wahuni wamekushona mmae, wamekukamia kushezi , pigwa pasi za makwapa kama zote. and 100 others safi sana kamanda, ban ikiisha endeleza pasi za makwapa dogo anapenda kutukana watu hovyo
 
Ww ubwabwa naona bado huelewi unachofanya, mm nakuambia unapotengeneeza tumia canva huwa ni the best kuliko hiyo unayotumia
Dogo wewe famba kweli unabisha nini sasa. Wewe haukuvimba ile picha ys avatar ilikuwa kwenye ile id yako ya kike unayojidai ni demu wako kwamba yule kwenye picha ndio demu wako mwenyewe? Ukavimba demu wako ni mali safi anajiamini hadi anaweka avatar picha yake? manzi akalike na kukubali kwamba ni yeye ? mtu akazama chimbo akakuletea source ya ile picha ni black Americanwa huko mambele ukazuga zuga pale kwa aibu?
Acha kufake picha ona sasa wahuni wanakupiga pasi za makwapa.
 
Ndugu zangu japo hatufahamiani, ila kwa komenti na posti mbalimbali humu jamvini unaweza kutambua usmart wa mtu bila kumjua.

Naomba leo kwa uzoefu wetu tupige kura hapa ili na sisi wanajamvi tumvike taji la umiss mwanamke mrembo kuliko wote humu jamvini.

Nitatoa zawadi ya tsh 10,000 kwa mrembo atakaye shinda.

Twende kazi…..
👇👇👇👇👇👇
Hornet
 
Back
Top Bottom