jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Shida yenu inaanziaga hapo."Kuwasaidia akina mama wa kiisilamu" na si humanity.Hata taasisi nyingi mnazozianzisha huwa zinafail hapo.Ubaguzi ubaguzi ubaguziKujivika miwani ya mbao kwa kutokuliona tatizo sio suluhisho la tatizo. Tangu uhuru hadi sasa hatuna chuo kikuu cha maana kilicho sawasawa, tangu uhuru hadi sasa hatuna japo Maternity Hospital hata moja inayo elewaka walau kuwasaidia wakinamama wa wakiislamu. Hatuna mifumo yoyote ya kuwasaidia waumini kiuchumi, kiasi kwamba mtu akisaidiwa na kanisa inakuwa vyepesi kwake kuritadi.
Ametumwa na nani?Nadhani umetumwa wewe. Uislamu unajitosheleza. Una watu wana elimu nzuri na ya kutosha.
Talaka imepewa kipaumbele utadhani kitu cha maana.Kujivika miwani ya mbao kwa kutokuliona tatizo sio suluhisho la tatizo. Tangu uhuru hadi sasa hatuna chuo kikuu cha maana kilicho sawasawa, tangu uhuru hadi sasa hatuna japo Maternity Hospital hata moja inayo elewaka walau kuwasaidia wakinamama wa wakiislamu. Hatuna mifumo yoyote ya kuwasaidia waumini kiuchumi, kiasi kwamba mtu akisaidiwa na kanisa inakuwa vyepesi kwake kuritadi.
Usije kwa kujifanya uko upande fulani then kumbe tunakuja fikra hata avatar yako iko against.
Tambua hakuna chuo cha dini sio UDSM, SUA, UDOM ,ARDHI ivyo vya st. Sijui ni takataka wala sio vya maana
Nyie mna takataka ipi kati ya vyuo vikubwa zaidi ya upumbavu?Embu taja takataka mlizo nazo kwa jina la uislam,kama sio uchafu kabisa.
Kumekuchaaa!, hii kesi ikaamuliwe na Baraza la MaulamaaNyie mna takataka ipi kati ya vyuo vikubwa zaidi ya upumbavu?
Ndo unavyodanganywa zaidi ya kuzalisha mapandre wasiozaa
Washamba hao point yao watakuja na MWENGE catholic na hospital ya Muhimbili kama unabisha ndo defensive mechanism yao ...Wakati ni wajinga wanawachangia mapandre na maaskofu then wao ndo wamiliki wa izo shule na vyuoKumekuchaaa!, hii kesi ikaamuliwe na Baraza la Maulamaa
Umeakisi waislamu wengi sana wa Africa ambao sio open minded,hili ni tatzo ambalo waislamu tupo nalo miaka yote ushauri wa kujenga unaonekana ni ukafiri na kinyume na uislamu,sasa sijajua suala la elimu hapa limeingiaje,Nadhani umetumwa wewe. Uislamu unajitosheleza. Una watu wana elimu nzuri na ya kutosha.
Hii pia iende kwa wakristu,Mimi nimekuona Sana unakuta michango mingi ya ujenzi wa jengo la billions,wkt jengo lililopo linatosha kabisa hiyo pesa kwanin isitumike kuinua vipato vya watu humo humo wale wenyebiashara wawezeshwe kwa kufatiliwa kuona maendeleo yao ili kila mtu awe Sasa na uwezo km alikuwa anatoa Mia mbili aweze kutoa elfu moja na kulisha familia yake
Maendeleo mbona yapo tu,, au anataka maendeleo gani labda kwa mfano?Mwenzako anazungumzia maendeleo wewe unazungumzia ilmu.
Nia ya mtoa mada ni nzuri ila binafsi nilifarakiana nayo baada ya kuona jambo haswa ni la kiislam na la waislam yeye kaona pakulileta ni jf, utafikiri huku kuna chombo cha kuratibu issues za Muslims... Huku ni kama una jambo la kudarasisha au kuuliza japo pia siafiki sana maana mwisho huwa ni matusi na makufuru siku zote duuh....akiwa naimani kuwa tutajadili apate majibu wakati mpaka sasa ukute over 60% ya waliochangia hii mada hata si waislam.... Maoni yangu lakini..Uzi umeshaharibika pamoja na nia safi ya mtoa mada.
Uislamu ni dini ya mazingira na ustaarabu, wachache wanaharibu kwa tamaa zaoNaam Sheikh, hao walioleta dini Afrika full kutafuta pesa, sembuse huku IKWIRIRI? Ambao wengi hata Ilmu dunia mtihan
Ni tatizo, ndio hilo litatuliweNani wa kumfunga paka kengele, ikiwa kiongozi mkuu wa nchi naye anaomba msaada wa kujengewa msikiti nchini mwake.
Bajeti ya ujenzi wa msikiti wa ghorofa mbili inatosha kujenga dispensary.
Ndani ya mtaa wetu pana misikiti minne mikubwa, ila huduma za afya mpaka ukimbilie mnazi mmoja
Huwena akawa ni mlemavu asiye jiwezaHapa IKWIRIRI unamkuta Mzee ana SIGDA Ila anaomba-omba tu mtaan na KANZU+KOBAZi
Watu wanatakiwa kurudi katika misingi ya dini na mafundisho yake, dini ni maishaHaya mambo tukisema sisi tusiokiwa waislam tunashambuliwa na kutukanwa.
Sasa hatimaye ninyi wenyewe mnauona ukweli ambao tumekuwa tukiusema mara nyingi.
Hakika, umezungumza jambo la mantiki sanaKuna mambo yanafanyiwa manipulation haswa kwa wanaofuatilia kwa mfano mambo kama ya kiuchumi yameelezwa hata umuhimu wa kutafuta elimu kwamba ni faradhi(kwa mwanamke na mwanaume) ila haya mambo watu wanayaacha kabisa wanafuata sehemu ndogo wanayoona nyepesi .
Kiufupi watu hawafuati uislamu wanafanya manipulation na kusoma elimu stahiki.. Alhamdulliah nimesoma taasisi mbili tofauti na zote mpaka sasa walianza na nursery schools mpaka dispensary pamoja na mradi wa kusomesha mayatima.