Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hatufanyi biashara izo basi ...Tunafanya biashara za bidhaa nyingine .Swali langu ni rahisi sana... Acha Blah blah jibu nilichokuuliza.
Wakristo wana Vyuo vikuu visivyopungua SITA hapa Tanzania(nimeviorodhesha hapo juu)
Sasa turudi kwa waislam, Ukitoa chuo kikuu cha morogoro (MUM) Mlichopewa na Rais Mkatoliki Mkapa, Ninyi Waislam mna vyuo vikuu vingapi?
Here u are...Kuna mambo yanafanyiwa manipulation haswa kwa wanaofuatilia kwa mfano mambo kama ya kiuchumi yameelezwa hata umuhimu wa kutafuta elimu kwamba ni faradhi(kwa mwanamke na mwanaume) ila haya mambo watu wanayaacha kabisa wanafuata sehemu ndogo wanayoona nyepesi .
Kiufupi watu hawafuati uislamu wanafanya manipulation na kusoma elimu stahiki.. Alhamdulliah nimesoma taasisi mbili tofauti na zote mpaka sasa walianza na nursery schools mpaka dispensary pamoja na mradi wa kusomesha mayatima.
Kazi ipi hakuna wasomi wa kiislamu au umadanganywa au unangojea wateliwe useme kwamba Kuna upendeleo wa dini ..kwa taarifa yako tukisema raisi achague waislamu tu tunaweza kucover nafasi zote serikali mpaka mwenyekiti wa kitongoji.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Hawa ndio waislam mtoa mada anao wazungumzia.
Kwa mentality hii, Waislam mna kazi kwelikweli kujikwamua kutoka hapo mlipo
Kwa hiyo ni hamna vyuo vikuu miaka yote hii (zaidi ya kile cha mkapa)???Hatufanyi biashara izo basi ...Tunafanya biashara za bidhaa nyingine .
Vyuo kibao uanze sijui cha dini ili iweje na hizo ni biashara kwani wanasoma bure? Si unaona mchanganyiko ..
Unapenda kucompare kila watu na Iman zao ...hatuko kibiashara zaidi shule za st. Zote ni biashara, maji ya upako sijui ni zote ni biashara
Umeshachanganyikiwa.Hapa hatuzungumzii Teuzi...Kazi ipi hakuna wasomi wa kiislamu au umadanganywa au unangojea wateliwe useme kwamba Kuna upendeleo wa dini ..kwa taarifa yako tukisema raisi achague waislamu tu tunaweza kucover nafasi zote serikali mpaka mwenyekiti wa kitongoji.
Ilihali sisi sio washamba wamajivuni kama nyie washamba show off ushamba mzigo
Migogoro haswa kama ni taasisi ni lazima hata Bakwata unaona wanasumbuana ...better kuwa muislamu kuliko kufuata makundi ni madhara maana yanaleta utengano.Here u are...
Kingine mkienda ninyi wenye upeo na elimu ya sasa mkileta hoja kama hizo za maendeleo mnapingwa na kuonekana kama mnauharibu Uislam
Hili nimelishuhudia sana, yaani ukute msikiti unamuajiri Accountant hasa na CPA yake... NO
Wazee wa kiislam na Masheikh ni Conservative sana [emoji23]
Hili wazo lilipaswa kufikiriwa zaidi ya miaka 50 iliyopita. Washukuru Nyerere alitaifisha shule za Kikristo vinginevyo hali ingekuwa mbaya sana kwa ndugu hawa.Maendeleo ni muhimu katika jamii za Kiislamu.
Uislamu na mendeleo ndiko kutakidhi mahitaji ya kimsingi ya watu.
Kiwango cha maendeleo duni katika maeneo ya Wailslamu hapa nchini kinaonyeshwa kwa kutumia mifano iliyo hai. Maeneo mengi ya Waislamu kuna tatizo kubwa la kukidhi mahitaji ya kimsingi ya watu. Hili linawafanya wasio waislamu kuulaumu Uislamu kuwa ni miongoni mwa sababu za kukosekana kwa maendeleo katika maeneo husika.
Inajadiliwa, sio kwamba uislamu hauna mbinu wala elimu za kiuchumi laa, ispokuwa waislamu wenyewe wameacha kufuata misingi iliyoasisiwa na Mtume wetu Muhammada (s.a.w). Kwamba uislamu daima umekuza shughuli za kiuchumi, na biashara na kipindi cha nyuma uislamu ulikuwa unachukuliwa kuwa njia bora ya kupata riziki ya mtu. Zaidi ya hayo, dhana ya maendeleo katika Uislamu ni mchakato muhimu, ambao unaboresha ustawi wa binadamu katika nyanja zote ikiwa ni pamoja na akhera. Vielelezo vya MAKKA na MADINA vinawasilishwa kama mojawapo ya njia za maendeleo katika Uislamu wetu.
Waislamu kutoka mtaa mmoja wanakutana mara 5 kwa siku (sala tano), waislamu wa kitongoji kimoja wanakutana mara 1 kwa wiki (Sala ya Ijumaa), waislamu wa mkoa mmoja wanakutana mara mbili kwa mwaka (Sala za Eid), waislamu kote duniani tena walio matajiri wanakutana mara moja kwa mwaka (Hija).
Mlolongo huo alituachia Mwenyezi Mungu s.w kupitia Mtume wetu Muhammada (s.a.w), Lakini kukutana kwetu huko hakutakua na manufaa yoyote ikiwa bado kutakuwa na ukosefu wa maendeleo kwa watu wetu.
Lengo la watu kukutana sio kuswali na kuondoka tu, watu wanatakiwa kujadili, kufahamiana, na kupanga mikakati ya kusonga mbele zaidi kielimu, kiuchumi, kiafya na kimaendeleo kwa ujumla. Nasio kuishia kuswali na kuondoka hata bila kupeana mikono.
Wenzetu wamechukua mfumo huo wa kukutana, leo utaona kuna jumuiya nyingi za Kikristo zinakutana kila wiki asubuhi mapema, leo utaona kuna umoja wa kimataifa (mataifa yote yanakutana) asili yake hii ni Uislamu. Lengo la kukutana misikitini ni kufanya vikao vya kheri kwa umoja wenu msonge mbele kimaendeleo.
Ifake wakati sasa misikiti iyanze kuhudumia watu na kuwafanyia watu mambo yaliyo mema, nasio watu siku zote kuihudumia misikiti. Moyo wa mtu umeumbwa kukipenda na kukithamini kile kitu kinachomjali, na moyo umeumbwa kukichukia na kukidharau kile kitu kisichomjali.
Misikiti mingi haina hata orodha (Record Keeping Books) ya kuwatambua waumini wake, idadi yao na shughuli zao. Misikiti mingi haina vipaombele katika swala la maendeleo, misikiti mingi haina orodha ya wajane, haina orodha ya mayatima, haina orodha ya wanafunzi walio kwama Masomo kwa ukata wa pesa, haina orodha ya wagonjwa, imekuwa ni sehemu ya kuswalia tu na kuondoka.
Msikiti ni kituo cha Kiislamu kinachotakiwa kuzalisha usasa wa kijamii na kiuchumi na maendeleo kwa ujumla.
Dini ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata sheria za MUNGU. Panapokuwa na dhiki inaashiria kwamba malengo ya Uislamu hayawezi kutimizwa, kwasababu watu hawajiwezi kwa kutofautiana kijamii na kiuchumi, rushwa na ukosefu wa haki. Haina faida kujenga msikiti ilihali wake za Masheikh wanazalishwa na Madaktari wa kiume, haina faida ya kujenga msikiti ilihali kuna kundi kubwa la vijana wa kiislamu wanakwama masomo kwa ukata wa pesa, haina faida ya kujenga msikiti ilihali wanawake wa kiislamu wanadhalilishwa kwenye mikopo ya Riba. Na mambo mengine ya kuudhi yanayoofanyika dhidi ya watu wetu.
Tusisahau kwamba ni kanuni na maadili ya Kiislamu ambayo yalisaidia jamii za Kiislamu kujenga ustaarabu wenye mafanikio makubwa na mafanikio yaliyoonyeshwa katika kukusanya rasilimali na kuunda fursa, na ambayo ilizisaidia jamii kufikia maendeleo makubwa ya kiuchumi hadi karne ya kumi na tisa.
Turudi katika misingi na kanuni zetu. Muislamu kupewa msaada na Kanisa inatia aibu ilihali misikiti ipo.
BAKIIF ISLAMIC
Kimara, Dar es salaam
Umesema hamfanyi hizo biashara za vyuo?Hatufanyi biashara izo basi ...Tunafanya biashara za bidhaa nyingine .
Vyuo kibao uanze sijui cha dini ili iweje na hizo ni biashara kwani wanasoma bure? Si unaona mchanganyiko ..
Unapenda kucompare kila watu na Iman zao ...hatuko kibiashara zaidi shule za st. Zote ni biashara, maji ya upako sijui ni zote ni biashara
Hujanielewa wala sio lazima uelewe!Umeshachanganyikiwa.Hapa hatuzungumzii Teuzi...
Kama waislam ndio kama wewe na wengine wa aina yako, basi mtoa mada (mwislam mwenzako) yuko sahihi sana.
Sijataja hapa maana hata ukitaja matajiri nyie hamupo utasema nn?Umesema hamfanyi hizo biashara za vyuo?
Nyie waislam na taasisi zenu Mnafanya biashara gani???
Nb: (Sitashangaa ukitaja biashara za Bakhresa na Mo Dewi hapa [emoji1787][emoji1787])
Ndio maana nimesema Umechanganyikiwa.Hujanielewa wala sio lazima uelewe!
Ni kwamba anafikiria kwamba sisi sio wasomi kama wao kwamba tunapinga na mentality zetu ni za ivyo.
Sikia jinsi mnavyotuchukulia na nyie tunamichukulia kama washamba ,vichwa ngumu ,wajinga msioelewa wala kuwa na hofu zaidi kuendeleza maslahi mbele kwa njia yeyote hata kutapeli ,kudhulumu haki.
Umesema nyie waislam hamfanyi biashara za vyuo. Nina maswali 2 kwako.Sijataja hapa maana hata ukitaja matajiri nyie hamupo utasema nn?
Hao jamaa Wana impact gani kweny dini ?
Nimewataja wapi hapa hao jama unaanza shobo wala sikuwahi kufirkia hayo .
Sinaga zile mambo sijui sisi matajiri then nikutajie mtu fulani ,ntakumbua Mimi ni tajiri kama utajiri ni wangu au mzazi wangu.
Unaweza kuseme nyie wasomi kumbe wew ni zero hiana impact ,fanya kuongelea hali yako halisi.
Vyuo vipo kibao nenda nijeria ,misri, ivyo ni vyao na ni uwekezaji wao hapa bongo still vilivyopo vinatosha
Huduma za kijamii we ndo haujaelewa kaongelea ishu za uchumi ..Mara usharuki university wangapi wanaweza kuafford ada za vyuo ? Wangapi wameshindwa kusoma kwa kukosa ada na wamefaulu vizuri?Ndio maana nimesema Umechanganyikiwa.
Mada umeielewa kweli? Hii mada imeanzishwa na muislam mwenzako.
Mada haihusu wakristo...Mada inahusu Waislam kutokujenga misikiti tu badala yake wageukie huduma za jamii kama Shule/Vyuo na hospital.
Maendeleo ni muhimu katika jamii za Kiislamu.
Uislamu na mendeleo ndiko kutakidhi mahitaji ya kimsingi ya watu.
Kiwango cha maendeleo duni katika maeneo ya Wailslamu hapa nchini kinaonyeshwa kwa kutumia mifano iliyo hai. Maeneo mengi ya Waislamu kuna tatizo kubwa la kukidhi mahitaji ya kimsingi ya watu. Hili linawafanya wasio waislamu kuulaumu Uislamu kuwa ni miongoni mwa sababu za kukosekana kwa maendeleo katika maeneo husika.
Inajadiliwa, sio kwamba uislamu hauna mbinu wala elimu za kiuchumi laa, ispokuwa waislamu wenyewe wameacha kufuata misingi iliyoasisiwa na Mtume wetu Muhammada (s.a.w). Kwamba uislamu daima umekuza shughuli za kiuchumi, na biashara na kipindi cha nyuma uislamu ulikuwa unachukuliwa kuwa njia bora ya kupata riziki ya mtu. Zaidi ya hayo, dhana ya maendeleo katika Uislamu ni mchakato muhimu, ambao unaboresha ustawi wa binadamu katika nyanja zote ikiwa ni pamoja na akhera. Vielelezo vya MAKKA na MADINA vinawasilishwa kama mojawapo ya njia za maendeleo katika Uislamu wetu.
Waislamu kutoka mtaa mmoja wanakutana mara 5 kwa siku (sala tano), waislamu wa kitongoji kimoja wanakutana mara 1 kwa wiki (Sala ya Ijumaa), waislamu wa mkoa mmoja wanakutana mara mbili kwa mwaka (Sala za Eid), waislamu kote duniani tena walio matajiri wanakutana mara moja kwa mwaka (Hija).
Mlolongo huo alituachia Mwenyezi Mungu s.w kupitia Mtume wetu Muhammada (s.a.w), Lakini kukutana kwetu huko hakutakua na manufaa yoyote ikiwa bado kutakuwa na ukosefu wa maendeleo kwa watu wetu.
Lengo la watu kukutana sio kuswali na kuondoka tu, watu wanatakiwa kujadili, kufahamiana, na kupanga mikakati ya kusonga mbele zaidi kielimu, kiuchumi, kiafya na kimaendeleo kwa ujumla. Nasio kuishia kuswali na kuondoka hata bila kupeana mikono.
Wenzetu wamechukua mfumo huo wa kukutana, leo utaona kuna jumuiya nyingi za Kikristo zinakutana kila wiki asubuhi mapema, leo utaona kuna umoja wa kimataifa (mataifa yote yanakutana) asili yake hii ni Uislamu. Lengo la kukutana misikitini ni kufanya vikao vya kheri kwa umoja wenu msonge mbele kimaendeleo.
Ifake wakati sasa misikiti iyanze kuhudumia watu na kuwafanyia watu mambo yaliyo mema, nasio watu siku zote kuihudumia misikiti. Moyo wa mtu umeumbwa kukipenda na kukithamini kile kitu kinachomjali, na moyo umeumbwa kukichukia na kukidharau kile kitu kisichomjali.
Misikiti mingi haina hata orodha (Record Keeping Books) ya kuwatambua waumini wake, idadi yao na shughuli zao. Misikiti mingi haina vipaombele katika swala la maendeleo, misikiti mingi haina orodha ya wajane, haina orodha ya mayatima, haina orodha ya wanafunzi walio kwama Masomo kwa ukata wa pesa, haina orodha ya wagonjwa, imekuwa ni sehemu ya kuswalia tu na kuondoka.
Msikiti ni kituo cha Kiislamu kinachotakiwa kuzalisha usasa wa kijamii na kiuchumi na maendeleo kwa ujumla.
Dini ni mfumo wa maisha ya mwanaadamu unaofuata sheria za MUNGU. Panapokuwa na dhiki inaashiria kwamba malengo ya Uislamu hayawezi kutimizwa, kwasababu watu hawajiwezi kwa kutofautiana kijamii na kiuchumi, rushwa na ukosefu wa haki. Haina faida kujenga msikiti ilihali wake za Masheikh wanazalishwa na Madaktari wa kiume, haina faida ya kujenga msikiti ilihali kuna kundi kubwa la vijana wa kiislamu wanakwama masomo kwa ukata wa pesa, haina faida ya kujenga msikiti ilihali wanawake wa kiislamu wanadhalilishwa kwenye mikopo ya Riba. Na mambo mengine ya kuudhi yanayoofanyika dhidi ya watu wetu.
Tusisahau kwamba ni kanuni na maadili ya Kiislamu ambayo yalisaidia jamii za Kiislamu kujenga ustaarabu wenye mafanikio makubwa na mafanikio yaliyoonyeshwa katika kukusanya rasilimali na kuunda fursa, na ambayo ilizisaidia jamii kufikia maendeleo makubwa ya kiuchumi hadi karne ya kumi na tisa.
Turudi katika misingi na kanuni zetu. Muislamu kupewa msaada na Kanisa inatia aibu ilihali misikiti ipo.
BAKIIF ISLAMIC
Kimara, Dar es salaam
Atafute kiwanja ajenge japo kituo cha watoto awe mfano, sio machapishwo mitandaoni na lawama..Hakuna mtu anayeiingia ukirisito kwa kupewa msaada. Morogoro tuna chuo na shule nyingi tu. Na hospital zipo nyingi tu. Sijajua lengo lako nini. Uislamu unaongoza kwa maendeleo mengi nchini
Jengeni Hospitali na Mashule (including Vyuo vikuu) muhudumie jamii na sio kujenga misikiti tu.Huduma za kijamii we ndo haujaelewa kaongelea ishu za uchumi ..Mara usharuki university wangapi wanaweza kuafford ada za vyuo ? Wangapi wameshindwa kusoma kwa kukosa ada na wamefaulu vizuri?
Wewe mwenyewe huwezi kusomesha wanao pale st .Francis kwa vile ada huna si wakristo wenzio wapelekee wanao kama watawakubali bila ya ada then leta ngonjera zako.
Unajua ishu ya mikopo imeletwa kwa nn ? Ni kwamba 70% hawana uwezo wa kusoma vyuo kama wangekosa mikopo .
Point hapa mambo ya kiuchumi Kuna mikopo ndo maana Kuna bank za kiislamu dhidi ya riba, uanzishwaji wa elimu kama misaada kufadhili mashule kupitia sadaka ili ziwe hata kama zinatoza ada iwe chini sana.
Kusaidia watoto mayatima katika mahitaji yao.
Kutoa zaka kwa wasiojiweza
Umueelewa mtoa mada kaongea nn ishu ni uchumi tambua ..Kaangalie fees structure ya pale then uje hapa then fananisha na vyuo vingine.Umesema nyie waislam hamfanyi biashara za vyuo. Nina maswali 2 kwako.
1. Pale MuM morogoro, watu wanasoma bure?
2. Umesema nyie waislam hamfanyi biashara za vyuo, MNAFANYA BIASHARA GANI?
Huelewi izo pesa zinatoka wakati source ya uchumi wetu ni zaka na sadaka kwa vile bongo sio nchi ya kidini so hatuwezi kukusanya kuanzia juu..watu wanakusanya kupitia Taasisi ambazo ndo wamiliki wa misikitini usione Yale majina sijui masjid "Tawqa" zile ni taasisi.Jengeni Hospitali na Mashule (including Vyuo vikuu) muhudumie jamii na sio kujenga misikiti tu.
Hizi ngonjera unazoimba hapa haziwasaidii
Jibu nililokuuliza, Acha mameno mengiUmueelewa mtoa mada kaongea nn ishu ni uchumi tambua ..Kaangalie fees structure ya pale then uje hapa then fananisha na vyuo vingine.
Kama Kuna ada kubwa na mtoto wa kimaskini akashindwa kusoma kisa ada na chuo cha kiislamu je iko chuo kitakuwa msaada gan kwake?
Unashindwa kuelewa point sisi waislamu tuna mifumo yetu ya kiuchumi kama vile nchi ambazo huduma za afya ,elimu na mambo kibao hutolewa bure ndo point yetu haswa kutokana na uchumi..
Kwamba watu watoe sadaka na zaka instead ya kujenga misikitini zipelekwa kusaidia kama ruzuku(subsides) kweny afya , elimu watu wasome bure ..pia iwe sehemu ya mikopo ili watu wajiinue kiuchumi with zero interest huoni kama itakuwa msaada .
Ukiwa na pesa na uchumi hata PhD cha mchongo utapata ila uchumi kwanza na mkono uende tumboni huwezi kusoma bila ya kula
Maneno mengi yapi? Huelewi hata uambiwe vip mtoa mada kasema tuna uchumi wetu ..haya wewe unajua huo uchumi wetu au shobo 😂😂umekuja na list .Jibu nililokuuliza, Acha mameno mengi