Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Ngoja boko haramu waje wakupopoe,uislamu na ilimu dunia wapi na wapi?

Hakuna misikiti inayojengwa na waumini yote inajengwa kwa misaada ya waarabu,wao kazi ni kuswali kusubiri tende harua,maziwa na nyama za ngamia kutoka arabuni.
 
Shida yenu inaanziaga hapo."Kuwasaidia akina mama wa kiisilamu" na si humanity.Hata taasisi nyingi mnazozianzisha huwa zinafail hapo.Ubaguzi ubaguzi ubaguzi
 
Nadhani umetumwa wewe. Uislamu unajitosheleza. Una watu wana elimu nzuri na ya kutosha.
Ametumwa na nani?

Yeye maelezo yake yamewekwa kwa mtindo wa hoja. Unapojibu, jibu kwa hoja ili kuendeleza mjadala chanya.

Unaposema Uislam umejitosheleza, sidhani kama yeye kuna mahali amesema haujajitosheleza, points zake hazijajikita kwenye Uislam, bali kwa waislam, kwa namna wanayo handle mambo.

Ni kweli waislam wenye elimu wako wengi sana, hata nchi hii peke yake, ukitaja matajiri, orodha itajaa waislam, ila impact yao ni ipi?
 
Talaka imepewa kipaumbele utadhani kitu cha maana.

Yaani msisitizo umewekwa kwenye talaka mpaka mabaraza ya kutetea Talaka <wajumbe wanaume tupu, huku wahanga wakubwa wakiwa wanawake na watoto>

Ila uwezeshi wa waumini kiuchumi nadra sana
 
Nadhani umetumwa wewe. Uislamu unajitosheleza. Una watu wana elimu nzuri na ya kutosha.
Umeakisi waislamu wengi sana wa Africa ambao sio open minded,hili ni tatzo ambalo waislamu tupo nalo miaka yote ushauri wa kujenga unaonekana ni ukafiri na kinyume na uislamu,sasa sijajua suala la elimu hapa limeingiaje,

Kwa ufupi kama hujamuelewa ni kwamba kuwa na visima vingi vya maji katika jumuiya ya waislamu ni bora zaidi kuliko kuwa na misikiti minne ya kisasa katika eneo hilo..
Islamic Foundation wale jamaa wa Morogoro naona na wao kwa sasa wamestick kufanya hivi baada ya kujenga misikiti mingi kwa miaka yote waliyokuwepo..kwa sasa wanajenga mashule,visima vingi sana kuliko misikiti
 

Yani ni pande zote mbili tujitafakari,mada nzuri sana kwa wakristu na waislam pia
 
Uzi umeshaharibika pamoja na nia safi ya mtoa mada.
Nia ya mtoa mada ni nzuri ila binafsi nilifarakiana nayo baada ya kuona jambo haswa ni la kiislam na la waislam yeye kaona pakulileta ni jf, utafikiri huku kuna chombo cha kuratibu issues za Muslims... Huku ni kama una jambo la kudarasisha au kuuliza japo pia siafiki sana maana mwisho huwa ni matusi na makufuru siku zote duuh....akiwa naimani kuwa tutajadili apate majibu wakati mpaka sasa ukute over 60% ya waliochangia hii mada hata si waislam.... Maoni yangu lakini..



Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Ni tatizo, ndio hilo litatuliwe
 
Haya mambo tukisema sisi tusiokiwa waislam tunashambuliwa na kutukanwa.

Sasa hatimaye ninyi wenyewe mnauona ukweli ambao tumekuwa tukiusema mara nyingi.
Watu wanatakiwa kurudi katika misingi ya dini na mafundisho yake, dini ni maisha
 
Hakika, umezungumza jambo la mantiki sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…