Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Tupunguze kujenga Misikiti, hakuna Uislamu kama hakuna maendeleo ya waumini

Serious?

Makumira ni ya Lutheran
Hubert Kairuki ni private Institution
Ya Lutheran inaitwa Tumaini. Ina matawi autonomous kwy Ma-dayosisi e.g. Dayosisi za Kaskazini, Mashariki na Pwani na Iringa.

Hubert Kairuki iko chini ya mission (Kanisa) Assemblies of God.

Serious.
 
Muoneni huyu!

Hayo masheli umeshawahi kumuona Big Bon pale Kariakoo akipima gauge kwenye tank kuangalia kama mafuta yamefika kiwango gani au kushika pump?hizo kazi si wanafanya losers waliokosa ajira rasmi au kukosa elimu?

Hiyo kazi saratani nje nje hata akiwa na ndugu mtoto wa dada yake hiyo kazi hawezi kumruhusu aifanye kwenye hivyo viwanda vyao mnapewa kutwa elfu tatu tatu mnafanyishwa kazi za manamba vifaa kinga vyenyewe hampewi mwaka 2014 yupo jamaa yangu baba yake mdogo alitumbukia kwenye chemba ya kuchemshia vyuma kwenye kiwanda cha Muislam mwenzenu wakaishia kupewa ubani Tsh 500,000/=.

Unapozungumzia vitu serious kama hivi huo utajiri utoe kabisa hawana maana hao.
Tatzo jingine ndungu zangu waislam wakiafrika (sisi weusi) wanaowaona waarabu ni ndugu zao, ndio maana anajitetea hivyo!!! Hayo masheli maviwanda yote unakuta ni waarabu...muulize muislam gan mwenyeji itikad kali kama yake anamiliki maviwanda, masheli nk
 
Dah pole Sana [emoji23][emoji1787][emoji1787] Leo umekula za uso , najua apo ulipo unaweweseka

Ila waislamu mjenge hospital, shule na vyuo

Jifunzeni pia kutoa sadaka nene
Umekaa wiki unafanya kazi inafika ijumaa unaenda kutoa jero

Hata kama wakijenga haziwezi kutoboa mana kwenye usimamizi wa taasisi walishafeli kitambo sana,tumaini lao limebaki kwenye misaada ya waarabu,wakiikosa wanaaza kulialia mfumo kristo unawagandamiza,hopeless sana hivi vijamaa.
 
Ni formalities tu,kama kuamua kupika chakula kutumia gas badala ya mkaa,kwani kabla ya gas chakula kilikua hakiivi na kuliwa??
Formalities zipi ? Wakati ilikuwa umati unaangamia kwa matapeli kama kule kawe
 
Mi ninaona usimamizi mbovu. Mbona mashia wapo wachache wana hospitali kubwa kama Aga Khan, kuna mashule kama Al Muntanzir na nyinginezo, mabenki n.k.
 
Formalities zipi ? Wakati ilikuwa umati unaangamia kwa matapeli kama kule kawe

Hakuna kitu kina waumiza waisalm kuona wakristo wanahubiri injili na injili inasambaa kwa kasi sana,ngoja ni kwambie kitu injili itahubiliwa iwe kwa njia ya ukweli au utapeli kama unavyodai,chamsingi hawamuhubiri na kumtangaza shetani bali anayehubiriwa ni Yesu kristo,

Pia kama unaona ni utapeli wanao fanya nenda mahakamani kawashitaki,
 
Hakuna kitu kina waumiza waisalm kuona wakristo wanahubiri injili na injili inasambaa kwa kasi sana,ngoja ni kwambie kitu injili itahubiliwa iwe kwa njia ya ukweli au utapeli kama unavyodai,chamsingi hawamuhubiri na kumtangaza shetani bali anayehubiriwa ni Yesu kristo,

Pia kama unaona ni utapeli wanao fanya nenda mahakamani kawashitaki,
Inasambaa wapi? Nyie ndo mnakuwa na wivu kama wewe kuona hatuna shobo wala time na nyie ,mnapenda kutufuatilia ila hatuna time na nyie .

Ndo maana inasemwa "nyie mna dini yenu na sisi tuna dini yetu"

Hamko radhi mayahudi na manaswara mpaka tufuate Mila zenu " kiufupi hatuna time na nyie
 
Duh,unaamini hilo.lotatokea nchi hii?
Sio tu nchi hii bali duniani kote,na ahadi ya Allah na Rasulullah ni kuwa kabla ya siku ya mwisho basi uislam utatawala ulimwengu Kama ilivyokuwa hapo kabla kumbuka himaya ya Banu Ummaya (Umayyads caliphate) ilitawala mpaka Iberian na western Europe ndio ukakuta Leo ukienda Andalusian, Spain miji Kama Cordoba au Granada utakuta athari yake
 
Dah😆🙌..sikufahamu
Hili ni zao la ile wanaita i-lim akhera huyo ukimwambia akuandikie kiarAbu yale maandishi ya kutoka kulia kurudi kushoto atakushangaza ila lugha mama yake kuandika inamsumbua.

Mimi hizo namba alizoweka hapo tu sijajua hata amemaanisha nini!
 
Tungeni tu vistory vya ajabu ajabu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Atunge kwa manufaa gani?huyo naamini ni Muislam mwenzako yupo open minded tatizo wengi mnaamini wote ni wajuzi wa kila jambo.

Wapo masheikh wanajielewa na wapo wasiojielewa na ni hulka ya binadamu kuongea kile anaamini ni sahihi kwake kwamba hata kwa wengine kitakuwa sahihi ila akiongea mbele ya mtu makini ni rahisi kujua anachongea siyo sahihi kama huyo uliyem-quote hapa
 
Back
Top Bottom