Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
7) Teofilo Kisanji(teku) UniversityHahaha... Wewe Huwezi kusoma wakati humo kwenye hivyo vyuo Waislam wenzako wamejazana kibao!!!
Na kwenye list yangu nilisahau kutaja chuo kikuu cha sita.
6. Sebastian Kolowa Memorial University
Na nimekuuliza swali naona unajifanya hulioni, ukitoa MUM morogoro (ambacho mlipewa na Mkatoliki Mkapa), Waislam Mna chuo gani kingine hapa Tanzania?
Exactly... Wakristo kwa pamoja wana Vyuo Vikuu visivyopungua TISA (9). Hivyo vyuo vina branches almost mikoa yote.7) Teofilo Kisanji(teku) University
8) Ruaha Catholic University
9) Catholic University of health and allied sciences ( bugando)
Hapo bado karibu kila mkoa kuna branches za hizo universities. Kwenye suala la elimu na afya tuwape pongezi wakristo wote hasa Catholic
Akili fupi hiyo,ibada kuu ya muislam atakayoulizwa siku ya hesabu ni swalaRufiji kuna misikiti mikubwa na mizuri tu, lakini maendeleo ya waumin ni duni. Waliojenga hiyo misikiti wangeweza ku finance miradi mingine mikubwa ya kiuchumi ikawanufaisha waumin walioko hapo.
Nyie mna takataka ipi kati ya vyuo vikubwa zaidi ya upumbavu?
Ndo unavyodanganywa zaidi ya kuzalisha mapandre wasiozaa
Mada nzuri sana,mikoa au maeneo yenye waislam wengi kuna hali duni za maisha hali iyo maranyingi huwa inazaa vibaka,singeli,vigodoro na wazazi kupuuzia malezi na elimu kwa watoto wao.
Una uhakika gani, hao ni Waislamu, huku kukiwa na muendelezo wa watu maalumu, wanaotafuta kuidhoovisha Tanzania kupitia imani.
Kila siku kuda mada ya dini ukristo kuuhoji uislamu.
Na mimi baadae nitauliza swali, waliomtesa yesu, kwanini walimvua nguo na kumvisha kile kinguo.
Pwani kwetu moja hyoHapa IKWIRIRI unamkuta Mzee ana SIGDA Ila anaomba-omba tu mtaan na KANZU+KOBAZi
Mkuu usibishe wakristo kiujumla wanavyuo na hospital zilozokamilika na zinaitwa hospital za rufaa kabisaWashamba hao point yao watakuja na MWENGE catholic na hospital ya Muhimbili kama unabisha ndo defensive mechanism yao ...Wakati ni wajinga wanawachangia mapandre na maaskofu then wao ndo wamiliki wa izo shule na vyuo
Hicho Morogoro Muslim University chenyewe Ni msaada toka kwa kilichokuwa Chuo cha TANESCOMkuu usibishe wakristo kiujumla wanavyuo na hospital zilozokamilika na zinaitwa hospital za rufaa kabisa
Kwa uchache
Bugando ..kina chuo Cha afya had PhD
Kcmc Kuna chuo Cha afya had PhD
St Francis ifakara ..Kuna chuo Cha afya hadi Masters
St Benedict hospital ..peramiho sjui Kama chuo Bado kinatoa shahada
Hizo n hospital kubwa znazotoa huduma kwa mataifa bila kujar dini
Naomba nitajie hospital ya rufaa ya kiislamu yenye chuo kinachotoa walau shahada au astashahada
BAKIIF Islamic hata huku kwenye ukristo hasa PENTECOSTALS kazi yetu kubwa kilasiku tunawaza kufungua makanisa na kufungulia mziki Kwa fujo ....ufike muda walokole nao wajenge hospital,shule na huduma zingine za jamii kama ilivyo Kwa katoliki na kkkt
Unaonekana mjinga lzima nikupuuze endelea kula mangurue yakuharubu akili..The way unavyotetea ujinga kwenye hii mada, hata mtoa mada ambaye ni mwislam mwenzako atakuwa anakushangaa sana.
Nakuambia mfumo wa uchumi wetu hatuufuati ndo maana izo pesa zinatoka wapi za kujenga .Mkuu usibishe wakristo kiujumla wanavyuo na hospital zilozokamilika na zinaitwa hospital za rufaa kabisa
Kwa uchache
Bugando ..kina chuo Cha afya had PhD
Kcmc Kuna chuo Cha afya had PhD
St Francis ifakara ..Kuna chuo Cha afya hadi Masters
St Benedict hospital ..peramiho sjui Kama chuo Bado kinatoa shahada
Hizo n hospital kubwa znazotoa huduma kwa mataifa bila kujar dini
Naomba nitajie hospital ya rufaa ya kiislamu yenye chuo kinachotoa walau shahada au astashahada
Ukijenga msikuti tuu una pepo
Utajua mwenyewe sibishani mshamba ,pita kushotoYani,wewe hoja yako kuu ni mapadri kutokuoa na kuzaa,hao mashehe wanaozaa hovyo hovyo au wewe unaezaa hovyo hovyo kuna nini cha maana umekifanya kwa taifa hili,
Anyway ukizaa wewe inatosha sana,mapadri wamefunga ndoa na kanisa na wanazaa matunda ya kanisa.
Tatizo kubwa la Uislamu tangu karne za giza ni kutaka kushindana na Ukristo. Hii imefanya Uislamu kukosa dira na sababu nzuri za kufanya mambo ya msingi katika jamii.
Utaona kabisa waislamu wanafanya juu chini na kutumia mabilioni ilimradi tu wanajipenyeza kwenye ngome za wakristo! Kujenga misikiti mita mbili kutoka barabara kuu ili tu watu waone kwamba miskiti imejaa njia yote.
Mpeleke huduma ndani vijijini wapo wengi wasio na maji, shule, nk acheni mashindano yasiyo na tija kwa umma.