cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ipi hiyoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo pp inavutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipi hiyoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo pp inavutia
Shikamoo dada Coca!U platinum member nastahili, na blue tick kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], zamani nilikua natifuana na vikundi vya watu, nachojoa mmoko badala ya mwingineee.
Ilikua hatariiiiiiii!!!
HiyoIpi hiyoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
It's a heroic history nowMwaka juzi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waulize saint Anne na heaven sent, au mahondaw, zilirushwaa hoja toka Utamaduni, Asili, sayansi akaja kujichanganya kwenye Dini ndo nilim maliza kabisaaa.
Huna habari iliwekwa poll ya mie kuondolewa mazima JF, kura zilipigwa ikawa sawa sawa, nkaondolewa kwa muda baadae nkarudishwaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naenda kuchukua Tuzo ya jukwaa la Celebrity kutoka kwenye Ban wee huogopiiii?
Nimeshavuka level hizooo!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ukifinywa kidogo tuuu machozi hayo😂😂😂Shikamoo dada Coca!
Nitakua mpole tu! Halafu nitaenda kwa mkwe wako kulia😂Wewe ukifinywa kidogo tuuu machozi hayo😂😂😂
Siku moja inabidi wakukande humu mkwe.
Ngozi iwe ngumu ikomae
Yess mzee wa hall V, tchao!!It's a heroic history now
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] marhabaaa!!!Shikamoo dada Coca!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] noumaaaah!!!Wewe ukifinywa kidogo tuuu machozi hayo[emoji23][emoji23][emoji23]
Siku moja inabidi wakukande humu mkwe.
Ngozi iwe ngumu ikomae
Ohoo toto zuri Bantu Lady chino yu salama.Kwema kabisaa. Kapachino mrembo wako BL anakuita hapa umpe salam,
Okay, itabidi tukae mbali SASA🤣🤣🤣
Maana mkilianzisha hapatakalika.
🤸Merci😍😻 mon ami
😂😂😂😂Ohoo toto zuri Bantu Lady chino yu salama.
Hofu kwako mrembo maana wasije wakakutoa ngeu, maana sikuhizi vita ni nyingi sana.
Mzee wa hall v figo anaendeleaje aiseee
Thanks, with all due respect Eng CocaYess mzee wa hall V, tchao!!
Nimefurahi kukuona hapa. Mzee wa hall 5 yuko vyema kabisa. Nikasema nikusabahi, sijakuona siku 2 tatu hivi.Ohoo toto zuri Bantu Lady chino yu salama.
Hofu kwako mrembo maana wasije wakakutoa ngeu, maana sikuhizi vita ni nyingi sana.
Mzee wa hall v figo anaendeleaje aiseee
Toto la ki kurya Hilo mix uswazi😂😂😂😂
Yupo salama kabisa.
Inabidi usicheze mbali bwana Umlinde BL dhidi ya vijana wahuni WA humu
Nashukuru sanaNimefurahi kukuona hapa. Mzee wa hall 5 yuko vyema kabisa. Nikasema nikusabahi, sijakuona siku 2 tatu hivi.
utarud ulikofungiwa sasaiv
Mrs Rutarud ulikofungiwa sasaiv
Wewe na vita mbali mbali.Nashukuru sana
Nilihisi dalili za umwagaji damu nikasema Nile nduki. Hahaha